Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

MPAKA KIELEWEKE.

Fisadi Mtoto anahoja na nadhani hoja yake imekita ktk falsafa ya Primitive society ambayo inaimani kua kila kifo kina mkono wa mtu,Kaka Fisadi ameonyesha uhalisia wa aina ya watu wa jamii hiyo.

Nachota kusema.
Ukweli wa Fisadi mtoto unaonekana ktk mawazo ya watu kama mwafrika wakike ambae ukisoma tangu ameanza kuchangia ktk mjadala huu anataka tuamini kifo cha Mbatia kuna mkono wa mtu,balali amepewa sumu hayo ndo mawazo ya primitive society.

Ingawa sitaki kuamini kua hii ni primitive society but nacho amini kuna watu waliopo sasa ambao ni primitive thinkers kama hao wenye kuamini kua mbatia aliuwawa na watu or mtu.

Hoja ya This Day imeshusha Credibility ya uandishi wa habari jambo ambalo nilitegemea watu kama mwanakijiji wangekua hapa leo kutuambia the professional side of it sio kuja hoja za ajabu ajabu zakina mwafirika wa kike.

Kuna mtu alihoji kua wote ktk kampein team ya ccm walikua na vyeo ndani ya chama sasa RA ametokea wapi,hawa ndo watu hatari wanacomment juu yakitu wasichojua,RA NI MNEC aneawakilisha mkoa wa TBR kama hoja ni cheo but was that a qualification ya kua ktk team ya kampein? nikiuliza kina mwafrika wao kwao chadema kina owenya,mdee,lucy etc hawa mabinti waliokua wanruka na helkopta with mboe walikua na vyeo chadema i hope walipewa chance bcs of either uwezo wao or SPECIAL SERVICE kwa wakubwa,kama inavyosemekana.

Kwhiyo This Day as i said mwanzo wameonyesha UJINGA wa waandishi wetu wengi ambao hawasomi bcs kuna siku mwanakijiji alikiri humu ndani kua yy hua hawezi kusoma haraka mpaka afunge kamba macho nilielewa ana maanisha nini ila anaweza kuandika haraka kauli ilonistua sana.

Jamii hii kama alivo sema Fisadi mto kua Ni Primitive ingawa hapo natofautiana nae ila nacho amini ni kua tuna PRIMITIVE THINKERS ndani ya society yetu na mbaya zaidi ni kua most of Primitive thinkers ni waandishi wetu ambao i belive ndo hawa wanaangalia Personaliyies badala ya issue na bcs kina mwafrika ni wengi basi nao wanamini na kukurupuka na hasa pale kijiwe cha KINONDONI karibu na Kwa MANYANYA.

Kwahiyo FISADI MTOTO alichtuonyesha ni kua JF wengi wenye mawazo -ve kama kina mwafrika uwezo wao ni mdogo wa kuelewa na wanaongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia.Na sisi CCM TUMEPEWA JUKUMU LA KUWAONGOZA WOTE NA KUWASAIDI.

Umepata kazi nyingine au bado unaendeleza kazi zako zile?
 
MAKUUNGA MMKONO WEWE PAMOJA NA MTOT WA MKULIMA,MMEONA WENYEWE JINSI JAMAA WALIVYO WAGUMU WA KUTUMIA UBONGO VEMA,KWA KWELI WANAITIA AIBU FORUM KWA KWELI,MAWAZO NI UCHAWI NA KUDANDIA HOJA BILA KUWA NA HOJA THABITI NA NDIO MAANA NA MIMI NIMEANZA KUJIANDAA KUCHUKUA JIMBO MAANA NIMEGUNDUA NISIPORITHI JIMBO LA MZEE WANGU KUNA HATARI NCHI KUTUMBUKIA KATIKA WATU KAMA MWAFRIKA WA KIKE AMBAO ATA UKIWAUNGANISHA LAKI MOJA KAMA CHAKE BADO HAWEZI TOKA ATA RA MMOJA.

