Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Na Nakumbuka Sana Tena Ni Wewe Mwanakijiji Uliyekuwa Unasema Naleta Ubaguzi Ila Nakufahamisha Tu Hakuna Watu Wasio Wabaguzi Duniani Na Ubaguzi Maana Yake Ni Watu Kuipenda Nchi Yao Ila Sisi Wa Tz Kuipenda Nchi Yetu Ni Mwiko Na Ndiyo Maana Viongozi Wetu Wanakosa Uzalendo Na Kuamua Kuuza Nchi Kwa Hao Waasia Kwa Vipande Vichache Tu Vya Pesa Na Kusahau Vizazi Vilivyopo Na Vijavyo Wakifikiri Wao Ndiyo Wa Mwisho Maana Wamekuwa Watumwa Kiasi Hata Historia Hawaikumbuki Tena Kwa Ulafi,wakumbushe Mfano Mdogo Tu Wa Mabutu Seseseko Wa Zaire Alipokufa Alipewa Heshima Gani Na Dunia?
 
Wewe Unafikiri Tangu Mkoloni Aondoke Mpaka Leo Ni Miaka Mingapi?mbona Hatuyaoni Hayo Maendeleo Yaliyoletwa Na Wahindi Zaidi Ya Kutubaguia Mbona Hatuoni Hata Nyumba Zao Kama Kweli Ni Wawekezaji Sana Sana Nyumba Tulizokuwa Tunaziona Tukafikiri Ni Za Kwao Kumbe Pesa Ilichukuliwa Benk Kuu Kwani Hatujui Habari Za Coro Beach Ni Ya Nani Na Hotel Nyingine Kibao Ambazo Wamiliki Wake Wametajwa Wazi Wazi Ktk Tume Mbona Hatuoni Barabara Hata Moja Waliyojenga Kama Kweli Wanaipenda Nchi Yao Tanzania Acheni Unafiki Na Iko Siku Tutakabana Tu Mchana Mchana Hakuna Chenye Mwanzo Kisicho Na Mwisho
 
Hayo Maendeleo Yaliyoletwa Na Wahindi Zaidi Ya Kutubaguia Mbona Hatuoni Hata Nyumba Zao Kama Kweli Ni Wawekezaji Sana Sana Nyumba Tulizokuwa Tunaziona Tukafikiri Ni Za Kwao Kumbe Pesa Ilichukuliwa Benk Kuu Kwani Hatujui Habari Za Coro Beach Ni Ya Nani Na Hotel Nyingine Kibao Ambazo Wamiliki Wake Wametajwa Wazi

Major usipeleke hasira kwa wahindi/waasia peke yako, kuna wawekezaji wengi, unamjua mwekezaji wa TICTS, ama Kiwira coal mining? ama Richmonduli? Deep greens!! kwenye Kashfa ya EPA kuna wazawa pia, cha muhimu hapa ndugu yangu ni kuzuia wizi wa fedha za umma na rasilimali za taifa letu. Kama tukitumia kile Mungu alichotupa bila rushwa na ufisadi Tanzania yenye neema ingekuwa kama hapa Mississipi
 
Wala!!

Tusitafute mchawi. wanaotuuza ni akina YUDA ambao tuliwaamni kama ndugu zetu na wananchi wenzetu kwamba watatuongoza kutupeleka nchi ileee ya ahadi. Rostam hizo pesa kwani alijichukulia benki?

Jamani watanzania ni kitu gani kitatusaidia? hii "amani" ni ya kweli au ni bomu linalosubiri kulipuka?

No wonder kuna aliyesema kwamba CCM inataka kujenga taifa la wajinga! Now I can see the point!

DR WATSON APEWE NOBEL NYINGINE!


Its so sad.I can easily drop tears on my keyboard.

Amani ya bwana iwe nanyi nyote!
 
