inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ukweli ni kwamba serikali za huko zimeweka pesa kwenye uchimbajiBotswana kule wana hisa 49% government na 51% Debeers( kampuni inaitwa Debswana), na Namibian 49%government, na 51% Debeers,(kampuni inaitwa Namdeb)...huko walijitahidi toka mwanzoni kwa win-win situation, na sio sie tulileta siasa mapema, tukaanza kuwafukuza taratibu....
Akili tutazipata lini maana mwl jk alikataa kwasabb hatukua bado na wataalamKumbuka haya sio mahindi kwamba utapanda yakiisha, this are non renewable wakimaliza ni kubaki na mahandaki..., kina Chief Mangungo wa Msovero wangeamua kuanza kuyachimba kwa kasi kipindi kile kwa kupata percent za kishikaji hapa tungekuwa tunaongelea mahandaki ya Tanzania na pesa iliyopatikana waliyokula wote tumeshawazika (nothing sustainable has been done)
In short tulivyokuwa tunasubiri tupate akili ili tuweze kuanza kutumia hizi resources zetu kwa faida zetu ni kwamba akili hizo bado hatujazipata...
Tena sio wapo tu na picha za udhibitiisho wanazoKuna uwezekano mababu zake wapo kwenye ardhi ya Tanganyika kitambo kuliko mababu zako.
Kuna wa-asia bongo wapo kitambo kuliko wabongo weusi.
Pamoja na pongezi nyingi kwa RA kununua HISA za Williamson Diamonds Limited but hapo kwenye kusafirisha ALMASI hapo, tukubaliane hapo umedanganya. Kwenye migodi yote, hakunaga ndege inayo ruka from mgodini to South Africa, ingekua hivyo then kulikua hakuna sababu ya kufunga RADA za kuilinda nchi yetu. Fanyeni utafiti vizuri, viwanja vyote vya ndege vya huko bado hizo ndege zake zinatua kwanza kwenye viwanja vyetu vya TAIFA ndipo safari huanzia either Dar, KIA au Mwanza na hiyo mizigo husafiri kama ambavyo mizigo mingine huaga inasafiri, mamlaka za nchi hua zimejiridhisha vizuri kabisa kuhusu hilo; kwa ufupi jamaa hawaibi, wanaruhusiwa na sisi hawa hawa!
Hapo botswana baba wa taifa hilo alikaa vizr na mwingereza awali wakapanga win win situationNimeona nikianza kuchambua point moja ya nyingine tutachukua muda mrefu sana nikuulize tu swali moja; Hivi Botswana wanavyofaidika na Almasi zao ni sawa na sisi ?
Kumbuka uchimbaji una athari za kimazingira na inaweza kuleta kero kwa wakazi wanaozunguka mahali husika, kwahio issue ni kupata the best deal you can na sio any deal ili mradi tu uchimbe; tusiongelee sana Diamonds ambazo Debeers wana-manipulate soko ila tuongelee madini mengine kama gold (yenye matumizi lukuki hata industrial na ni easier to sell); narudia tena kuliko kuyagawa kama zawadi ni bora kungojea tupate akili sababu hayaozi...
Wala hiyo sio sababu, kipindi wanakuja viongozi walihongwa wakawaachia kila kitu.Hapo botswana baba wa taifa hilo alikaa vizr na mwingereza awali wakapanga win win situation
Huku watu walikataa mpaka watu wao wapate ujuz ndio hapo naona mattz yalipoanzia
Hata Tanzania ilikuwa na hisa ya 49% katika mgodi huo wa Mwadui enzi za Mwalimu, lakini baadaye serikali ikawauzia makaburu hisa zake na kubakiza 25%.Botswana kule wana hisa 49% government na 51% Debeers( kampuni inaitwa Debswana), na Namibian 49%government, na 51% Debeers,(kampuni inaitwa Namdeb)...huko walijitahidi toka mwanzoni kwa win-win situation, na sio sie tulileta siasa mapema sijui hao mabeberu ni., hivyo tukaanza kuwafukuza taratibu....
Kinachotokea sasa kivipi wakati hao Petra Diamonds wanamiliki hizo hisa kwa miaka kadhaa?! As long as Petra walikuwa wanamiliki hizo hisa, huwezi kuwazuia kuuza kwa sababu ni mali yao!!Kinachoendelea sasa ni looting of our national resources.
Through the so called investments.
Asipotokea mtu kusimama kidete we are all done.
Una Uhakika na unachosema ?Hapo botswana baba wa taifa hilo alikaa vizr na mwingereza awali wakapanga win win situation
Huku watu walikataa mpaka watu wao wapate ujuz ndio hapo naona mattz yalipoanzia
Unadhani baada ya hiyo miaka kadhaa wakiondoka watakuwa wameacha percent ngapi na hio percent iliyobaki itahitaji resources kiasi gani ili kuipata ?Kinachotokea sasa kivipi wakati hao Petra Diamonds wanamiliki hizo hisa kwa miaka kadhaa?! As long as Petra walikuwa wanamiliki hizo hisa, huwezi kuwazuia kuuza kwa sababu ni mali yao!!
Jambo la kuhoji ni ikiwa imelipwa Capital Gain Tax.