Naona umeanza sasa kumsogelea Rostam Aziz, kumbuka kuwa amefunga ndoa juzi na Mama Meghji ingawa bado hajaacha kuwa na nyumba ndogo.
 
Unaongea sana ukiona niko off, sasa nimeingia mwenyewe leta utetezi wako wa ufisadi. So far nakuona wewe na watoto hao wa wakulima na kifisadi mkisema kuwa hii story sio ya ukweli bila kusema ambacho si cha kweli ni nini!

1. Haya ya mama Mbatia kuwa mfisadi na mwizi nimeyasema mimi na sio Thisday je una tatizo na hilo?

2. Haya mama mbatia kuangukia kwenye mikono ya wauaji hatari kabisa ndani ya ccm nimeyasema mimi na sio Thisday je unatatizo na hilo?

3. Haya ya kutaka mama Mbatia aungue kwenye moto mkali kabisa uliochochewa mara saba huko kuzimu aliko nimeyasema mimi na sio Thisday je una tatizo na hilo?

4. Ushahidi wote kuanzia Dr Slaa hadi report zinazovuja za usalama na main story ya Thisday inaonyesha kuwa Rostam ni mhusika mkuu wa Kagoda (the real story behind this crap) je unabisha hilo?

5. Inaonekana umevaa viatu vya kijani na sox za njano leo na hili nimelisema mimi sasa hivi hivi hapa hapa na watu hawa hawa na watoto wao wale wale wa kifisadi wamesikia je unatatizo na hilo pia?
KAKA KUNA HAJA YA WATU TUPIMWE AKILI KABLA HATUJAANZA KUCHANGIA HAPA.MAANA ATA TAFSIRI ZA NDOTO ZETU TUNALETA JAMBO FORUMS
 
KAKA KUNA HAJA YA WATU TUPIMWE AKILI KABLA HATUJAANZA KUCHANGIA HAPA.MAANA ATA TAFSIRI ZA NDOTO ZETU TUNALETA JAMBO FORUMS

Nilitegemea kuwa umeshapimwa kabla ya kuja hapa maana inaonekana unatakiwa kupimwa vitu vingi zaidi ya akili........lol
 
Naona umeanza sasa kumsogelea Rostam Aziz, kumbuka kuwa amefunga ndoa juzi na Mama Meghji ingawa bado hajaacha kuwa na nyumba ndogo.
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA
 
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA

Watu waliozaliwa kwa wazazi wanaokunywa "heinken" hawajikombi na kujigongesha kuwa mwizi na mkoloni Rostam Azizi ....... badala yake wanatulia na kufanya mambo makubwa peke yao!
 
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA

Mkuu,

Hapo juu una maaga gani? I hope utataka uwe judged kwa nini umefanya zaidi ya baba au mama alikuwa anafanya nini.
 
WATU AMBAO TUMEZALIWA NA WAZAZI WANAKUNYWA HEINKEN HATUFANANI NA WALIOZALIWA NA WAZAZI WANAOKUNYWA CHIMPUMU NA DENGERUA

Tunakunywa dengerua kwa fedha za pamba na korosho wewe na wenzake Henkein kwa fedha zetu za EPA. UMEJILENGESHA
 
WATU HAWAMJUI ROSTAM,JAMAA ANA AKILI SANA WANAHITAJIKA NJAMBO FORUMS KAM KUMI TUJIUNGANISHE AKILI ZETU ILI KUTOA KICHWA KIMOJA CHA ROSTAM.

....unaonekana humjui RA wewe,bora uulize kuliko kuja na BS crap kama hii,halafu unaonekana una machungu sana watu wakiongea against mafisadi,hope na wewe una kamgawo kako maana kama huna itabidi wakakucheck huko kichwani kama uko sawa.
 
