binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kuna mmoja nilimfahamu alikuwa akiishi mikocheni alikuwa na afya mgogoro hivi kwa muonekano, sijui ndio huyo? RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
Kumbe ni siri!!
2nd wave unaijua wewe? Ukiambiwa leta ushahidi juuu ya hilo utauleta? Tuache kuleta mzaha kwenye mambo yanayogusa nyoyo za wapendwa wa baadhi yetu lete be serious.2nd wave, tuendelee kuchukua tahadhari!
RIP dada yetu Rose
2nd wave unaijua wewe?? Ukiambiwa leta ushahidi juuu ya hilo utauleta? Tuache kuleta mzaha kwenye mambo yanayogusa nyoyo za wapendwa wa baadhi yetu lete be serious.
1st wave nayo mlitabiri kwamba tutaokota maiti mitaaani lkn holla, sasa mmeanza oooh 2nd wave
Mmmmmmhmn wamaanishaje?!Inasikitisha kuona hakuna hata anaye jali basi haina shida pumzika kwa amani rose .
Hii picha ni ya Anna, ibadilishe tafadhali!
Mabinti wa Kambarage miili yao ndio ilivyo, wembamba warefuKuna mmoja nilimfahamu alikuwa akiishi mikocheni alikuwa na afya mgogoro hivi kwa muonekano, sijui ndio huyo? RIP
Bila shaka huyo ndiye Rose, huyo Anna kafanana sana na marehemu babaye....Hii picha ni ya Anna, ibadilishe tafadhali!
Wazushi wanatibiwa Ulaya , watoto wa Nyerere wanatibiwa Muhimbili ! Maisha yanaenda kasi sana .Familia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose
2nd wave unaijua wewe?? Ukiambiwa leta ushahidi juuu ya hilo utauleta? Tuache kuleta mzaha kwenye mambo yanayogusa nyoyo za wapendwa wa baadhi yetu lete be serious.
1st wave nayo mlitabiri kwamba tutaokota maiti mitaaani lkn holla, sasa mmeanza oooh 2nd wave
Hakuna anaye jali⁉️⁉️Inasikitisha kuona hakuna hata anaye jali basi haina shida pumzika kwa amani rose .
hahahahahaaaCorona tumeiua kwa maombi na haipo nchini!!Nasema uongo ndugu zangu!!