MBUTAIYO
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 699
- 416
Wangapi wamepimwa mkajua COVID-19 haipo?Corona tumeiua kwa maombi na haipo nchini!!Nasema uongo ndugu zangu!!
RIP Dada Rose.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangapi wamepimwa mkajua COVID-19 haipo?Corona tumeiua kwa maombi na haipo nchini!!Nasema uongo ndugu zangu!!
Wacha ujinga wewe!2nd wave, tuendelee kuchukua tahadhari!
RIP dada yetu Rose
Haikuhusu wewe wala mimi, inawahusu waliogawana keki ya Mwalimu na kung'ang'ania kulala jikoni.Unataka watu wajali nini?
Kwa muonekano wa picha inaonekana kabla hata ya kuumwa alikuwa anaumwa.Umuofia Kwenu wana JF,
Kheri ya Mwaka Mpya!
Mtoto wa mwisho wa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Rose Nyerere amefariki leo mjini Dar es Salaam.
Taarifa za duru za uhakika zinaarifu kuwa Rose amefariki katika hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam ambako alilazwa kwa muda mrefu. Bwana alitoa bwana ametwaa jina lake lihidimiwe.
View attachment 1665226
KK,
MINJINGU.
Embu funguka funguka bwasheeInasikitisha kuona hakuna hata anaye jali basi haina shida pumzika kwa amani Rose .
hakukuwa na sababu kabisaKulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
yalikuwa ya chini kivipi wakati alikuwa na degrees na mkufunzi wa hadi chuo kikuu?Mtoto WA baba WA taifa amefia Dispensary alipolazwa kwa muda mrefu.
Nilimfundisha mwanae miaka ya nyuma kidogo maisha ya huyu mtoto WA Nyerere yalikuwa ya chini sana sana.
Familia ya Mwalim haipewi uzito inaostahili. R.I.P Rose
Kulikuwa na sababu gani kuficha jina la hospitali?Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
Kwa wenye akili tumeelewaKulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
Nenda msibani....Sana, na alikua anasaidia sana watu,niliwahi kwenda kwake,Upanga huko,Loan Board walikua wanazingua,akanipeleka kwa Mwenyekiti wa Loan Board enzi hizo alikua Nimrord Mkono,Mkono akapiga simu tukaenda kwa Mkurugenzi wa HESLB,tukaenda hadi kule,siku hiyo hiyo mkopo wangu ukawa fresh,nikaambiwa baada ya siku tano mzigo utajaa! Kweli bwana,ilikua jumanne,ijumaa mzigo huo! Mother was very humble,na still akanipa number yake,na bado akanipa na pesa kidogo kabla ya mzigo wa bodi hujazama
Aliwahi kuwa mbunge wa kuteuliwa kama sikosei Kwa kipindi kimojaRIP Rose, sikuwahi kumsikia katika harakati zozote.Familia ipo simple ,tulivu sana.