Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

kilicho kwenda kwa mganga hakirudi,tumeliwa na tunaendelea kuliwa mpaka pence ya mwisho,nilitoa wito b4 dawa ni kuwafuata majumbani kwao na kuwaomba warudishe chetu baada ya siku mbili kinyume chake ni kuwachapa bakora tu.hakuna tutakacho poteza .
 
Mwafika jike mimi I warned you guys hapa kwamba Ballali hatashitakiwa na wao waliomba kifo chake kama cha Mbatia leo wanaanza kumtupia mzigo. CCM laana sana nyie watu .Sasa This Day wameanza upya wakati System wanakaa vikao wanapanga kwenda US ku compromise na Ballali asiongee .Lakini wamesahau kwamba wamesha mbomoa sana sana kitaifa na kimataifa hadi washinda hoi kuamua kugawana shamba lake kwa jina kuitwa Fisadi lakini walio husika wako kimya .Sasa mchezo umeanza. Hawajui pa kuanzia maana wanataka kukaa na ndugu zake wapewe ujumbe ili waende kwa Ballali nalo wanaliona la moto ndugu zake hawana habari tena . JK alifaya kwa sifa lakini ataona moto wake . Ninawaamini this day sina mashaka nao hata kidogo . Tuendelee .

Lunyungu,

Mimi sina wasiwasi na walichofanya Thisday na ninapongeza sana juhudi zao. Kila kitu hapa kina calculation kubwa na ninaungana nawe kuwa nina imani kubwa so far na Thisday.

Watu wengi wameanza kusahau kuhusika kwa Rostam Azizi katika hili saga. Rostam Azizi akirudi kwenye hii sakata basi na uchaguzi wa ccm na wataifa wa mwaka 2005 lazima urudi kwenye investigation hapa na Kikwete lazima awe tena center ya hii investigation.

Hii ni the best game out there. The same thing kwenye dosier ya Slaa BOT. Tumia tafsiri ya moja kwa moja kuwa TISS ni usalama wa taifa (kama ilivyo kweli) na kisha kama wakianza kubisha basi waachie hiyo burden ya kusema nani yuko behind TISS! wote wakalowa na wamebaki kurushiana lawama tu.

GOOD JOB THISDAY....... Finally Fisadi mkuu Rostam ameingia kwenye record na kuongea kuhusu wizi anaohusika moja kwa moja wa BoT.
 
Nina taarifa kwamba Ballali hakuwa kuwa mwanamtandao na mambo yalianza kuvuja slowly baada ya Ballali kuomba returns toka kwa RA juu ya mamilioni yetu yalio enda huko Usalama sijui wapi na mengine wakakimbia nayo ndipo uchuro ukaanza hadi watu nje wakajua kwamba kuna ufujaji. Watu walisha kusema Slaa ni kichaa sawa na Mrema .Lakini Mrema aliyasema haya long enough wakatumia usanii wa aina ya Masatu kusema wanataka ukweli . Leo kaja Slaa wakasemna ni uongo tena hapa hapa ubaoni watu walidiriki kusema ni uzushi na fitina leo here we are .Na This Day nasema endeleeni naelewa msemalo ila mnasema kwa hatua .
 
Mimi nina imani na this day kabisa kabisa .Sijui wewe unasemaje .

Yes, nchi imeparanganyikiwa!!!

Sio tena kusoma na kujaji habari specific kujua ukweli wake au uongo wake!!! bali kusoma na kuelewa/kutoelewa kwa imani kila habari ya chombo fulani!!!

"eeeeh tate nanee!!!



Du! au sijui maana ya Imani!!! Kazi kweli kweli!!!
 
Nina taarifa kwamba Ballali hakuwa kuwa mwanamtandao na mambo yalianza kuvuja slowly baada ya Ballali kuomba returns toka kwa RA juu ya mamilioni yetu yalio enda huko Usalama sijui wapi na mengine wakakimbia nayo ndipo uchuro ukaanza hadi watu nje wakajua kwamba kuna ufujaji. Watu walisha kusema Slaa ni kichaa sawa na Mrema .Lakini Mrema aliyasema haya long enough wakatumia usanii wa aina ya Masatu kusema wanataka ukweli . Leo kaja Slaa wakasemna ni uongo tena hapa hapa ubaoni watu walidiriki kusema ni uzushi na fitina leo here we are .Na This Day nasema endeleeni naelewa msemalo ila mnasema kwa hatua .
Kwa taarifa yako rekodi hazionyeshi kwamba auditing ya EPA account mwanzilishi kwamba ni Dr. Slaa... Mwanzilishi wa Account ya EPA kukaguliwa kwa undani ni serikali yenyewe!!! ingawa sikulaumu kwa kuwa vyombo vya habari vilihalalisha hivyo kama walivyosema Rostam alikuwa Mweka Hazina...

