The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Habari za tajiri muulize maskini 🏃🏃Ana hela ana hela halafu ana hela tena. Siyo mtu wa makando kando, siyo mtu wa madili japo ilitumika nguvu kubwa kumchafua.
Aziz ni akili kubwa sana, tayari ashanunua shirika lenye ndege nyingi zaidi TZ. Nani mwingine ana jeuri hiyo?
Jamaa ni smart sana, kimavazi na upstairs.
Vijana wa TZ tuna la kujifunza hapa.
Jamaa lina mihela sanaHukutani nao tatzo hawapo kwenye cycle yako sipo hapa kupiga blahblah kwa jambo ambalo nina ushahidi nalo..au unadhani Million 100 kwa Rostam ni ngumu kama ilivyo kwetu sisi!?? Kawaulize wale wabunge waliopo bungeni kwamba mpaka wamefika pale wengi wao ni kwa msaada wa nani financially watakwambia!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa yangu pale mjengoni aliambiwa hivyo uchaguzi 2020[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu kuna jamaa yangu mwingine pale Morogoro kapewa M150 awape wajumbe wa CCM kaishia kuwapa elfu kumikumi badala ya 70 kama walivyokubaliana kilichofuatia kapigwa chini hela iliyobaki kamalizia mjengo wake kihonda
Kwenye umafia sikatai. Mimi nafanyeje ili niwe mafia? Muongozo!Utajiri.. u will never know whats behind the scene mwana ni mpiga dili tu mwenye konektion za kimataifa... ni mafia kuliko unavyodhani...
Mbauda ndio wapi🤔🤔Narudia tena huo mtaa huko Mbauda?
Ndo ninakoelekeaMpelekee mke wako akusaidie kumtunza,ili uendelee kumsifia mtaani!
Wow, njoo Dar basi tuzagamuane. 20K itakutosha of course!Kuala Lumpur
[emoji23] hupo!!hupo ndio nini mkuu!?
Wow, njoo Dar basi tuzagamuane. 20K itakutosha of course!
Mkuu tuache wivi bhana! Vunjabei hana jeuri hiyoKumbe Kanunua hivi vi cassena single engines vinatumika kumwagilizia pembejeo kwenye mashamba makubwa ya ngano? Pia vilikuwa vinamwagilia pesticide kuua nzinge. Mbona hata matajiri wengi uchwara kina vunjabei wanaweza kuvinunua tu kwa wingi?
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini hili. Born town hawezi kupelekeshwa kiasi hichoNdio hivyo. Kila mjanja ana mjanja wake.
Eti eeh? Sikujua hili, ila nikukumbushe tu. Ukweli hauna spare. Ni kweli ana pesa. Hata wewe ukiwa nazo watasema TU! Siku utakapotoka kuwa broke utajuaUkiona mwanaume anamsifia sanaa mwanaume mwenzie...ujue hapo baasi
Haya sasa story za vijiweni.Halafu ana roho smart ukipambana ukapata connection nae suala la kukusaidia milliono 100 ni jambo la kawaida sana kwake tena anakwambia nisamehe kwa hichi kidogo nilichojaaliwa ndugu yangu
HahahahHabari za tajiri muulize maskini [emoji125][emoji125]
Hapana, nakupenda, siwezi ishi bila wewe. Please nikubalie.Na wewe ni chawa wake au ??
[emoji23]JIZI LA CCM