Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Utadhani wao wataishi mileleOhoo ndio maana kunamdau hapo juu kamaindi kuwa hakukuwa na haja ya kutangaza jina la hospitali
Anyway RIP dada .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadhani wao wataishi mileleOhoo ndio maana kunamdau hapo juu kamaindi kuwa hakukuwa na haja ya kutangaza jina la hospitali
Mzena ni dispensary??Mtoto WA baba WA taifa amefia Dispensary alipolazwa kwa muda mrefu.
Nilimfundisha mwanae miaka ya nyuma kidogo maisha ya huyu mtoto WA Nyerere yalikuwa ya chini sana sana.
haja ipo.Kulikuwa kuna haja gani ya kutaja Jina la Hospitali ?
Naelekea msiba ntakujibu ntakaporudi.Unataka watu wajali nini?
Uzi WA John ni WA 2015. RIP Rose Baba yenu alikuwa binadamu.Ni ROSE NYERERE AU NI JOHN NYERERE?
AU WOTE WAMEFARIKI?
KWANINI MTU KAMA HANA UHAKIKA NA HABARI YAKE ASIIPOSITI KWANZA HADI APATE UHAKIKA?
HARAKA YA NINI??
Unataka watu wajali nini?
Ohoo ndio maana kunamdau hapo juu kamaindi kuwa hakukuwa na haja ya kutangaza jina la hospitali
Mme wake alishafariki,alikua anafanya kazi Tanesco,watoto ndiyo anao!! She was very humble,very cool,she was kama sio mtoto wa Nyerere, No makeke kabisa kama kina Rizimoko
Tena kwa mamilioni ya hela[emoji41]Wazushi wanatibiwa Ulaya , watoto wa Nyerere wanatibiwa Muhimbili ! Maisha yanaenda kasi sana .
Wabongo hua mna matatizo sana kichwani,hakuna anayejali kweni wewe ni mwana familia na hauoni ndugu wote wanajali msiba? Hapa unataka kuja na nyimbo za kulaumu serikali,ifanyeje sasa? Kweni wamesha zika?Inasikitisha kuona hakuna hata anaye jali basi haina shida pumzika kwa amani Rose .
John - 2015 na sio leo...Kwahiyo wawili leo,kuna John pia.ooh RIP[emoji24]
No no no,asimweleze chochote.Mzee atafariki mara ya pili kwa mshtuko.Rest Easy.
Msalimie sana Mwalimu Nyerere.
Mweleze yote uliyoyaona na kuyasikia.