Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao wenyewe hawahitaji huo uzitoFamilia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose
Unacheka nini we Kima?hahahahahaaa
Bora ya mzee mwinyi inathaminiwa kuliko ya baba wa taifa.Familia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose
Kunakitu unataka kunena bali huneniFamilia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose
Ohoo ndio maana kunamdau hapo juu kamaindi kuwa hakukuwa na haja ya kutangaza jina la hospitaliOsipitali ya tisi andaglaund fasiliti
Kwani ni aibu kufia dispensary ?!. Tatizo letu waTz ni UnafikiKulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
Huzuni kubwa sana kwa taifa.Umuofia Kwenu wana JF,
Kheri ya Mwaka Mpya!
Mtoto wa mwisho wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Rose Nyerere amefariki leo mjini Dar es salaam.
Taarifa za duru za uhakika zinaarifu kuwa Rose amefariki katika hospitali ya Mzena Jijini DSM ambako alilazwa kwa muda mrefu. Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihidimiwe.
View attachment 1665128
KK,
MINJINGU.