NDIO MAANA NILIMWAMBIA INVISIBLE AWE MAKINI SANA NA HAWA MEMBERS NA TUHUMA ZAO WANAOZOTOA HUMU NDANI , WANAHARIBU SANA HII FORUM NA INATOA IMANI KWA WANACHAMA WAPYA KATIKA FORUM KWA UJUMLA

ANGALIA PALE KATIKA HOJA NZITO NITAANDIKA RIPOTI KAMILI KWA RAIDA YA UMA

CCM ndo kawaida yao kukumbatia wezi wasio raia, na hii sio mara ya kwanza.Kumbukumbu zinaonyesha kuwa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya CCM Mhindi Premji alivuliwa ubunge na mahakama kwa sababu kama za RA,Hakuwa raia.Ingawa alikuwa na passport ya Tanzania!!
 
Wala!!

Tusitafute mchawi. wanaotuuza ni akina YUDA ambao tuliwaamni kama ndugu zetu na wananchi wenzetu kwamba watatuongoza kutupeleka nchi ileee ya ahadi. Rostam hizo pesa kwani alijichukulia benki?

Jamani watanzania ni kitu gani kitatusaidia? hii "amani" ni ya kweli au ni bomu linalosubiri kulipuka?

No wonder kuna aliyesema kwamba CCM inataka kujenga taifa la wajinga! Now I can see the point!

DR WATSON APEWE NOBEL NYINGINE!


Its so sad.I can easily drop tears on my keyboard.

Amani ya bwana iwe nanyi nyote!

Kwali Mkandamizaji, kipanya aliweka ujumbe BOT haikuvunjwa....ni sisi wenyewe raisi alikuwa baraza la mawziri 60, gharama zao kwa mwezi tusingekuwa na shule hazina madawati baada ya miaka 47 sasa ya uhuru, wapi tuliporogwa?
 
CCM ndo kawaida yao kukumbatia wezi wasio raia, na hii sio mara ya kwanza.Kumbukumbu zinaonyesha kuwa aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Mjini kwa tiketi ya CCM Mhindi Premji alivuliwa ubunge na mahakama kwa sababu kama za RA,Hakuwa raia.Ingawa alikuwa na passport ya Tanzania!!

waliompatia passport walipewa adhabu gani? Tangu Mch. Mtikila atoe tuhuma za uraia wa Rostam aziz idara ya uhamiaji inasemaje? au bado hawajaliona file?

Ninawasiwasi sana na zoezi la vitambulisho vya taifa, wengi watadandia.
 
Halafu tunajiuliza misaada inaenda wapi? Wajanja wachache kwa kushirikiana
na viongozi wasio waaminifu, wanachota kila kitu huku wananchi walio wengi wanazidi kuwa maskini.

Kuna pesa nyingi kabisa zaidi ya hizo, tukifuatilia haya mambo kuanzia 1990
mpaka sasa tutagundua kwamba wala hatuhitaji misaada.

Wanasiasa wamechukua pesa ndogo sana katika hizo, nyingi ni wafanyabiashara. NI kama lile deal la radar tu, mtu anapewa pesa kidogo, wajanja wanachota mabilions.

Labda tuunde kamati nyingine ya bunge na kuchunguza hii mikataba yote kwa miaka 20 iliyopita.
 
Wewe Unafikiri Tangu Mkoloni Aondoke Mpaka Leo Ni Miaka Mingapi?mbona Hatuyaoni Hayo Maendeleo Yaliyoletwa Na Wahindi Zaidi Ya Kutubaguia Mbona Hatuoni Hata Nyumba Zao Kama Kweli Ni Wawekezaji Sana Sana Nyumba Tulizokuwa Tunaziona Tukafikiri Ni Za Kwao Kumbe Pesa Ilichukuliwa Benk Kuu Kwani Hatujui Habari Za Coro Beach Ni Ya Nani Na Hotel Nyingine Kibao Ambazo Wamiliki Wake Wametajwa Wazi Wazi Ktk Tume Mbona Hatuoni Barabara Hata Moja Waliyojenga Kama Kweli Wanaipenda Nchi Yao Tanzania Acheni Unafiki Na Iko Siku Tutakabana Tu Mchana Mchana Hakuna Chenye Mwanzo Kisicho Na Mwisho

