Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts


Chinga you are sick.
 
Huyu jamaa amesoma hiyo BA yake ya Economic wapi. Maana strategy zake za wizi zinaonyesha ana BA ya Drama. Huwezi kufanya wizi wa kipuuzi kama ule.

Sometime natamani tungekuwa kama China, huyu jamaa tungekuwa tushamuhukumu death penalty zamani sana. The guy is jambazi.
 


Hii kweli inatisha. Jamani tunaomba more facts maana naona another KIHIYO is in the house. Kwanza ataje tuu nani ni classmate wake.

Mwanakijiji give me a favor, naomba uzame kwenye katiba kisha uniambie what is the credentials za kuwa mgombea wa ubunge under the constitution. Na kama Rostam sio raia jee what can we do us raia? File a law suit against CCM? If Rostam is not one of us, then why CCM gave him too much priority?

I get sick about CCM and its allies. Kweli tutafika kama tunawaleta kina Ahamdinajad in our system? Who knows kwamba pesa alizoiba hazijatumika kwenye money laundering. Labda hata kufund Hezzabolla au Al-Qaida? This is so dangerous. I don't want to conclude my arguments mpaka nipate facts.
 

Mzee heshima Yako. Nadhani Bunge sio kiwanja cha kupiga kulala, kukaa kimya au kupiga soga. Wabunge kulala, kutokuchangia au kutokuanzisha hoja doesn't make us wananchi kukubali kwamba kulala ni part ya Bunge.

1.Bunge limekuwa kama kichwa cha mwenda wazimu, na ndio linalotakiwa kulaaumiwa kwa kutokuweka Resume za watendaji wake. Our job as wananchi ni kuwatuma wawakilishi wetu kwenda kuanzisha miswadwa bungeni. Rostam Aziz anatoka kwenye jimbo lenye shida kushinda hata kwetu Kibindu Handeni. Hivyo kukaa kwakwe kimya is total stupid and insane.

2.Topic inamuhusu Rostam Aziz, so its irrelevant kucompare Rostam and Mbunge wa mkuranga. Kama RA hachangii hoja then ni haki yangu mimi na wewe kuhoji tabia hiyo, na sio kutengeneza mazingira ya kusema mbona wengine hawafanyi. Ni sawa na kuiba na kusema mbona wengine wanaiba. Huo ni mchezo wa darasa la tatu.

3.Jee Mkuu kama watu wanalala bungeni jee sisi wananchi inabidi tuikubali kama ndio culture, au tuikemee kwamba inatumalizia nchi. Jee kwa sababu wabunge wengine wanalala then inabidi tufungie macho wale wasio changia? au inabidi tuwakemeee wanaolala na wasio changia kwani hiyo ndio itakuwa chachu ya kubadili mfumo dume tulio nao?

4.Mkubwa jee unakubali kabisa muwakilishi wa jimbo lolote ambae kwa miaka 3 hana cha kuzungumzia kuhusu jimbo lake. Jee unaifahamamu sehemu anayowakilisha Rostam Aziz? Jimbo lake ni maarufu ukame, jee muheshimiwa amezungumzia strategy gani za kuweka miundo mbinu itakayo komesha swala la ukame? Jee mheshimiwa amezungumzia vipi swala la barabara ambalo ni kikwazo kikubwa cha wakazi wa Igunga kufanya biashara na wakazi wa Tanzania ya kati?

5. Watu wengi tunasikiliza vipindi vya kutoka bungeni, mimi individual sijapata nafasi ya kusikia lolote kutoka kwa Rostam. Vile vile mbunge wa Wawi Pemba ni tofauti na Rostam sababu ya popularity hivyo ni easy kwa Rostam kupata covarage kama atachangia hoja hata moja. Jee why hakuna covarage yoyote?

6.Kumbuka bunge sio sawa na shule ya msingi. Bunge lina kanuni za uendeshaji wake kisheria. Speaker hana jursidiction ya kumwambia mbunge wewe mbona huzungumzi. Sema wananchi tuna haki ya msingi ya kumwambie Rostam Aziz kwa nini huchangii bungeni, sababu mimi na wewe ndio tunalipa Mshahara wa Rostam, ndio tumempa access ya kuiba EPA, ndio tumempa jezi namba 9 ya kutuchuna kupitia Richmond. So, ndio maana kwa sasa tunamuuliza nini amefanya kwa miaka yote bungeni??

