kwani Rostam Mhindi?
NAMAANISHA WAASIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwani Rostam Mhindi?
Hayo Maendeleo Yaliyoletwa Na Wahindi Zaidi Ya Kutubaguia Mbona Hatuoni Hata Nyumba Zao Kama Kweli Ni Wawekezaji Sana Sana Nyumba Tulizokuwa Tunaziona Tukafikiri Ni Za Kwao Kumbe Pesa Ilichukuliwa Benk Kuu Kwani Hatujui Habari Za Coro Beach Ni Ya Nani Na Hotel Nyingine Kibao Ambazo Wamiliki Wake Wametajwa Wazi
NDIO MAANA NILIMWAMBIA INVISIBLE AWE MAKINI SANA NA HAWA MEMBERS NA TUHUMA ZAO WANAOZOTOA HUMU NDANI , WANAHARIBU SANA HII FORUM NA INATOA IMANI KWA WANACHAMA WAPYA KATIKA FORUM KWA UJUMLA
ANGALIA PALE KATIKA HOJA NZITO NITAANDIKA RIPOTI KAMILI KWA RAIDA YA UMA
Wala!!
Tusitafute mchawi. wanaotuuza ni akina YUDA ambao tuliwaamni kama ndugu zetu na wananchi wenzetu kwamba watatuongoza kutupeleka nchi ileee ya ahadi. Rostam hizo pesa kwani alijichukulia benki?
Jamani watanzania ni kitu gani kitatusaidia? hii "amani" ni ya kweli au ni bomu linalosubiri kulipuka?
No wonder kuna aliyesema kwamba CCM inataka kujenga taifa la wajinga! Now I can see the point!
DR WATSON APEWE NOBEL NYINGINE!
Its so sad.I can easily drop tears on my keyboard.
Amani ya bwana iwe nanyi nyote!
CCM ndo kawaida yao kukumbatia wezi wasio raia, na hii sio mara ya kwanza.Kumbukumbu zinaonyesha kuwa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya CCM Mhindi Premji alivuliwa ubunge na mahakama kwa sababu kama za RA,Hakuwa raia.Ingawa alikuwa na passport ya Tanzania!!
Wewe Unafikiri Tangu Mkoloni Aondoke Mpaka Leo Ni Miaka Mingapi?mbona Hatuyaoni Hayo Maendeleo Yaliyoletwa Na Wahindi Zaidi Ya Kutubaguia Mbona Hatuoni Hata Nyumba Zao Kama Kweli Ni Wawekezaji Sana Sana Nyumba Tulizokuwa Tunaziona Tukafikiri Ni Za Kwao Kumbe Pesa Ilichukuliwa Benk Kuu Kwani Hatujui Habari Za Coro Beach Ni Ya Nani Na Hotel Nyingine Kibao Ambazo Wamiliki Wake Wametajwa Wazi Wazi Ktk Tume Mbona Hatuoni Barabara Hata Moja Waliyojenga Kama Kweli Wanaipenda Nchi Yao Tanzania Acheni Unafiki Na Iko Siku Tutakabana Tu Mchana Mchana Hakuna Chenye Mwanzo Kisicho Na Mwisho
Halafu tunajiuliza misaada inaenda wapi? Wajanja wachache kwa kushirikiana
na viongozi wasio waaminifu, wanachota kila kitu huku wananchi walio wengi wanazidi kuwa maskini.
Kuna pesa nyingi kabisa zaidi ya hizo, tukifuatilia haya mambo kuanzia 1990
mpaka sasa tutagundua kwamba wala hatuhitaji misaada.
Wanasiasa wamechukua pesa ndogo sana katika hizo, nyingi ni wafanyabiashara. NI kama lile deal la radar tu, mtu anapewa pesa kidogo, wajanja wanachota mabilions.
Labda tuunde kamati nyingine ya bunge na kuchunguza hii mikataba yote kwa miaka 20 iliyopita.
waliompatia passport walipewa adhabu gani? Tangu Mch. Mtikila atoe tuhuma za uraia wa Rostam aziz idara ya uhamiaji inasemaje? au bado hawajaliona file?
Ninawasiwasi sana na zoezi la vitambulisho vya taifa, wengi watadandia.
Aaaaaw im so convinced now thank you!! Ni kweli Bot ni jazba za upinzani na kikwete anafanya kazi nzuri sana!!
NOW U KNW HOW U SOUND!! (Eish kwa kweli i need to talk to people like you often...kukaa na intellectuals too long makes me loose track of what kind of people actually support CCM (THERE I SAID IT) Hope umejitayarisha na mgao!!
Hivi Budget ya CCM ya Uchaguzi ilikuwa Billion ngapi vile??billion 22 na wakaongeza tena billion 8...so ni kama billion 30.DUh??Moelex kuna ukweli kwa details zako hapo??samahani mkuu laini umeongelea margin kubwa za vodacom na TTCL!! Unajua owners wa vodacom?? Na TTCL walipotengana na Celtel, una uhakika Rostam hakubaki na super dealership yotote??
Kagoda issue ya Rostam imeshafunikwa na kuna mtu tajiri sana ndio amekubali kuwa ndio owner na ameshalipa 50% ya hela iliyochukuliwa na 50% nyingine amesema halipi ngo sababu aliwapa CCM. Rostam alimwokoa kwenye issue kubwa ambazo huyu mtu anazo na amehaidiwa hamna cha mahakam wala nini. List itakapotolewa itakuwa kama mchezo wa kuigiza. Ukipitia vizuri taarifa ya Mkullo kuhusu pesa zitakazorudishwa utaona ni around 100 billion na sio 133 billion. Sehemu kubwa ni hiyo tofauti ya Kagoda na zile nyingine zilizosemekana zimekwenda sehemu nyeti.