major:
Naweza kusema ninakuelewa vyema kabisa kuhusu hasira zako, na kwa kweli zetu sote.
Lakini ninakuomba tuelekeze hasira zetu kwa wahujumu wa aina zote bila kujali rangi zao. Ndio, wahujumu wengi wa uchumi wetu wanaweza kuwa ni wahindi; au hata wengine wetu humu hata wachagga wanahusishwa kiujumla wao kama kabila. Na unaweza kuchagua kabila lolote lile au kundi katika jumuia yoyote ile ikawa na tabia zinazokinzana na manufaa ya jamii nzima. Sio haki hata kidogo kulaumu jamii au kabila zima.

Kuna wahindi hata hapa Dar ambao hali zao ni hahehoi kama hii ya kwangu mmatumbi.

Please, reflect on this thought carefully. Let us condem individuals who sabotage our welfare. We know these individuals.
 
Halafu tunajiuliza misaada inaenda wapi? Wajanja wachache kwa kushirikiana
na viongozi wasio waaminifu, wanachota kila kitu huku wananchi walio wengi wanazidi kuwa maskini.

Kuna pesa nyingi kabisa zaidi ya hizo, tukifuatilia haya mambo kuanzia 1990
mpaka sasa tutagundua kwamba wala hatuhitaji misaada.

Wanasiasa wamechukua pesa ndogo sana katika hizo, nyingi ni wafanyabiashara. NI kama lile deal la radar tu, mtu anapewa pesa kidogo, wajanja wanachota mabilions.

Labda tuunde kamati nyingine ya bunge na kuchunguza hii mikataba yote kwa miaka 20 iliyopita.

Huyu Rostam nimeanza kutengeneza picha yake ya ufungwa (mug shot) atakayopigwa pale akipelekwa segerea kwa kupanda karandiga
 
Major;
Hongera sana major,yaani nimekuappreciate kinoma,duuuuuuuu,yamkini kungekuwa na akina major kumi hivi tz,naamini kazi aliyoianza mwalimu tungeimaliza.major anaongea fact na wala hafichifichi.

Na kwanini,na nani hao,mnambishia major?au wengine mnapretend tuu hapa JF kumbe mnadeal zenu nyingine?wahindi wezi,na wageni woote wezi lazima tuwafukuze soon,kuhusu maYUDA wa hapa home hawa tutawashughulikia polepole,kwani hawa ni wetu na watakuwepo hapahapa na tunawajua vema.Nasema hivi,imagine hatuwaondoi hao wasio na asili ya kiafrika,hafu tunawashughulikia hawa maYUDA wetu,huku sakata likiendelea,tunamalizana wenyewe kwa wenyewe,maYUDA wanakwisha nguvu na kutoweka na sisi tunacease mulemule,hivi huoni utakuwa mwanya mzuri wa hawa wageni kutumia nguvu yao waliyoipata kushika nchi?Hivi mnawajua wahindi vizuri?au mnawatetea tu?motives zao kwa tz ni nini?mbona sijasikia hayo madeal yakamuhusisha mu-australia,german,n.k?

Hafu kama ni fedha za chakula kwanini wasiwezeshe wakulima vijijini?si ndo walengwa?au chakula ni cha nani hapa?kuna haja gani ya kuwapa watu fedha za masikini?kwani serikali hawawezi kuwekeza fedha hizo kwa kuzalisha mazao safi kutumia ardhi nzuri ambayo kwa miaka mingi sasa wahindi wamekuwa wamilki wazuri?Mnabisha?wahindi ndo wamiliki wakubwa wa ardhi nzuri ya tz,yeah,na chakushangaza wahindi wanawatumia watz masikini kama cheaplabor,wanawapa kopo la mahindi na dagaa,ili kesho warudi kazini,au hamkumbuki kule vijijini wanavyobebwa masikini na matreta ya wahindi kupiga kazi kwenye mashamba yao?kwani serikali haiwezi kumilki hii ardhi na kutoa ajira hiyohiyo kwa masikini huyu?ni kitu cha jabu,mhindi anaweza kulisha kijiji kwa kuwapa chakula na wanakijiji haohao wanaprovide manpower kwa mhindi.kwanini manpower hii isitumike kwa manufaa ya TAIFA zaidi?kwanini anavyomilki mhindi huyu,visimilikiwe na serikali?hivi hatuoni ilivyo kazi na ngumu sana kumilki vitu ktk nchi za hawahawa wahindi?hasa ardhi?kwanini kwetu basi?ni vema tuachie uhuru hapa,huenda tumepumbazwa akili zetu na ni hatari sana.

Major si mbaguzi hata kidogo,hivi si mnakumbuka chanzo cha mkaburu South Africa na athari zake tunaziona hdi sasa?kwani Mfalme Zulu alitegemea kama wajukuu zake watasota kama ilivyo sasa?aliwakaribisha kama marafiki na majirani,akawapa na ardhi walime wapate chakula,alipotoweka duniani,wakawageuka wajuku zake na kuwatala kimabavu hadi sasa mnaona.

Hivi hamwogopi wahindi na watz wasio na asili ya kiAfrika kushika madaraka ktk nchi yetu na kuhusishwa moja kwa moja na issue nyeti za nchi yetu?Hivi watz masikini hawa walio wengi ambao hata elimu wamenyimwa watasema nini pale miongo kadhaa ijayo wahindi watakaposema nchi hii tulikabidhiwa na mababu zenu?hivi atuoni hili?kwani wasouth walipenda mwiba wanaumizwa nao hadi sasa?hafu tukisema wanatutukana na kusema hatuna point.point zenu ni zipi sasa?za kutoshtukia na kusoma alama?

Major kamua,kamua,kamua baba,hadi kieleweke hapa.

MUNGU aliye hai na akutie nguvu na useme zaidi na zaidi.
JF hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
waliompatia passport walipewa adhabu gani? Tangu Mch. Mtikila atoe tuhuma za uraia wa Rostam aziz idara ya uhamiaji inasemaje? au bado hawajaliona file?

Ninawasiwasi sana na zoezi la vitambulisho vya taifa, wengi watadandia.

Hakuna aliyechukuliwa hatua.
 
Aaaaaw im so convinced now thank you!! Ni kweli Bot ni jazba za upinzani na kikwete anafanya kazi nzuri sana!!
NOW U KNW HOW U SOUND!! (Eish kwa kweli i need to talk to people like you often...kukaa na intellectuals too long makes me loose track of what kind of people actually support CCM (THERE I SAID IT) Hope umejitayarisha na mgao!!

Kapinga acha kupinga ukweli wa hali halisi.
Watanzania tunaongea sana na kuendeleza majungu yasiyo kichwa wala miguu. Tunaogopa kutafuta ukweli na kuelewa undani wa mambo.
Ni nchi gani Duniani haiendeshwi kisheria?. Kuhusu EPA Raisi ameipa jukumu tume kushughulikia suala hilo ktk kipindi cha miezi sita then watuletee taarifa. Hiyo tume ina jumuisha wataalamu wa husika. Jinsi wanavyofanya kazi yao wao wanajua, hivyo wana JF kelele za nini?.

Subirini muone mchezo utakavyokuwa ndipo mtakapojua kwamba Jakaya ana uchungu na Tanzania.
 
Hakuna Nchi Yoyote Duniani Isiyo Na Ubaguzi Dhidi Ya Wageni, Nashangaa Tanzania Tumekuwa Malaya Wa Wageni Labda Hawa Viongozi Wetu Mbumbumbu Hawalijui Hili Maana Siyo Wengi Wanaopenda Kutembea Duniani Ktk Nchi Tofauti Ili Wazielewe, Ila Sisi Ambao Ni Wachakarikaji Ambao Tunahangaikia Mkate Wetu Kwa Kusafiri Sehemu Mbalimbali Za Duniani Matatizo Ya Ubaguzi Yanayotukumba Mungu Ndiye Anayejua, Lakini Mimi Ninapoona Haya Ktk Nchi Nyingine Najuwa Wanakuwa Na Maana Gani."ubaguzi Ndani Ya Nchi Ndicho Kipimo Cha Kweli Cha Uzalendo"nashangaa Viongozi Hawa Hawa Tuliowaweka Madarakani Wenyewe Wanatugeuza Watumwa Ndani Ya Nchi Yetu Wenyewe
 
