Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Mheshimiwa Halisi,

Kwa hiyo umewabariki hao mafisadi wa habari, na unataka kutuambia hili suala limeanza sasa, au ni breaking news, hivyo habari kamili zinafuata...

Whether you like or not, Nchi inarudishwa nyuma na uandishi uchwara!!! Yaani uiambie jamii siku zote hizo kwamba Mweka hazina alikuwa Mwanakijiji alafu uje kirahisi tu useme sasa mwaka hazina alikuwa Mwafrika wa Kike na sio Mwanakijiji!!!

Tatizo la qualification za Uandishi wa Habari wa TZ utaimaliza nchi... na nadhani unajua Qualification ni Kukosa daraja la Kwanza au la Pili "O" and/or "A" level.


Una maana agani kusema kuwa qualification za waandishi zina matatizo. Tatizo lenu wanaccm mnataka kugeuza issue ya wizi mkubwa wa pesa kuwa anti-media. Of all things ambazo ungepigia kelele hapa duniani ni provacative journalism ya thisday?

Shame on you ccm!
 
Kuna mada mbili tofauti na tusizikuze pasipo ulazima.

a. Waandishi wameandika walichoandika na maadili ya uandishi waliotumia wakati mwingine yawezekana ni kupindisha ujumbe ili kufikia lengo fulani.

Mojawapo ya vitu ambavyo nimeviona miaka hii miwili ambapo mapambano ya kifikra yamepamba moto ni haya ya kuwataka viongozi wazungumze. Na mojawapo ni kuwaweka kwenye rekodi wamesema nini kuhusu nini.

Mama Meghji aliposema kuwa amedanganywa na Balali kuhusu malipo ya Kagoda alijiweka kwenye rekodi, leo hii hisia zinaonesha kuwa Balali alimuambia kweli. Kwa sababu hadi sasa watu wa Usalama wa Taifa hawajakanusha kuhusika kwao na ufujaji wa fedha za EPA.

Lakini la pili ni kubwa zaidi nalo ni mtandao uliotumika. Ukisoma vizuri utaona kuwa RA hakanushi kuhusika kwa namna yoyote ile na uchotaji wa fedha za EPA anakanusha kuwa Mweka Hazina wakati huo kitu ambacho kitazua hoja nyingine baadaye. Ni nani alikuwa anasimamia mambo ya fedha ya Kampeni za Uchaguzi za CCM mwaka 2005?
 
Una maana agani kusema kuwa qualification za waandishi zina matatizo. Tatizo lenu wanaccm mnataka kugeuza issue ya wizi mkubwa wa pesa kuwa anti-media. Of all things ambazo ungepigia kelele hapa duniani ni provacative journalism ya thisday?

Shame on you ccm!

Umeanza!!!
Kama kichwa chako, akili yako, moyo wako na kiwili wili chako kinakutuma kwamba mimi ni mwanaCCM then unahitaji kwenda hospital mapema inavyowezekana!!!

Rudi kwenye hoja??? sitakueleza mambo ambayo yako obvious.!!!
 
Kuna mada mbili tofauti na tusizikuze pasipo ulazima.

a. Waandishi wameandika walichoandika na maadili ya uandishi waliotumia wakati mwingine yawezekana ni kupindisha ujumbe ili kufikia lengo fulani.

Mojawapo ya vitu ambavyo nimeviona miaka hii miwili ambapo mapambano ya kifikra yamepamba moto ni haya ya kuwataka viongozi wazungumze. Na mojawapo ni kuwaweka kwenye rekodi wamesema nini kuhusu nini.

Mama Meghji aliposema kuwa amedanganywa na Balali kuhusu malipo ya Kagoda alijiweka kwenye rekodi, leo hii hisia zinaonesha kuwa Balali alimuambia kweli. Kwa sababu hadi sasa watu wa Usalama wa Taifa hawajakanusha kuhusika kwao na ufujaji wa fedha za EPA.

Lakini la pili ni kubwa zaidi nalo ni mtandao uliotumika. Ukisoma vizuri utaona kuwa RA hakanushi kuhusika kwa namna yoyote ile na uchotaji wa fedha za EPA anakanusha kuwa Mweka Hazina wakati huo kitu ambacho kitazua hoja nyingine baadaye. Ni nani alikuwa anasimamia mambo ya fedha ya Kampeni za Uchaguzi za CCM mwaka 2005?

Exactly Mkjj,

Provocative journalism inatumika kila mahali na ni part ya strategy ya uandishi. Bila hii story Mwizi na Mkoloni na jambazi kubwa kabisa nchini Rostam Azizi asingeweza kuongea na thisday.

Sasa mambo yameanza kujionyesha, imefahamika wazi sasa kwa watu wote kuwa Mbatia alikuwa mtunza fedha za wizi toka BOT. Na sasa ile theory inayoendelea mtaani kuhusu kifo cha Mbatia inakuja kuwa kwenye maabara zote za uchunguzi.