Pamoja na pongezi nyingi kwa RA kununua HISA za Williamson Diamonds Limited but hapo kwenye kusafirisha ALMASI hapo, tukubaliane hapo umedanganya. Kwenye migodi yote, hakunaga ndege inayo ruka from mgodini to South Africa, ingekua hivyo then kulikua hakuna sababu ya kufunga RADA za kuilinda nchi yetu. Fanyeni utafiti vizuri, viwanja vyote vya ndege vya huko bado hizo ndege zake zinatua kwanza kwenye viwanja vyetu vya TAIFA ndipo safari huanzia either Dar, KIA au Mwanza na hiyo mizigo husafiri kama ambavyo mizigo mingine huaga inasafiri, mamlaka za nchi hua zimejiridhisha vizuri kabisa kuhusu hilo; kwa ufupi jamaa hawaibi, wanaruhusiwa na sisi hawa hawa!
Baada ya miaka kadhaa kivipi wakati ni mgodi wenyewe ndio hadi sasa tayari una miaka kadhaa?!Unadhani baada ya hiyo miaka kadhaa wakiondoka watakuwa wameacha percent ngapi na hio percent iliyobaki itahitaji resources kiasi gani ili kuipata ?
Au watatuachia Makumbusho kwamba hapa kwenye haya maandaki once kulikuwa na one of the richest diamond mines (ukiulizwa ulipata nini na huo utajiri kama taifa na uliufanyia nini...) nadhani itabidi ubadilishe topic na kuanza kuongelea mengine kama yapo...
you deserve that alias name of Samurai 👏🏿Chinese wengi waliopo hapa wanabackup kutoka china kwenye financial institutions na government support incase kuna opportunity imeonekana huku....
Indians na Arabs waliopo hapa wengi wana circles zao kwa ajili ya kupigana tafu, lakini pia ipo mikopo rahisi ndani ya familia isiyo na riba, Arabs wengi wanapata support kutoa Oman na UAE kwa kupewa mikopo bila riba au biashara mali kauli mfano mafuta na spare parts na wengine hata kwenda kupewa ajira uarabuni kiundugu kwa ajili ya kusupport wenzao huku..... Uwepo wao hapa unawapa chance ya kuziona opportunity na kuziingia huku wakipata unafuu kama wazawa...wengi unakuta wanarun biashara sio zao wenye nazo hawapo hapa na si watanzania...kazi yao ni kuleta mitaji na waliopo kutorosha hela kupitia njia mbalimbali... Lakini pia walioko nje huwapa connection za masoko uarabuni, umangani na uhindini huko....ndio maana akina Manji, Dewji,Fida hussein ndio wanunuzi na wauzaji wa nafaka na mazao mbalimbali, na madini, JPM alipojaribu kuweka miguu walimkomesha mazao yakadodea wakulima, na Tanzanite ikashuka bei..
Tanzania ina opportunities nyingi sana, Wazawa hawana maarifa, hawana mitaji, hawana acces ya masoko ya kimataifa, chanzo chake ni siasa za kijamaa toka uhuru na ubichwa ngumu wa wanasiasa kuendelea kuamini zama za mawe na ubaguzi wa kidini, kikabila, kindugu nk...
Unahitaji kuandika kitabu juu ya haya...na unaweza hata kutolewa roho, Marehemu Rev Mtikira alikuwa na mengi juu ya hawa watu..
Mbunge gani nchi hii ea chama chochote kile amewahi kufanya chochote ?Igunga alifanya cha maana chochote?
Mimi sielewi model ya Botswana tuwekee hapa tuilinganishe apples by applesNimeona nikianza kuchambua point moja ya nyingine tutachukua muda mrefu sana nikuulize tu swali moja; Hivi Botswana wanavyofaidika na Almasi zao ni sawa na sisi ?
Kumbuka uchimbaji una athari za kimazingira na inaweza kuleta kero kwa wakazi wanaozunguka mahali husika, kwahio issue ni kupata the best deal you can na sio any deal ili mradi tu uchimbe; tusiongelee sana Diamonds ambazo Debeers wana-manipulate soko ila tuongelee madini mengine kama gold (yenye matumizi lukuki hata industrial na ni easier to sell); narudia tena kuliko kuyagawa kama zawadi ni bora kungojea tupate akili sababu hayaozi...
iranKumbe Rostam Aziz ni Mzawa mwenzetu! Nilijua ni Mtanzania mwenye asili ya India.
Aliahid kuvuta umeme igunga na alitimiza ahad yakeIgunga alifanya cha maana chochote?
Walianza kabla ticha hajaja darAkili tutazipata lini maana mwl jk alikataa kwasabb hatukua bado na wataalam
Hawa jamaa wakiacha kutumia haya madini ss tunapakuyapeleka?
Suala sio wafanyakazi wanalipwa kiasi ganiUna Uhakika na unachosema ?
Kipindi cha Mwalimu Serikali ilikuwa inakula kiasi gani ?, Wafanyakazi huko walikuwa wanapewa marupurupu kiasi gani, na maisha ya Mwadui yalikuwa vipi ?, Ulizia watu waliokuwa wanafanya kazi huko watakwambia..., Mwadui wafanyakazi wao na maisha ya kule yalikuwa among Cream de la Cream ya maisha mazuri Tanzania