7. Kuwa representative wa wanchi ni lazima ujue kuongea. Hakuna mswadwa unaopita kwa kutumia makaratasi pasipo kuuzungumzia. Bunge mjadala unapitishwa kwa kujadiliwa sasa katika vipindi zaidi ya 400 vya bunge kama hujawai kujadili kitu then your cheating Tanzanians, i dont care who you're.

8. Sisi tunachotaka kujua jee ni kwanini CCM imewadhurumu wakazi wa Igunga kwa kuwawekea mbunge hewa. Ni wazi CCM wamempandikiza Rostam sababu fedha zake na sio sababu nyingine yoyote ile. Ni wadhi ya kwamba CCM wamedhulumu wananchi wa Igunga.

Waungwana tuangalie swala kwa undani, huyu Rostam Azizi ni sawa na jasusi muaji, au katili mkubwa ambae biblia na misahafu hajawai kuzungumzia. Ni aibu kuona ya kwamba mpaka leo hajakuwa mikononi mwa serikali au deported back in Iran ili akaenjoy conservative leadership ya Ayattolla Omeni. Huyu jamaa ni zaidi ya Okoma inabidi tumuogope kama njaa.
 

Wenzio wanakwambia Ubunge na Uwaziri hausomewei mahali popote.

Hapo unategemea nini?

Leo wako wengi wanacheza Rough, kesho wakiwa wachache watataka sheria na taratibu walizo zipa kisogo zifuatwe.

Kiburi cha kuvunja taratibu kinasimama juu ya kujidanganya kwamba "Watatufanya nini Hawa wazembe, sisi ndo Sysytem yenyewe"
 
good point, sasa Rostam alisoma shule gani ya msingi na sekondari?
Rostam kasomea shule ya msingi Mwisi, kazaliwa kijiji kiitwacho Ulaya ambapo kapeleka umeme lakini ni shule ya secondary na nyumba kama mbili hivi wanatumia umeme, Rostam kalelewa na mama ambaye si wa kumzaa nafikiri bado yupo Igunga, Rostam hana nyumba Igunga wala kijijini alikozaliwa,
Mpaka leo nashangaa utajiri wa huyu bwana kaupatia wapi kwani kiasili zama hizo hana chembe ya utajiri,mpaka leo akienda Igunga nasikia anafikia kwa mjomba wake, huyu bwana akishirikiana na EL wakati wa ufunguzi wa barabara ya Nzega to Ishelui mpakani mwa Tabora na Singida waliahidi kuweka Lami barabara kadhaa za Igunga mjini lakini mpaka leo changa la macho
Natoa hoja,
 
Inaonekana kupata data za huyu jamaa inakuwa ngumu eeh!!!! kuna haja ya mwanajf aliyeko karibu na huko igunga kwenda kuverifai historia hii inayoweza kuwa muhimu sana siku si nyingi zijazo.

Pia kuna kitu kinanishangaza kidogo maana naona kuna memba wanamuona huyu jmaa ni hero fulani. Ujinga huo ndio uliotufikisha hapa tulipo.
 

Mkuu Heshima mbele,
Mimi nafikiri baada ya kumhatack MKJ au Madela wa madilu kama unavyosema ni bora ukaja na ishu yenye data ya kukanusha. Tunapenda zaidi kupata hoja za pande mbili ili kila mtu aweze kufanya decision. kwa upane wangu hii personal attack maana yake ni kwamba unafisha kitu cha msingi. Lete data watu waone ukweli uko wapi.
Hii mada na Mbowe wapi na wapi? Eleza jinsi RA alivyosoma weka evidance ili watu waone sio kuamisha maana ya Thread makusudi
 
Rostam kasomea shule ya msingi Mwisi,
Asante sana, nadhani tunaweza kuwasaidia watu wa Bunge kujaza kurasa zao.

Unaweza kutaja mwaka alioenda shule hiyo ya msingi?

kazaliwa kijiji kiitwacho Ulaya ambapo kapeleka umeme lakini ni shule ya secondary na nyumba kama mbili hivi wanatumia umeme,

Alizaliwa huko Ulaya kijijini mwaka gani?


Rostam kalelewa na mama ambaye si wa kumzaa nafikiri bado yupo Igunga,

Mama na Baba yake wako wapi, waliishi wapi, huko huko Igunga? Je ana ndugu wa kuzaliwa naye?

Rostam hana nyumba Igunga wala kijijini alikozaliwa,

Hata hiyo nyumba ya Mama wake wa kumlea haipo au hakaribishwi tena?

