Kwi kwi kwi
Kwakweli nisiposoma post zako kwa siku hua najikuta kuna entertainment nimekosa BINTI unaongozwa na Hasira ZAIDI kuliko Busara,
Kuna mwalimu aliwahi kuniambia Primary school nilipokua nasoma hadithi KIBANGA,akaniambia THE HIGHEST LEVEL YA ELIMU NI HEKIMA.no matter ya Darasani or Not.
Bint wewe Unahukumu watu kwahiyo ushakua polisi,hakimu,bado hujawa askari magereza.
Mara nyingi aina hii ya Jazba kwetu usukumani kwa mwanamke hua ni yule ambae kwa muda mrefu hajapata ile KITU, sasa anakua na Hasira Zaidi kuliko Busara.
Sitaki kukuhukumu kwa hilo ila angalia mkoloni alie na Rangi kama yako hapo Chadema ambae amechukua sehemu kubwa ya akili yako na kuijaza na Hasira,Jazba, ilopelekea kukuwa na -ve thinking always.
Pole Sana