Dr. Slaa alikuwa mwanzilishi kwenye akina deep green finance issues etc...


Ungekuwa unasoma btn the lines ungejua ndio maana Dr. Slaa anataka Twin Tower na Kagoda & deep green zifanyiwe kazi maana yeye ndio hapa anaweza score... huko kwenye EPA ni government yenyewe...
 
Yes, nchi imeparanganyikiwa!!!

Sio tena kusoma na kujaji habari specific kujua ukweli wake au uongo wake!!! bali kusoma na kuelewa/kutoelewa kwa imani kila habari ya chombo fulani!!!

"eeeeh tate nanee!!!



Du! au sijui maana ya Imani!!! Kazi kweli kweli!!!

Imani zikpo nyingi, hata CCM wanaamini hawakutumia ufisadi katika ushindi wao wa kishindo! tuta shuhudia imani nyingi tu mwaka huu
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 49 (28 members and 21 guests

People need to get more development on this issue!!!, unfortunately hakuna jipya!!!
Watu makini wote walijua RA hakuwa mweka hazina wakati wa kampeni, hivyo haikuhitajika habari hiyo isomwe leo!!! na kamati ya kampeni ilikuwa kwenye tovuti ya CCM hata kipindi hicho... so simply no news!!!
 
Imani zikpo nyingi, hata CCM wanaamini hawakutumia ufisadi katika ushindi wao wa kishindo! tuta shuhudia imani nyingi tu mwaka huu

Kweli Mkuu!!! Natamani tutoke kwenye imani tuende kwenye facts kwa haraka zaidi, we spend a lot of time... kuonyeshana imani...
 
Hii story ni ya kiuchokozi na kam tuantaka kufanikiwa vita hii dhidi ya ufisadi na mafisadi ni lazima RA awekwe karibu ili kuweza kumtoa nyoka pangoni.

Huyu RA anahusika na ufisadi huu na haswa ule wa Kagoda ambao alikuwa ameziweka ofisi za chama kule msasani kwake na hapo ndipo ilikuwa hazina ya CCM kwa wakati wa kampeni za 2005.

Someni kwa makini na pia kuna haja ya kuangalia ni kwanini hiyo story ikawa hivyo sio kuangalia kwa makengeza ,by the way hiyo 2005 ROSTAM alikuwa na cheo gani huko CCM kilichomwezesha kuwa mjumbe wa timu nzito ya kampeni?

Angalieni wajumbe wengine wote wa hiyo timu walikuwa na vyeo ndani ya CCM huyu alitokea wapi???
 
Kwa taarifa yako rekodi hazionyeshi kwamba auditing ya EPA account mwanzilishi kwamba ni Dr. Slaa... Mwanzilishi wa Account ya EPA kukaguliwa kwa undani ni serikali yenyewe!!! ingawa sikulaumu kwa kuwa vyombo vya habari vilihalalisha hivyo kama walivyosema Rostam alikuwa Mweka Hazina...

Dr. Slaa alikuwa mwanzilishi kwenye akina deep green finance issues etc...


Ungekuwa unasoma btn the lines ungejua ndio maana Dr. Slaa anataka Twin Tower na Kagoda & deep green zifanyiwe kazi maana yeye ndio hapa anaweza score... huko kwenye EPA ni government yenyewe...

Unachojaribu kusema hapa ni nini hasa? Kwamba kuna wizi BoT ni muhimu kuliko mwingine au selective auditing na reporting ya BoT ni kitu cha kujivunia hapa!

Kadri unavyojaribu kumtoa Dr Slaa kwenye hili sakata ndivyo unazidi kucheza muziki ambao umewekewa hapa uucheze - kujaribu kutetea wizi kwa kila aina ya spin.

