Major;
Hongera sana major,yaani nimekuappreciate kinoma,duuuuuuuu,yamkini kungekuwa na akina major kumi hivi tz,naamini kazi aliyoianza mwalimu tungeimaliza.major anaongea fact na wala hafichifichi.
Na kwanini,na nani hao,mnambishia major?au wengine mnapretend tuu hapa JF kumbe mnadeal zenu nyingine?wahindi wezi,na wageni woote wezi lazima tuwafukuze soon,kuhusu maYUDA wa hapa home hawa tutawashughulikia polepole,kwani hawa ni wetu na watakuwepo hapahapa na tunawajua vema.Nasema hivi,imagine hatuwaondoi hao wasio na asili ya kiafrika,hafu tunawashughulikia hawa maYUDA wetu,huku sakata likiendelea,tunamalizana wenyewe kwa wenyewe,maYUDA wanakwisha nguvu na kutoweka na sisi tunacease mulemule,hivi huoni utakuwa mwanya mzuri wa hawa wageni kutumia nguvu yao waliyoipata kushika nchi?Hivi mnawajua wahindi vizuri?au mnawatetea tu?motives zao kwa tz ni nini?mbona sijasikia hayo madeal yakamuhusisha mu-australia,german,n.k?
Hafu kama ni fedha za chakula kwanini wasiwezeshe wakulima vijijini?si ndo walengwa?au chakula ni cha nani hapa?kuna haja gani ya kuwapa watu fedha za masikini?kwani serikali hawawezi kuwekeza fedha hizo kwa kuzalisha mazao safi kutumia ardhi nzuri ambayo kwa miaka mingi sasa wahindi wamekuwa wamilki wazuri?Mnabisha?wahindi ndo wamiliki wakubwa wa ardhi nzuri ya tz,yeah,na chakushangaza wahindi wanawatumia watz masikini kama cheaplabor,wanawapa kopo la mahindi na dagaa,ili kesho warudi kazini,au hamkumbuki kule vijijini wanavyobebwa masikini na matreta ya wahindi kupiga kazi kwenye mashamba yao?kwani serikali haiwezi kumilki hii ardhi na kutoa ajira hiyohiyo kwa masikini huyu?ni kitu cha jabu,mhindi anaweza kulisha kijiji kwa kuwapa chakula na wanakijiji haohao wanaprovide manpower kwa mhindi.kwanini manpower hii isitumike kwa manufaa ya TAIFA zaidi?kwanini anavyomilki mhindi huyu,visimilikiwe na serikali?hivi hatuoni ilivyo kazi na ngumu sana kumilki vitu ktk nchi za hawahawa wahindi?hasa ardhi?kwanini kwetu basi?ni vema tuachie uhuru hapa,huenda tumepumbazwa akili zetu na ni hatari sana.
Major si mbaguzi hata kidogo,hivi si mnakumbuka chanzo cha mkaburu South Africa na athari zake tunaziona hdi sasa?kwani Mfalme Zulu alitegemea kama wajukuu zake watasota kama ilivyo sasa?aliwakaribisha kama marafiki na majirani,akawapa na ardhi walime wapate chakula,alipotoweka duniani,wakawageuka wajuku zake na kuwatala kimabavu hadi sasa mnaona.
Hivi hamwogopi wahindi na watz wasio na asili ya kiAfrika kushika madaraka ktk nchi yetu na kuhusishwa moja kwa moja na issue nyeti za nchi yetu?Hivi watz masikini hawa walio wengi ambao hata elimu wamenyimwa watasema nini pale miongo kadhaa ijayo wahindi watakaposema nchi hii tulikabidhiwa na mababu zenu?hivi atuoni hili?kwani wasouth walipenda mwiba wanaumizwa nao hadi sasa?hafu tukisema wanatutukana na kusema hatuna point.point zenu ni zipi sasa?za kutoshtukia na kusoma alama?
Major kamua,kamua,kamua baba,hadi kieleweke hapa.
MUNGU aliye hai na akutie nguvu na useme zaidi na zaidi.
JF hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee