KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
KakindoMaster,
Nakubaliana na wewe moja kwa moja!
Lakini si tunafahamu kuna kamati kwenye kila uchunguzi?
Hivi kweli umenikumbusha EPA imeishia wapi? Wameongeza muda maana inawezekana nimepitwa.
RA anahusishwa na Richmond mpaka sasa (kwa mujibu wa ripoti ya Mwakyembe) na tunasikia PM anasubiri kibali cha Spika ili kutangaza utekelezaji wake.
Sasa katika hili Rais afanye nini?
Hivi hiki Kibali kimeagizwa kutoka nchi gani?
Si nasikia hata Dowans haikuwa na Makataba? au ilikuwaje?