Huu wizi unaenda moja kwa moja miguuni pa Kikwete na rafiki yake mkuu Rostam Azizi. Mambo ya kutoana kafara yamekwisha sasa na ni wakati watanzania wajue mtu waliyemchagua kuwa rais wa nchi yao.
 
Nice try, lakini ndio ethically is it acceptable?

Masatu,

Are you living in a box? you are asking about ethics about the reporting or the efforts to pry the truth about the whoe issue of BOT which was UNETHICAL?

Ask TAKUKURU who used ethics to investigate Richmnond and came out empty handed!
 
Umeanza!!!
Kama kichwa chako, akili yako, moyo wako na kiwili wili chako kinakutuma kwamba mimi ni mwanaCCM then unahitaji kwenda hospital mapema inavyowezekana!!!

Rudi kwenye hoja??? sitakueleza mambo ambayo yako obvious.!!!

Wewe ni mwanaccm au unataka nilete posting zako ulizoziweka hapa wakati wa uchaguzi wa ccm kule Dodoma wakati ukitumia jina la Kilitime?

Mbona kila wakati unataka nikuaibishe hapa jukwaani mzee wangu?
 
Lakini la pili ni kubwa zaidi nalo ni mtandao uliotumika. Ukisoma vizuri utaona kuwa RA hakanushi kuhusika kwa namna yoyote ile na uchotaji wa fedha za EPA anakanusha kuwa Mweka Hazina wakati huo kitu ambacho kitazua hoja nyingine baadaye. Ni nani alikuwa anasimamia mambo ya fedha ya Kampeni za Uchaguzi za CCM mwaka 2005?

Heshima mbele Mzee MwanaKijiji!,

Bado tunarudi kulekule kungekuwa na uandishi makini maswali yako yangekuwa na majibu mpaka sasa!!! lakini haikuwa hivyo!!! Ukweli utabaki pale pale kama hiyo pillar isipokuwa makini inafanya nchi iparanganyike!

Hii habari sio ya jana, au sio breaking news!!! Nikukumbushe tu kwamba kuna kipindi Mangula alikuwa akiongelea mambo mengi ya CCM na waandishi wa Habari.
Nauliza kama kiongozi mkuu kwenye kampeni nani aliwahi kumuuliza hayo maswali?
 
Halisi unataka tu-appreciate hata mis-leading information kwakuwa tu imetaja mafisadi???

Waandishi, hebu kuweni makini bwana!!! kama hamuwezi, nendeni shule kwanza!!
 
Heshima mbele Mzee MwanaKijiji!,

Bado tunarudi kulekule kungekuwa na uandishi makini maswali yako yangekuwa na majibu mpaka sasa!!! lakini haikuwa hivyo!!! Ukweli utabaki pale pale kama hiyo pillar isipokuwa makini inafanya nchi iparanganyike!

yala yala yala yala yala,

hii kitu mtajaribu sana kuispin lakini hapa halali mtu mpaka kieleweke. Huu uandishi uliotumika hapa ni halali kabisa na ni part ya strategy ya media. Sasa muanze kukaa vikao kujiandaa kuspin yanayosemwa mtaani sasa hivi kuhusu aliyemuaa mama mbatia
 
Halisi unataka tu-appreciate hata mis-leading information kwakuwa tu imetaja mafisadi???

Waandishi, hebu kuweni makini bwana!!! kama hamuwezi, nendeni shule kwanza!!

Hakuna misleading hapa ndio maana wasomaji wa magazeti wanategemewa kutumiwa vichwa vyao kuelewa habari na sio macho tu
 
yala yala yala yala yala,

hii kitu mtajaribu sana kuispin lakini hapa halali mtu mpaka kieleweke. Huu uandishi uliotumika hapa ni halali kabisa na ni part ya strategy ya media. Sasa muanze kukaa vikao kujiandaa kuspin yanayosemwa mtaani sasa hivi kuhusu aliyemuaa mama mbatia

Kwi kwi kwi,

Naona umenipa uanachama wa CCM!!!

Kama uongo ndio strategy zenu then your integrity is questionable!!!
 
Kama Kiingereza changu hakinipi kiwi ya macho; nikisoma katikati ya mstari naelewa hivi:

1. Rostam anatuhumiwa na This Day kuwa alihusika kwa kuwa alikuwa ndani ya kamati ya watu 22 ya kampeni ya uchaguzi ya mwaka 2005.

2. Yeye anasema hakuwa mweka hazina wa CCm mwaka 2005, bali marehemu mama Mbatia.

3. no 3 hapo juu halina ugomvi kwasababu nafasi anayosemwa nayo sio ya uweka hazina bali ya kwenye kamati ya kampeni ua uchaguzi.