Tizameni Tu Mfano Mdogo, Na Hii Imetokea Mwaka Jana Nchini China Ambapo Baada Ya Watanzania Kadhaa Kukamatwa Na Madawa Ya Kulevya Serikali Ya China Mara Moja Ilibadilisha Utaratibu Wa Viza Kwa Watanzania Kutoka Kipindi Cha Viza Ya Miezi Mitatu Na Kuwa Ni Kipindi Cha Mwezi Mmoja Tu. Hii Ilifanyika Ili Kuzibiti Uingiaji Holela Wa Watanzania,na Huu Ndiwo Uzalendo Wa Viongozi Wa China Dhidi Ya Wananchi Wao Sasa Uzalendo Wa Viongozi Wa Tanzania Dhidi Ya Wananchi Wao Uko Wapi?tangu Enzi Za Akina Chavda Mpaka Leo Kuna Akina Rostam,kina Jitu Patel Na Matapeli Kibao Tu Kutoka Asia Na Tena Ukithubutu Kuonyesha Uzalendo Kama Alivyoonyesha Mrema Wakati Akiwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani Ya Nchi Una Hatari Mbili Eidha Utauawa Au Kufukuzwa Kazi Na Ukicheza Hata Jela Utaenda. Kwani Yaliyompata Mtikila Ni Madogo?!!!
 
Sasa Hivi Tunapigana Vikumbo Na Wahindi, Wachina Na Waarabu Ktk Emirate Ethiopia Air Line Kenya Air Line Na Qatary Air Wote Stesheni Zetu Ni Moja Dubai,hong Kong,na Guang Zhou Masikini Wa Mungu Sisi Watanzania Ambao Baba Zetu Walishanyanganywa Mitaji Kwa Kisingizio Cha Uhujumu Uchumi Inabidi Tukaze Buti Maana Vimitaji Tulivyonavyo Ni Vya Kupepea Tena Wengi Wetu Tumevichukua Pale Akiba Benk Kwa Mbinde Baada Ya Wafanyakazi Wa Akiba Kutuambia Sisi Na Wake Zetu Tukumbatie Tv Halafu Watupige Picha Ili Waamini Kweli Kama Chumba Na Tv Ni Mali Yetu Na Ndipo Watupatie Mkopo Wa Milioni 5 "samahani Kidogo Ngoja Nifute Machozi" Kwani Hizi Pesa Za Japani Za Import Sapot Ziko Wapi Na Zinafanya Nini Mpaka Tudhalilike Kiasi Hiki Kwa Ajili Ya Mil 5 Tu Hivi Kwani Mungu Yuko Mbali Sana Na Sisi Watanzani Mbona Anachelewa Sana Kusikia Kilio Chetu?ok Enyway,wahindi Wachina Waarabu Na Waswahili Wenzangu Tukishahemea Wote Kwa Pamoja Tunarudi Bongo Sasa Ktk Kuuza Tulichohemea Vile Vya Mswahili Vinamdodea Maana Mtaji Wake Ni Mdogo Hivyo Ni Lazima Aweke Bei Kubwa Ili Aweze Kurudisha Gharama Na Pesa Ya Akiba Irudi Na Watoto Waende Choo. Pia Wahindi Wachina Na Waarabu Wao Hawajali Maana Kwanza Biashara Wanayofanya Hawalipi Ushuru Wala Chochote Kwani Wao Si Wameingia Nchini Kama Wawekezaji,!!! Sasa Nani Wa Kuwauliza Sasa Naomba Kuuliza Swali Kwa Wana Jf Wazalendo Wa Kweli. Hapo Kweli Kuna Ushindani Wa Biashara?na Pia Mimi Sijui Sheria Za Uwekezaji Zinasemaje Nisaidieni, Je? Huu Ndiwo Uwekezaji Tunaouhitaji Tanzania
 