Mimi nimenunua glasses mpya ili nione vizuri unavyojaribu kudensi hapa ............
 
Hii story ni ya kiuchokozi na kam tuantaka kufanikiwa vita hii dhidi ya ufisadi na mafisadi ni lazima RA awekwe karibu ili kuweza kumtoa nyoka pangoni.

Huyu RA anahusika na ufisadi huu na haswa ule wa Kagoda ambao alikuwa ameziweka ofisi za chama kule msasani kwake na hapo ndipo ilikuwa hazina ya CCM kwa wakati wa kampeni za 2005.

Someni kwa makini na pia kuna haja ya kuangalia ni kwanini hiyo story ikawa hivyo sio kuangalia kwa makengeza ,by the way hiyo 2005 ROSTAM alikuwa na cheo gani huko CCM kilichomwezesha kuwa mjumbe wa timu nzito ya kampeni?

Angalieni wajumbe wengine wote wa hiyo timu walikuwa na vyeo ndani ya CCM huyu alitokea wapi???

Mpaka kieleweke,

Asante sana kwa kuuliza maswali ambayo mwandishi wa story ya Thisday anataka watanzania wajiulize. Unajua ccm walijua kuwa kifo cha Mbatia na "Balali" vingemaliza hii skendo na kuitupa kapuni bila kujua kuwa hapa JF kuna watu hawalali mpaka kieleweke!
 
Hii story ni ya kiuchokozi na kam tuantaka kufanikiwa vita hii dhidi ya ufisadi na mafisadi ni lazima RA awekwe karibu ili kuweza kumtoa nyoka pangoni.

Huyu RA anahusika na ufisadi huu na haswa ule wa Kagoda ambao alikuwa ameziweka ofisi za chama kule msasani kwake na hapo ndipo ilikuwa hazina ya CCM kwa wakati wa kampeni za 2005.

Someni kwa makini na pia kuna haja ya kuangalia ni kwanini hiyo story ikawa hivyo sio kuangalia kwa makengeza
Naomba maelezo ya connection yanayoeleweka, maana nimepitia sehemu nyingi nimeona ziko kiimani tu!!!... nisaidie nitaelewa tu kama kuna logic,
Mimi mambo ya imani ni kwenye dini tu!!! sio huku kwenye siasa na mstakabali wa nchi, ndio maana sina permanent friend nor parmanent enemy... only Tanzania is my friend to-my-death.


by the way hiyo 2005 ROSTAM alikuwa na cheo gani huko CCM kilichomwezesha kuwa mjumbe wa timu nzito ya kampeni?
Angalieni wajumbe wengine wote wa hiyo timu walikuwa na vyeo ndani ya CCM huyu alitokea wapi???
Nakumbuka alikuwa Mjumbe wa NEC, kama walivyokuwa wajumbe wengine wengi!
 
Hii kazi ya kuutetea uongo inahitaji mtu mwenye akili sana sio kila mtu anaweza kuifanya kazi hii kwani inahitaji umahiri mkubwa sana .
 
Mpaka kieleweke,

Asante sana kwa kuuliza maswali ambayo mwandishi wa story ya Thisday anataka watanzania wajiulize. Unajua ccm walijua kuwa kifo cha Mbatia na "Balali" vingemaliza hii skendo na kuitupa kapuni bila kujua kuwa hapa JF kuna watu hawalali mpaka kieleweke!

Ahsante mama, wewe uliongea na Mwenyezi Mungu kwamba Marehemu Mbatia (RIP) angekufa kwa kifo gani?

Naomba na kukushauri utubu kwa Mungu wako!!! unatenda dhambi kubwa sana!!!
 
Ahsante mama, wewe uliongea na Mwenyezi Mungu kwamba Marehemu Mbatia (RIP) angekufa kwa kifo gani?

Naomba na kukushauri utubu kwa Mungu wako!!! unatenda dhambi kubwa sana!!!

Kufa kila mtu atakufa, lakini swala ni mazingira yanayo zunguka kifo chenyewe,

Labda kwa kifupi ndugu waweza tueleza dereva aliye sababisha ajali alipo sasa??? haiitaji kuwa na degree kulitambua hili..
 
Ahsante mama, wewe uliongea na Mwenyezi Mungu kwamba Marehemu Mbatia (RIP) angekufa kwa kifo gani?