Umepata kazi nyingine au bado unaendeleza kazi zako zile?
Kazi ni ile ile DADA yangu,inaonyesha ni jinsi GANI Falsafa ya fisadi mtoto inathibitika,umeanza personalities,mipasho etc.Hapa bado hajaja mwenzio ASHA mniufanya umma huu ukabaliane na BABU ZETU kua kina DADA kazi yao ni kupiga na kulea watoto hujibu hoja umeanza VIOJA.

FISADI MTOTO hongera kwa uamuzi wa kujiandaa kuchukua JIMBO la BABA yako bcs hawa jamaa bado kabisa jiandae kaka TANZANIA ni yetu wao ulimwengu wao haupo.

Halisi PAMBA ni zao Korosho ni zao EPA pia ni zao nani anakula nini ni JITIHADA BINAFSI.KWANI UNAWEZA KULIMA KOROSHO UKALA EPA NA UNAWEZA KUA NA EPA UKALA KOROSHO.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Kazi ni ile ile DADA yangu,inaonyesha ni jinsi GANI Falsafa ya fisadi mtoto inathibitika,umeanza personalities,mipasho etc.Hapa bado hajaja mwenzio ASHA mniufanya umma huu ukabaliane na BABU ZETU kua kina DADA kazi yao ni kupiga na kulea watoto hujibu hoja umeanza VIOJA.

FISADI MTOTO hongera kwa uamuzi wa kujiandaa kuchukua JIMBO la BABA yako bcs hawa jamaa bado kabisa jiandae kaka TANZANIA ni yetu wao ulimwengu wao haupo.

Halisi PAMBA ni zao Korosho ni zao EPA pia ni zao nani anakula nini ni JITIHADA BINAFSI.KWANI UNAWEZA KULIMA KOROSHO UKALA EPA NA UNAWEZA KUA NA EPA UKALA KOROSHO.

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI

Endelea kuexplode tu... mie na popcorn zangu tayari kuona movie inayofuata ikikuonesha wewe na Rostam somewhere peke yenu "mkila korosho"...........
 
....unaonekana humjui RA wewe,bora uulize kuliko kuja na BS crap kama hii,halafu unaonekana una machungu sana watu wakiongea against mafisadi,hope na wewe una kamgawo kako maana kama huna itabidi wakakucheck huko kichwani kama uko sawa.

kwi kwi kwi

wewe Koba wewe, si angalau angekuwa anapewa mgawo wa pesa! mwenzako anapewa mgawo maalumu na Manji jr na sasa anataka kuanza kupata mgawo wa Rostam Aziz.

Just wait usome the next chapter!
 
Kwahiyo FISADI MTOTO alichtuonyesha ni kua JF wengi wenye mawazo -ve kama kina mwafrika uwezo wao ni mdogo wa kuelewa na wanaongozwa na hisia zaidi kuliko uhalisia.Na sisi CCM TUMEPEWA JUKUMU LA KUWAONGOZA WOTE NA KUWASAIDI.

...what a great day for B.S!
 
....unaonekana humjui RA wewe,bora uulize kuliko kuja na BS crap kama hii,halafu unaonekana una machungu sana watu wakiongea against mafisadi,hope na wewe una kamgawo kako maana kama huna itabidi wakakucheck huko kichwani kama uko sawa.[/QU
LAZIMA NIWE NA UCHUNGU SANA KWA KUWA HAWA NI WAZALENDO HALISI,WANACHOFANYA NI ACCULATION OF CAPITAL AMBAPO KILA NCHO DUNIANI ILIFAYA,WANAWEKEZA NDANI YA TANZANIA,WATOTO WENU WANAPATA KAZI,ANGALIA KIWILA COAL MINE IMEAJIRI WATANZANIA MIA TATU,ANGALIA BANK M INALIPA MISHAHARA MIKUBWA KULIKO BANK YEYOTE TANZANIA.HUU NA WIZI SUSTAINABLE BWANA HUWEZI FANANISHA NA WIZI KAMA WA KINA MOBUTU AU ABACHA
 
