KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 88
KakindoMaster,
Nakubaliana na wewe moja kwa moja!
Lakini si tunafahamu kuna kamati kwenye kila uchunguzi?
RA anahusishwa na Richmond mpaka sasa (kwa mujibu wa ripoti ya Mwakyembe) na tunasikia PM anasubiri kibali cha Spika ili kutangaza utekelezaji wake.
Sasa katika hili Rais afanye nini?
KakindoMaster,
Nakubaliana na wewe moja kwa moja!
Lakini si tunafahamu kuna kamati kwenye kila uchunguzi?
RA anahusishwa na Richmond mpaka sasa (kwa mujibu wa ripoti ya Mwakyembe) na tunasikia PM anasubiri kibali cha Spika ili kutangaza utekelezaji wake.
Sasa katika hili Rais afanye nini?
wananchi tukubali tuliingia mkenge kuchagua mkulu jk.Tujirekebishe 2010
wananchi tukubali tuliingia mkenge kuchagua mkulu jk.Tujirekebishe 2010
JK ndiye aliingia MKENGE KWA KUPATA MADARAKA KUTOKA KWENYE UCHAGUZI AMBAO PESA ZA EPA ZILITUMIWA.
HIVYO KAMA HATAKI KULISHUGHULIKIA HILI SWALA KWA NAMNA TUNAYOMPA USHAURI...THEN NA YEYE ATAKUWA NI RAIS BATILI NA PIA WOTE YEYE NA MKAPA WANAWEZA KUJIBU MASHTAKA MAHAKAMANI.
Ameshakuwa batili tangu siku nyingi mkuu Mushi
Kalenge
Man is by nature a political animalAristotle (384 BC - 322 BC)
Nilkuwa najaribu kumwelewesha THINK BIG kwani naona anafagilia kisichofagilikika.
wananchi tukubali tuliingia mkenge kuchagua mkulu jk.Tujirekebishe 2010
waTanzania tu wazuri katika kuongea lakini hakuna vitendo ... Ndio maana sishangai tunapomnyooshea vidole Rais .. kwasababu sisi (wananchi) tunapenda kuongea na vitendo tumwachie mwingine atekeleze!
Na leo hii tunaonyesha tumemchoka kweli (JK), lakini cha ajabu ni sisi tena tutamrudisha 2010! Kwasababu tunapenda kuongea na kunyoosheana vidole bila kuonyesha vitendo!
anasema "natoa changamoto kwa mtu yeyote mwenye ushahidi wa vitendo vya uvisadi awakilishe hayo kwenye vyombo vya sheria"
Wakuu,
Pamoja na kwamba Rais wetu ni "mnyonge" lakini katika hili mnataka aingilie nini? Mbona haya mambo ni ya kawaida tu na wala hayaingiliani na utawala au serikali yake?
Mambo ya RA kusema bila ya kutaja wahusika, eti
.. wanatembea na watoto wadogo,
.. nimeshawahi kumpa Mtikila milioni 3,
.. mbona wakristo hutangazwa wakisaidia taasisi za kiislamu,
.. na kadhalika
haya hayaingiliani na utawala wa nchi, mpaka tumuhusishe Rais, kwa sisi haya ni malumbano ya wafanyabiashara, na kwa upande mwingine ni mpambano wa wanasiasa!
Katika hili Rais hatakiwi kufungua mdomo, anatakiwa kufungua mdomo iwapo serikali yake imeguswa, ama mmoja wa wasaidizi wake anaguswa moja kwa moja na maneno hayo ya RA! Na uzuri wa RA anazungumza bila kuweka wahusika, hata hao wahusika ni sisi (JF) ndio tunaowataja! Sasa katika hili Rais aanzie wapi?
Lahaula! fisadi anajitahidi kujisafisha lakini hata hajui aanzie wapi!!!...Na sisi tunakupa changamoto. Kwanza twambie mali zako zote ulizonazo na pia una shares katika makampuni gani ndani na nje ya Tanzania. Pili twambie ni biashara gani unazozifanya zilizokupatia utajiri na umeanza kuzifanya lini. Je, unalipa kodi katika biashara zako hizo mbali mbali? Una uthibitisho wowote kwamba hizo biashara zimelipiwa kodi? Je, kama unadai huna uhusiano na Richmond ilikuwa kampuni hiyi itumie sanduku la barua lilitolewa kwa jina lako.
Angekuwa Rais jasiri na anayetaka kulinda maslahi ya Tanzania na Watanzania huyu Rostam Azizi na wengineo wengi wangekuwa rumande wakati uchunguzi unaendelea.
Bubu ataka Kusema,
Mkuu lazima tukubali tumeisha pigwa bao na Rostam..
Anajua fika hakuna mwananchi anayeweza kuja na Ushahidi hasa baada ya kuona yaliyowakuta kina Balali --(warning)...
Kifupi ukilisoma swali la Rostam, hatuna jibu isipokuwa kuuliza swali...
Ushahidi upo ktk banda la Simba mla nyama ya watu..nani atakayeweza kujitoa mhanga?...