Kuiga tawala za kikoloni wakatugawanya na kutengeneza chuki kati ya raia na viongozi....wanasahsu sisi ni wananhi wao na mwisho wa siku wanakuja kutupigia magoti wakiomba kura...lakini wakipata ghafla wanajeuka lulu na kuanza kulindwa hadi na mahelicopter... enzi za utawala wakichief ilikua ruksa kwenda kwa chief kumueleza shida zako...na huu ndo ulikua uafricaHadi leo sijawahi jua wanaogopa nini hadi kujaza mibunduki
Wapo hai kweli?Hapa Mwendazake alipoitembelea Ch10, walinzi wote hawa no wonder aliambukizwa coronaView attachment 2474316
Sahivi wanashindishwa na NECKuiga tawala za kikoloni wakatugawanya na kutengeneza chuki kati ya raia na viongozi....wanasahsu sisi ni wananhi wao na mwisho wa siku wanakuja kutupigia magoti wakiomba kura...lakini wakipata ghafla wanajeuka lulu na kuanza kulindwa hadi na mahelicopter... enzi za utawala wakichief ilikua ruksa kwenda kwa chief kumueleza shida zako...na huu ndo ulikua uafrica
Mzee tupe nondo, inaelekea una story nyingi sana za ndani za yule mwambaPost ya mwisho hii kumsema Jpm
IHata ikiandikwa, kama atapatikana Rais mwingine atayefanana na yule aliyekuwa ana file Mirembe, kwa mujibu wa Mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Mwanza, haitasaidia.
Lengo sio kurekebisha ya aliye haiKuyaongelea makosa ya marehemu, hairekebishi maboko ya aliye hai.
Kwani ukimsimulia haimaanishi unamchukia mkuuKuna story yake nimeipata nikamuonea huruma na nimemsamehe kutoka moyoni,hata mi ningekuwa kama yeye,sitamsema tena vibaya
Kuhongwa chanel ten sio ufisadi?Magufuli alifanya vyema kuwakomesha mafisadi. Ujinga ni kutetea mwizi wa Mali ya umma wakati ni wanyonyaji zaidi ya wakoloni. Mkoloni mweusi ni sumu ndio maana nchi za Africa ziko nyuma sana kimaendeleo. Maendeleo haya yanakwamishw ma watu wachache tu. .
Kama hukuwepo duniani labda , mbona hili jambo liko wazi kabisa !Do you have any supportive evidence??
Jamii forum ina watu wa hovyo sana siku hizi. We kwa akili unaamini Magufuli alikufa kwa Corona?Hapa Mwendazake alipoitembelea Ch10, walinzi wote hawa no wonder aliambukizwa coronaView attachment 2474316
Rostam ni jambalika la majambalika ...hata hapa jf kesha anza kuingia kufanya yake ..kama mmiliki wa jf akiwa dhaifu basi jf itakuwa ni toilet paper ya wahuni wa ccm2017
Hayati JPM anaunda timu kuhakiki mali za Chama cha mapinduzi chini ya Bashiru Ally
Kakurwa.
Kunagundulika matatizo katika hisa za CCM na Rostam ndani ya African Media Group.
Wamiliki wa Chanel 10 na magic Fm
Rostam anapigwa mkwara anakomaa.
2018
Toyota landcruiser iliyotumiwa na Nape kufanya kampeni mwaka 2015 inakamatwa na kurudishwa ofisi za CCM, Nape alishajimilikisha gari hilo utadhani CCM ni mali yake.
October 31 DSM
Mdogo wake Rosta Aziz aitwae Akram anakamatwa maenep ya Oyterbay na kufunguliwa kesi ya kuhujumu uchumi, kutakatisha pesa, kukamatwa na nyara za serikali, kukamatwa na risasi na bunduki, nyama ya nyati, pembe za ndovu kadhaa,jumla mashtaka 75.
Nov 13, 2018 DSM
Rais Magufuli anakutana na Rosta Aziz Ikulu,nwalichojadili sasa. Anakabidhi Chanel Ten kwa CCM kimya kimya.
Dec 22, 2018 DSM
Mahakama ya hakim mkazi kisutu inamuhukumu Akram Aziz kifungo cha miaka 20 jela au kulioa faini milioni 259.5, pesa inaenda kuchukuliwa fasta na anaachiwa huru.
February 2019 tunatangaziwa kuwa Chanel Ten na Magic FM ni mali ya CCM.
Hapana alikufa kwa vile alipenda kufa.Jamii forum ina watu wa hovyo sana siku hizi. We kwa akili unaamini Magufuli alikufa kwa Corona?
Buriani Magufuli, je hii zawadi haikuwa rushwa?
Issue ya Chanel 10 ilimuhusisha Lowasa 2018Buriani Magufuli, je hii zawadi haikuwa rushwa?
hawa mabingwa uliowazungushia si ndo walikuwa wanatembea na begi la hela la mzee akiwa ziarani... maisha yanakwenda kwa kasi mno.Hapa Mwendazake alipoitembelea Ch10, walinzi wote hawa no wonder aliambukizwa coronaView attachment 2474316