mwanaizaya
Senior Member
- Apr 26, 2008
- 133
- 1
Habarini Za Asbh
Mhe R.aziz Leo Hi Ametoa Dukuduku Lake Na Kusema Yale Yote Yanaongolewaa Ni Kutokana Na Wivu Juu Yake Na Wengine Ni Kuona Yeye Anawabania Ili Biashara Zao Zisifanikiwe,,
Akitoa Mawazo Yake Amesema Kumekuwa Na Pepo Mchafu Kwa Baadhi Ya Watu ,,na Katika Hili Kuna Baadhi Ya Watu Walio Madarakani Ambao Hawaridhiki Na Vyeo Alivyokuwa Nao Na Wengine Kuona Kama Rosta Anawazibia Kwenye Biashara Zao....
Mwisho Akaawaasa Viongozi Wa Dini Kutaka Kutumiwa Na Hawa Watu Wanaojiita Watakatifu Na Kuchafua Hekalu Kupitia Mgongo Wa Watu Mwisho Wa Kunukuu
Ahsanten
Mhe R.aziz Leo Hi Ametoa Dukuduku Lake Na Kusema Yale Yote Yanaongolewaa Ni Kutokana Na Wivu Juu Yake Na Wengine Ni Kuona Yeye Anawabania Ili Biashara Zao Zisifanikiwe,,
Akitoa Mawazo Yake Amesema Kumekuwa Na Pepo Mchafu Kwa Baadhi Ya Watu ,,na Katika Hili Kuna Baadhi Ya Watu Walio Madarakani Ambao Hawaridhiki Na Vyeo Alivyokuwa Nao Na Wengine Kuona Kama Rosta Anawazibia Kwenye Biashara Zao....
Mwisho Akaawaasa Viongozi Wa Dini Kutaka Kutumiwa Na Hawa Watu Wanaojiita Watakatifu Na Kuchafua Hekalu Kupitia Mgongo Wa Watu Mwisho Wa Kunukuu
Ahsanten