Naomba na kukushauri utubu kwa Mungu wako!!! unatenda dhambi kubwa sana!!!

ccm wamechemsha for now big tyme. Balali hajakufa (he aint dead yet) kama walivyotaka na sasa vikao kila siku. I say again kuwa kifo cha Mama Mbatia (ambaye inabidi aunguzwe mara saba jehanam kwa kushiriki katika wizi wa pesa za watanzania) kimekuja tena kwenye spotlight.

Tafuta nyembe ungoe macho maana I am just getting started. Kesho na keshokutwa magazeti kibao yataanza kuuliza mazingira ya kifo cha fisadi huyu (mama mbatia) na baada ya hapo sijui mimi na wewe unayejaribu kutetea mafisadi nani atahitaji kutubu hapa!
 
Mwafrika wa Kike,

Hii case naifananisha na case ya hapa UK ya Blair iliyokuwa inahusu cash for honours. Blair na cronies wake walikuwa wanachukua pesa toka kwa sponsors na kumficha treasurer pamoja na Labour. Walipokuja kuambiwa walishutuka sana.

Naweza kuwa wrong lakini naamini si Mangula wala mama Mbatia aliyekuwa na habari na hizo pesa. Waliokuwa na habari ni hao akina Lowassa, Mkapa, Rostam labda na watu wengine wachache.

Kifo cha mama Mbatia ilikuwa ni ajali jamani, conspiracy theories juu ya kifo cha huyu mama ni kumwonea yeye na familia yake. Hakuna ushahidi wowote kwamba ilipangwa zaidi ya uzembe wa dereva wake.
 
Kama Kiingereza changu hakinipi kiwi ya macho; nikisoma katikati ya mstari naelewa hivi:

1. Rostam anatuhumiwa na This Day kuwa alihusika kwa kuwa alikuwa ndani ya kamati ya watu 22 ya kampeni ya uchaguzi ya mwaka 2005.

2. Yeye anasema hakuwa mweka hazina wa CCm mwaka 2005, bali marehemu mama Mbatia.

3. no 3 hapo juu halina ugomvi kwasababu nafasi anayosemwa nayo sio ya uweka hazina bali ya kwenye kamati ya kampeni ua uchaguzi.

4. kumuingiza marehemu kwenye hili ni kutaka kuizika hoja dhidi yake.

5. This Day sio wajinga; naamini wanajua wanachoandika, na naamini Rostam kwa kujibu alivyojibu kajiingiza mtegoni.

6. Jibu la Rostam linarudisha mjadala wa kifo cha huyo mama. pengine ilishanukia kuwa iko sooo, kama wanavyosema This Day kuwa wengi wa watuhumiwa wanasingizia kampeni; kama ndivyo, marehemu peke yake ndiye alijua ukweli kama zilitumika kwenye kampeni au la; au kama ziliingia kwenye account ya CCM au la; ndio maana kifo chake ni ahueni kwa wengi. Si ajabu baada ya kifo chake kuna mafaili hayapo ofisini kwake.

7. Guys, lets read between the lines and digest the information. Iko habari nzito hapa

FACTS:

- Kagoda is connected to RA. Investigators waangalie final destination ya hela na sio Directors wa KAGODA. RA signed for the monies.

- RA had wanted to take the Finance Ministry to clear the tracks but unfortunately the ministry was handled to Meghji who was not part of the scam.

- Lobbying to have her removed continued and Salome(RIP) was chosen for the task. She was financed HEAVILY in her campaigns throughout the country to make sure Meghji fails in NEC. The plan backfired due to the accident.

- RA newspapers continued to attack Meghji hoping to force her to step down (AC style). This failed and ended exposing him.

Picha hapo chini inamwonyesha RA and Marehemu(RIP) wakipanga mikakati enzi hizo.
attachment.php

1059d1201627156-huyu-ndiye-rostam-aziz-wa-new-habari-corporation-salome-rostam.jpg


Soon...VERY SOON...
 

Attachments

  • Salome and Rostam.JPG
    Salome and Rostam.JPG
    21.5 KB · Views: 140
Mtanzania
Unajua kwamba I have seen both police report na Govt report vina utofauti mkubwa na ndiyo maana kila kitu ni kimya hata si Nipashe wala nani anataka kuandika kuulizia ?
 
Back
Top Bottom