Mwakilishi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 483
- 34
BIMDOGO FD! TUNAPOTAJA VOGUEHATUNAMAANA KULIMILIKI..........!HAPA TUNAMAANA JINSI ALIVYOLIPATA HILO VOGUE KWANI MWENYEWE HUKO UGHAIBUNI ANALITAFUTA...........! ARE YOUR EYES NOT OPENED........?
Mmeshaambiwa mumignore huyo mahesabu manake atawapotezea mahesabu ya kweli,Mkomeni nyani kama kawaida vimeo kama hivyo vipo vingi. tik tak tik tak.........
tehe...tehe...tehe.........!!!!!
I repeat...........mbowe(vogue&nssf) & rostam(richmond)=mafisadiiii
tehe....tehe.......
NAWAKARIBISHA WATETEZI WA MAFISADI HAWA WAWILI JAMVINI!!!!
TEHE....TEHE...TEHE.....!!!!
BIMDOGO FD! TUNAPOTAJA VOGUEHATUNAMAANA KULIMILIKI..........!HAPA TUNAMAANA JINSI ALIVYOLIPATA HILO VOGUE KWANI MWENYEWE HUKO UGHAIBUNI ANALITAFUTA...........! ARE YOUR EYES NOT OPENED........?
yaani bwana,
Chadema ikiguswa hapa JF basi inaonekana ni jambo la uonevu,Kimsingi kuandikwa kwa Mbowe ndio mmeamua kumshambulia ROstam,Mie simpendi ROstam sabbu ametuingiza katika umasikini,na nachukia ufisadi wake na kimsingi simpendi.ila kwa suala la Mbowe kuhusika na ufisadi NSSF lazima naye arudishe pesa yetu,Je alikwua Mwanachama wa NSSF.
Mbowe Rudisha Pesa ya NSSF!
Wakuu salaam
je mnalifahamu hili?
Tarehe 1 Feb 2005 Mheshimiwa Lawrence M. Gama [ CCM ] Mbunge wa Songea Mjini Aliuliza hivi
Je, tangu Serikali ichukue hatua ya kubinafsisha viwanda ni viwanda vingapi vinafanya kazi na vingapi havifanyi kazi hadi sasa na ni vingapi vimejengwa?
Majibu katika kikao cha 7 mkutano 18 kutoka kwa Mh. Hon. Dr. Juma Alifa Ngasongwa Waziri wa Viwanda na Biashara ;
Mheshimiwa Spika, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Dr. Lawrence Gama, Mbunge wa Songea Mjini, kama ifuatavyo:-
Tangu Serikali ichukue hatua ya kubinafsisha viwanda, viwanda ambavyo vimebinafsishwa na vinafanya kazi ni 55 ..
Mheshimiwa Spika, viwanda ambavyo vimebinafsishwa lakini havifanyi kazi ni Morogoro Tanneries, Tanzania Tanneries Moshi, Mwanza Tanneries, .
WHY ?????????????????????. Kazi kwenu!
Gembe,
Nakuheshimu kutokana na michango yako mingi hapa JF! Mimi si shabiki wa chama chochote cha siasa bali napenda viongozi waadilifu daima na kerwa sana na mafisadi! Lakini, siwezi kuburuzwa tu nichukie mtu ''fisadi'' bila kuwa na vigezo au ushahidi wakutosha!
Gembe, Hivi kukopa ni tatizo hasa NSSF? Kuwa na VOUGE ni tatizo? Mbona watu wengi wamekopa huko NSSF kwa ajili ya shughulzao mbalimbali na hakuna kelele? Unajua alikopa kiasi gani na umelipa kiasi gani na anadaiwa kiasi gani? kwa uhakika? achana na ile gazeti la RAI lililo andika habari hiyo ambalo linamilikiwa na Rostam! Kwanza liliandika eti kakopa 15mil na kulipa 50mil is this possible?
Gembe, elewa kuwa sheria iliyo anzisha NSSF inaruhusu kuwekeza kwa namna mbalimbali michango ya wanachama!Therefore sio kosa kukopa NSSF cause sheria inaruhusu, ukitaka nitaje some of people walio kopa huko nitakutajia! Hata kama wewe unamradi wa ambao ni feasible you can go there na kukopa -see me for more consultation or use PM!
Ila kama huyu bwana Mbowe alipata hela hiyo NSSF kimzengwe yes, I could support you, vinginevyo usiharibu CV yako bure!
Asanet sana Bwana Festomie Mwenyewe nipo chini nampenda sana Mbowe,hasa sera yake ya majimbo ila kama ameweza kuchukua pesa ya NSSF na hajarudisha,airudishe.
sana mwana.......!! Mbowe should get in line as well, something and i mean one thing particular will impact and determine his political career ! i cant wait ! CCM doesnt need RA, kama yeye ni fundraiser then awe kwenye chama ama asiwepo, ccm still will do ! kwani huyo RA alikuwepo miaka yooote hiyo ?? dont you ask yourself why ccm is still prevailing ?