....unaonekana humjui RA wewe,bora uulize kuliko kuja na BS crap kama hii,halafu unaonekana una machungu sana watu wakiongea against mafisadi,hope na wewe una kamgawo kako maana kama huna itabidi wakakucheck huko kichwani kama uko sawa.[/QU
LAZIMA NIWE NA UCHUNGU SANA KWA KUWA HAWA NI WAZALENDO HALISI,WANACHOFANYA NI ACCULATION OF CAPITAL AMBAPO KILA NCHO DUNIANI ILIFAYA,WANAWEKEZA NDANI YA TANZANIA,WATOTO WENU WANAPATA KAZI,ANGALIA KIWILA COAL MINE IMEAJIRI WATANZANIA MIA TATU,ANGALIA BANK M INALIPA MISHAHARA MIKUBWA KULIKO BANK YEYOTE TANZANIA.HUU NA WIZI SUSTAINABLE BWANA HUWEZI FANANISHA NA WIZI KAMA WA KINA MOBUTU AU ABACHA

Hivi wewe huko upstairs uko mzima kweli? I'm gobsmacked !!!
 
....unaonekana humjui RA wewe,bora uulize kuliko kuja na BS crap kama hii,halafu unaonekana una machungu sana watu wakiongea against mafisadi,hope na wewe una kamgawo kako maana kama huna itabidi wakakucheck huko kichwani kama uko sawa.[/QU
LAZIMA NIWE NA UCHUNGU SANA KWA KUWA HAWA NI WAZALENDO HALISI,WANACHOFANYA NI ACCULATION OF CAPITAL AMBAPO KILA NCHO DUNIANI ILIFAYA,WANAWEKEZA NDANI YA TANZANIA,WATOTO WENU WANAPATA KAZI,ANGALIA KIWILA COAL MINE IMEAJIRI WATANZANIA MIA TATU,ANGALIA BANK M INALIPA MISHAHARA MIKUBWA KULIKO BANK YEYOTE TANZANIA.HUU NA WIZI SUSTAINABLE BWANA HUWEZI FANANISHA NA WIZI KAMA WA KINA MOBUTU AU ABACHA

Huyu Huenda ni RA mwenyewe anayejibu hizi posts, maana naona hata kiswahili kinampiga chenga kabisa!
 
Kwi kwi kwi!
Kumbe tunaomhisi tuko wengi pia!

KAKA UNAJUA KUWA KILA MTU ANA MAWAZO YAKE NA HUWEZI KUMPINGA MTU AU KUJIFANYA UNAMJUA MTU SANA,KAMA UNATAKA KUNIJUA MIMI NI NANI NAWEZA KUKWAMBIA NI NANI,MIMI SIO RA NA NAVYOMJUA RA NI KUWA HAWEZI KUPOTEZA MUDA KUJIBU HUMU NDANI,TUENDELEE KUJIBIZANA WENYEWE HAPA MSAHAU CAMARADE ROSTAM.
 
Fisadi Mtoto kindly show us some sense of respect by not using those capitals all the time.It is indeed irritating and annoying . You can do better than that .Najua unatete maslahi ya ndugu zako lakini pia si lazima uandike kama huna cha kusema. Kusema jina lako ujulikane huwezi maana mimi tangia mwanzo natumia jina langu Mimi Joseph Cleophas Lunyungu .Niko wazi na sina wasi wasi sasa hii ya tishia nyau hapana . You cannot give your name kama ungaliweza you would have done kabla ya maneno. Again kutumia maandishi ya namna ni kuonyesha hujakomaa .Use low cases wil do you good na kuonyesha kidogo huna ukungu sehemu pamoja na kwamba to look umejawa na ukungu mgando na kuna siku utakutoka then it will be too late .
 
Back
Top Bottom