Mpaka leo nashangaa utajiri wa huyu bwana kaupatia wapi kwani kiasili zama hizo hana chembe ya utajiri,mpaka leo akienda Igunga nasikia anafikia kwa mjomba wake

Ni mjomba mjomba mjomba, au mjomba mjomba huyu? Maana hata mimi nilikuwa nikitoka kijijini nikifika pale Moshi nafikia kwa mjomba wangu.. well alikuwa rafiki wa familia tu tangu utoto... Sasa huyo ni mjomba ndugu wa mama yake wa kumzaa au mjomba ndugu wa mama wa kulelea?
 


hahahha.. angalia na wewe utakwenda kwenye kundi la Mwanakijiji kwani hadi hivi sasa utajua kuwa mwanakijiji ni:

-Madela wa Madilu
-Mwafrika wa Kike
-Koba
-Ben
-na siku chache zijazo na wewe utakuwa mwanakijiji.

Kwa hiyo ndugu yangu usihangaike, jina la "mwanakijiji" linamgusa mtu sana.
 

Kwa njia hii kila mtu atakusikiliza na kuheshimu mawazo yako na hii ndo njia pekee ya kujadiliana.
 
huyu mh. hata kukemea mauaji ya vikongwe hata kama sio jimboni kwake yanatokea kwa ukanda mzima anapotoka(ukanda wa kati) hawezi kusimama na kuongelea jambo hilo!!!!wat a waste kwa jamii mtu kama huyu...
 
huyu mh. hata kukemea mauaji ya vikongwe hata kama sio jimboni kwake yanatokea kwa ukanda mzima anapotoka(ukanda wa kati) hawezi kusimama na kuongelea jambo hilo!!!!wat a waste kwa jamii mtu kama huyu...

Una maana hajawahi kuzungumzia mauaji ya vikongwe au mambo kama hayo jimboni kwake au hata Bungeni?
 
Sakata la Richmond: Rostam mambo magumu

2008-03-17 19:09:42

Mambo ndiyo yanayosemwa hayo. Mwafrika wa kike upo? Je uraia wa mwanahabari wa Ikulu Salva rweyemamu nao ni tata, Je JK amezungukwa na wa kuja? Au anawakumbatia zaidi wageni?
 
Hapa naona manahangaika tu...

Tatizo ni lipo kwenye mfumo mzima wa BUNGE letu... Nguvu ni imewekwa kwa wananchi kuamua kuwa Mbunge walio mteua anawafaa au la - na kwa Mheshimiwa Rostam ni watu wa Igunga wenye uamuzi huo! Ambao wao pia ni sehemu ya taifa.

Wemeshamteua huyo jamaa mara mbili sasa (kama sikosei) na wao ndio wenye nguvu kikatiba yakusema anafaa.

Kama tunahisi huyu mtu ametumia pesa kuwanunua wapigakura -- katika macho ya waTanzania na sheria zetu itabaki amepita kihalali kabisa na ni Mbunge bora kama wataendelea kumchagua na mjenga taifa.

Kama hatukubaliani na hayo basi tutizame mfumo mzima wa BUNGE na UBUNGE
 

Absolutely rubbish!!!!!!!!!!!!!go n kiss your mother's ac....
 
Katuni ile imenikumbusha mbali sana na haswa nilipokuwa mtotot ilikuwa nikikosea najaribu kufunikaq uso kwa mikono nikiamini kuwa sionekani.

Haswa ilipotokea kuwa kanzu yangu imechafuka mara baada ya kutoka msikitini na kujaribu kuwaficha wazazi nilikuwa na tabia ya kupita mbele yao nikiwa nimefunika uso badala ya sehemu chafu.......

Leo RA ananikumbusha kihoja hicho kuwa yeye na Dowans ni mbalimbali ila wanatumia tuu personal ama e mail ya kampuni lake la Caspian huu ni utetezi wa kijinga sana sana kwa mtui ambaye anaweza kuwatengenezea watanzania kiongozi kwa kuongoza mtandao na kumbe akili zake ni kama hizi.......

Kuhusu mambo mengine nafikiri tayari yamejibiwa kwa kina ila hili la Mtakatifu Mtikila kusema anao ushahidi wa mahali rafiki yake wa karibu amezaliwa linahitaji kufanyiwa uchunguzi na kama ni kweli huwa akienda Nairobi airport huwa anatumia pass ya Iran kuna haja ya kumfuatilia kwa kina na kumtosa tuu kumbe ndio maaana hana uchungu na umasikini wa watanzania kumbe hapa sio mahali pake..

Majina huwa yana maana sana Balali na Balile ni kama yanafanana vile huenda huyu mwingine ni FISADI wa habari na mwingine wa pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…