Tunahitaji Kiongozi Mzalendo Na Mbaguzi Wa Kweli Atakayewapenda Watanzania Na Atakayeogopwa Na Wageni Na Hatuwahitaji Watu Kama Akina Makamba Wanaokumbatia Wageni Hata Kama Ni Wezi Maana Ni Aibu Sana.eti Makamba Alikwenda Kuomba Mchele Viroba 20 Kwa Zakaria Na Zakaria Kwa Kumkomoa Akampa Mchele Mbovu Yaani Alishindwa Kwenda Kuomba Misikitini Au Makanisani Mbona Makamba Unatudhalilisha?tena Ni Zakaria Huyu Huyu Aliyeitwa Na Zakia Megji Wakati Akiwa Ni Waziri Wa Fedha Kuwa Kuwa Ni Mfanyabiashara Mwaminifu Hivyo Mizigo Yake Ikifika Bandarini Hakuna Kukagua Wala Nini Moja Kwa Moja Godown Kwake Na Akishauza Ndipo Ailipe Serikali Ushuru,je Angekuwa Mwaminifu Angehifadhi Chakula Kibovu Ili Awauzie Watanzania? Kwani Ni Nani Asiyejua Tamaa Ya Wahindi Kwa Pesa Na Ni Muhindi Gani Alishatosheka? Wezi Watoa Rushwa Na Washawishi Wa Rushwa Hawa!! Ni Lini Tutampata Kiongozi Wa Kweli Atakayeliona Hili Na Limuume Kweli Rohoni?
 
Mhe. RA, swali la 'kizushi'....... Hivi unawapenda sana watu wa Igunga hadi ukupenda kuwawakilisha bungeni (naamini sio marupurupu ya ubunge yaliyokuvutia)? Je nitakua nimekosea nikisema kwamba ulitaka ubunge ile biashara zako ziende sawa? Kwamba ubunge wa sehemu yoyote kwako ni sawa? Iwe Igunga au Ukonga? Kama ni haya ni sawa, wewe ndiye unatumia siasa vibaya!
 
samahani mkuu laini umeongelea margin kubwa za vodacom na TTCL!! Unajua owners wa vodacom?? Na TTCL walipotengana na Celtel, una uhakika Rostam hakubaki na super dealership yotote??

Kagoda issue ya Rostam imeshafunikwa na kuna mtu tajiri sana ndio amekubali kuwa ndio owner na ameshalipa 50% ya hela iliyochukuliwa na 50% nyingine amesema halipi ngo sababu aliwapa CCM. Rostam alimwokoa kwenye issue kubwa ambazo huyu mtu anazo na amehaidiwa hamna cha mahakam wala nini. List itakapotolewa itakuwa kama mchezo wa kuigiza. Ukipitia vizuri taarifa ya Mkullo kuhusu pesa zitakazorudishwa utaona ni around 100 billion na sio 133 billion. Sehemu kubwa ni hiyo tofauti ya Kagoda na zile nyingine zilizosemekana zimekwenda sehemu nyeti.
Hivi Budget ya CCM ya Uchaguzi ilikuwa Billion ngapi vile??billion 22 na wakaongeza tena billion 8...so ni kama billion 30.DUh??Moelex kuna ukweli kwa details zako hapo??

ila nachofahamu billion 30 zilichangwa nwa tu wengi sana wenye mapenzi na chama,wabunge wote walitoa kuanzia 1.5m wakati wa mchakato na hata walioshindwa,hivyo

chukua 235*3* 1.5 million unapata ngapi?.ongeza na michang mikubwa ya kina Moh. sabodo ,Mungai, pamoja na pesa ya chama ..usiwahadae watu,CCM inajiendesha
 
Back
Top Bottom