Rostam Aziz alivyoihonga CCM Channel Ten kumnusuru mdogo wake asifungwe na Hayati Magufuli

Rostam Aziz alivyoihonga CCM Channel Ten kumnusuru mdogo wake asifungwe na Hayati Magufuli

Hadi leo sijawahi jua wanaogopa nini hadi kujaza mibunduki
Kuiga tawala za kikoloni wakatugawanya na kutengeneza chuki kati ya raia na viongozi....wanasahsu sisi ni wananhi wao na mwisho wa siku wanakuja kutupigia magoti wakiomba kura...lakini wakipata ghafla wanajeuka lulu na kuanza kulindwa hadi na mahelicopter... enzi za utawala wakichief ilikua ruksa kwenda kwa chief kumueleza shida zako...na huu ndo ulikua uafrica
 
Kuiga tawala za kikoloni wakatugawanya na kutengeneza chuki kati ya raia na viongozi....wanasahsu sisi ni wananhi wao na mwisho wa siku wanakuja kutupigia magoti wakiomba kura...lakini wakipata ghafla wanajeuka lulu na kuanza kulindwa hadi na mahelicopter... enzi za utawala wakichief ilikua ruksa kwenda kwa chief kumueleza shida zako...na huu ndo ulikua uafrica
Sahivi wanashindishwa na NEC
 
Mzee tupe nondo, inaelekea una story nyingi sana za ndani za yule mwamba
Kuna story yake nimeipata nikamuonea huruma na nimemsamehe kutoka moyoni,hata mi ningekuwa kama yeye,sitamsema tena vibaya
 
Magufuli alifanya vyema kuwakomesha mafisadi. Ujinga ni kutetea mwizi wa Mali ya umma wakati ni wanyonyaji zaidi ya wakoloni. Mkoloni mweusi ni sumu ndio maana nchi za Africa ziko nyuma sana kimaendeleo. Maendeleo haya yanakwamishw ma watu wachache tu. .
Kuhongwa chanel ten sio ufisadi?
 
plea negotiation kibongo inasaidia matajiri kuliko maskini yani unaweza fanya kosa huku una mtaji wa kulipa kosa.
 
plea negotiation kibongo inasaidia matajiri kuliko maskini yani unaweza fanya kosa huku una mtaji wa kulipa kosa.
Kabisa mkuu sasa masikini unaweza kukosa cha ku offer
 
2017
Hayati JPM anaunda timu kuhakiki mali za Chama cha mapinduzi chini ya Bashiru Ally
Kakurwa.

Kunagundulika matatizo katika hisa za CCM na Rostam ndani ya African Media Group.
Wamiliki wa Chanel 10 na magic Fm
Rostam anapigwa mkwara anakomaa.

2018
Toyota landcruiser iliyotumiwa na Nape kufanya kampeni mwaka 2015 inakamatwa na kurudishwa ofisi za CCM, Nape alishajimilikisha gari hilo utadhani CCM ni mali yake.

October 31 DSM
Mdogo wake Rosta Aziz aitwae Akram anakamatwa maenep ya Oyterbay na kufunguliwa kesi ya kuhujumu uchumi, kutakatisha pesa, kukamatwa na nyara za serikali, kukamatwa na risasi na bunduki, nyama ya nyati, pembe za ndovu kadhaa,jumla mashtaka 75.

Nov 13, 2018 DSM
Rais Magufuli anakutana na Rosta Aziz Ikulu,nwalichojadili sasa. Anakabidhi Chanel Ten kwa CCM kimya kimya.

Dec 22, 2018 DSM
Mahakama ya hakim mkazi kisutu inamuhukumu Akram Aziz kifungo cha miaka 20 jela au kulioa faini milioni 259.5, pesa inaenda kuchukuliwa fasta na anaachiwa huru.

February 2019 tunatangaziwa kuwa Chanel Ten na Magic FM ni mali ya CCM.
Rostam ni jambalika la majambalika ...hata hapa jf kesha anza kuingia kufanya yake ..kama mmiliki wa jf akiwa dhaifu basi jf itakuwa ni toilet paper ya wahuni wa ccm
 

Attachments

  • Screenshot_2023-01-09-09-22-54-03_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    Screenshot_2023-01-09-09-22-54-03_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
    124.1 KB · Views: 8
Jamii forum ina watu wa hovyo sana siku hizi. We kwa akili unaamini Magufuli alikufa kwa Corona?
Kikubwa alikufa tu,kilichomuua wanajua wachache sana
 
hawa mabingwa uliowazungushia si ndo walikuwa wanatembea na begi la hela la mzee akiwa ziarani... maisha yanakwenda kwa kasi mno.
Wamekula sana bata za per diem
 
Back
Top Bottom