4. kumuingiza marehemu kwenye hili ni kutaka kuizika hoja dhidi yake.

5. This Day sio wajinga; naamini wanajua wanachoandika, na naamini Rostam kwa kujibu alivyojibu kajiingiza mtegoni.

6. Jibu la Rostam linarudisha mjadala wa kifo cha huyo mama. pengine ilishanukia kuwa iko sooo, kama wanavyosema This Day kuwa wengi wa watuhumiwa wanasingizia kampeni; kama ndivyo, marehemu peke yake ndiye alijua ukweli kama zilitumika kwenye kampeni au la; au kama ziliingia kwenye account ya CCM au la; ndio maana kifo chake ni ahueni kwa wengi. Si ajabu baada ya kifo chake kuna mafaili hayapo ofisini kwake.

7. Guys, lets read between the lines and digest the information. Iko habari nzito hapa
 
Mimi nina imani na this day kabisa kabisa .Sijui wewe unasemaje .
 
Kwi kwi kwi,

Naona umenipa uanachama wa CCM!!!

Kama uongo ndio strategy zenu then your integrity is questionable!!!

kwani wewe umeanza leo kuquestion integrity yangu? Usijali sana na intergrity yangu maana huwa iko hatarini kuharibika every time ccm wakiiba mabilioni ya mapesa ya watanzania na kuacha watoto wadogo na kinamama wajawazito wakifa bila dawa za kutibika.

Intergrity yangu is nothing compared to mali ya watanzania. So let's go back to you and your ccm membership. Umeukana lini?
 
Halisi unataka tu-appreciate hata mis-leading information kwakuwa tu imetaja mafisadi???

Waandishi, hebu kuweni makini bwana!!! kama hamuwezi, nendeni shule kwanza!!

Hiyo si MADA kwa WATANZANIA (Kama wewe si Mtanzania haina shida). Mada kwa Watanzania ni nani alighushi nyaraka za Kagoda? nani alikula zile fedha? Nani alinufaika? nani alikua wapi? Mangula alikua Katibua Mkuu, na Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni, lakini leo hii ukimuuliza hajui hata fedha zilivyoingia na kutoka, nenda kaulize pale Upanga!!!! HISTORIA ITATUHUKUMU maandishi ya kupamba hayasaidii na bungeni leo hata wana CCM wametaka mambo yawe hadharani, wanajua wakirudi badala ya kuzomewa majimboni sasa watapigwa mawe
 
Mimi nina imani na this day kabisa kabisa .Sijui wewe unasemaje .

Lunyungu,

Thisday wamecheza bonge la game (very smart) kwenye journalism. Kila mwanaccm au kiongozi wa ccm hapa muda si mrefu atalowa tope la wizi huu wa BOT. Mpango wa kumwekea lawama zote Balali umeanza kufeli na sasa Rostam ameleta issue ya mama Mbatia na kifo chake cha kutatanisha!

Kamata popcorn na enjoy the movie, mafisadi wataanikwa hapa na Tanzania yote, kitakachofuatia ni MUNGU tu ndiye anajua kwa sasa

Good job Thisday!
 
Mwafika jike mimi I warned you guys hapa kwamba Ballali hatashitakiwa na wao waliomba kifo chake kama cha Mbatia leo wanaanza kumtupia mzigo. CCM laana sana nyie watu .Sasa This Day wameanza upya wakati System wanakaa vikao wanapanga kwenda US ku compromise na Ballali asiongee .Lakini wamesahau kwamba wamesha mbomoa sana sana kitaifa na kimataifa hadi washinda hoi kuamua kugawana shamba lake kwa jina kuitwa Fisadi lakini walio husika wako kimya .Sasa mchezo umeanza. Hawajui pa kuanzia maana wanataka kukaa na ndugu zake wapewe ujumbe ili waende kwa Ballali nalo wanaliona la moto ndugu zake hawana habari tena . JK alifaya kwa sifa lakini ataona moto wake . Ninawaamini this day sina mashaka nao hata kidogo . Tuendelee .
 
Thisday wanalaumiwa lakini huu ndio utamu wa mada kutaja RA na kuwa moto. Keep it up
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 49 (28 members and 21 guests

Yes, it is very interesting, jinsi twisting ya wizi wa pesa zetu inavotaka fanyika!!!, yaani hapa piga ua galagaza lazima wezi wetu washikwe mashati na warudishe kilicho chetu,

ama this day wamekosea, ama ni mkakati wa kumfanya aongee, hilo haliondoi ukweli kwamba RA kupitia kagoda alichota pesa yetu.

We need our money back, na huu ujanja wa kujiondoa asiendelee kuwa mweka hazina baada ya kuficha mafyongo yote.. yote tutayajua tu! and for sure he will pay!
 
Back
Top Bottom