Rose Shirima hana kosa lolote, mwenye Makosa ni James Getogo kuibua makosa ya serikali/mwajiri wake

Kwa maelezo ya rose yanathibitisha vipimo vimeisha muda wake
 
Kwa maelezo ya rose yanathibitisha vipimo vimeisha muda wake

Maelezo ya James Getogo ndio yanathibitisha hilo. Hakuna sehemu Rose amesema vifaa vimeisha muda wake. Isipokuwa amesema matumizi ya hivyo vifaa huwa vinatumika Kwa wajawazito
Rose sio MTU wa maabara wala hahusiki na mambo ya vipimo na vifaa.
 
Maelezo ya James Getogo ndio yanathibitisha hilo. Hakuna sehemu Rose amesema vifaa vimeisha muda wake. Isipokuwa amesema matumizi ya hivyo vifaa huwa vinatumika Kwa wajawazito
Rose sio MTU wa maabara wala hahusiki na mambo ya vipimo na vifaa.
Mapenzi yanaleta balaa hapa "ndimu ndimu tu" James banaπŸ˜‚πŸ˜‚
JAMES KAMA MTUMISHI WA ENEO HUSIKA KWA NINI HUKUWAKILISHA TATIZO KWA UONGOZI HAPO KAZINI KWAKO?
"hamna kamati ndogo za utatuzi wa changamoto ndogo ndogo"
 
Hata maneno ya rose yatamponza, mtumishi hufai kuwa na kauli zile hata ukikwazwa
 
James Gatego nina wasiwasi na uanaume wake.. tabia chafu sana ile
 
Me naona wazidi kurekodi zaidi maana watasimamia misingi afya ni uhai maana jambo dogo lina lina affect mwili
 
Ndio maana hata wewe unajadili mambo yasiyo kuhusu.
Hii ni ishu ya waajiri na walioajiriwa. Wao ndio wanajua Muktadha wa kinachoendelea.

Wewe isiyokuhusu ndio huelewi A wala BA.
Fala kweli wewe, haimuhusu vipi wakati hujui ni nani aliyekuwa anaenda kupimwa? Labda ni mke wangu je? Kiazi wewe
 
Hata maneno ya rose yatamponza, mtumishi hufai kuwa na kauli zile hata ukikwazwa

Atapewa Onyo tuu!
Lakini huyo James Getogo ndio kazi yake ni ngumu kidogo.

Kujibishana ndani ya maofisi ni kitu cha kawaida Sana.
Hasa Kwa watu wapuuzi kama James Getogo majibu kama Yale ndio yanafaa Watu Aina yake.

Unamuuliza Muuguzi ishu za vifaa yeye anahusikaje?
Alafu ni wanaume Wawili wapuuzi wanamuandama Mwanamke, ajabu Sana Hii.
Kuna wanaume wengine wanatutia aibu Sana
 
Aende wapi wakati rose anagongwa na wakina DMO?
 
Huna lolote unamtetea mchaga mwenzio
 
Fala kweli wewe, haimuhusu vipi wakati hujui ni nani aliyekuwa anaenda kupimwa? Labda ni mke wangu je? Kiazi wewe

Sasa Kama anapikwa Mkeo au Mama yako au wewe mwenyewe, Rose kama Muuguzi anahusikaje? Hiyo ndio hoja.

Rose sio MTU wa maabara.
Rose sio incharge
Sasa niambie Rose anahusikaje kwenye vipimo vya MKE wako au wewe mwenyewe Kwa scenario ya Ile video?

Unajua majukumu ya Muuguzi?
 
watanzania tuna jisahau sijui ama ndo ujuvi mwingi
kwamba jamaa angepeleka ngazi za juu kwa maamuzi, sijui angesema vikao vya asubuhi daaah yaani tunasahau kabisa menejiment zetu zilivyo zimejaa mapungufu kibao wata amua nini cha maana tena unakuta wao ndio wameuza dawa zilizo kwenye muda wa matumizi na kuleta dawa/vipimo vilivyo isha muda

alafu ndio ukashtaki, hizi menejiment ambazo mkuu wa idara anamkura mfanyakazi na ww ukamshtaki hahahaha watanzania bwana.
 
Rose ndio anatoa mzigo kwenda maabara, alipaswa yeye agomee mzigo kuwa umeharibika,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…