Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Akizungumza jana, Rostam alisema kinachofanyika ni mchezo wa kuigiza na kwamba yeye anamsikiliza Spika, anamheshimu; anasikiliza maelekezo ya chama chake na akapuuza watu wanaoeneza umbea kuwa chama kitamdhibiti.

“Mimi ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM. Nasikiliza maelekezo ya chama changu. Lakini pia mimi ni Mbunge niliyetokana na CCM. Mimi ni mtu mzito katika chama. Siwezi kudhibitiwa kwa umbea,” alisema.

Huu mchezo wa kuigiza unachezwa na nani mbona wote wanaonekana wakiucheza mchezo huu? Rostam aliitwa kwenye kamati ukakataa kwa makusudi, na mpaka leo hajachukuiwa hatua za kisheria,

Sasa ameamua kusema, kinachomzuia ni nini hasa si kusema tu, halafu let the chips fall where they may na sisi wananchi tuta-pick up from there wewe sema ukweli tu hata nje ya bunge, kama nia ni kusema ukweli, mwanzoni mimi nilidhani hii kitu ni serious lakini baada ya kusoma hii article naona ni ule ule ujanja ujanja tu, mtu anayetaka kusema ukweli mpaka kwanza akaamuulize Spika, sasa ameanza kutukumbusha uzito wake kwenye chama, badala ya kuusema ukweli wake, hivi alipokwenda kumuomba Spika aongee hakujua kuwa sheria haziruhusu? Sasa wanataka kusema hii kitu imetokea tu haikupangwa hii kutuchezea akili wananchi?
 
Hivi bado naendelea kuuliza Rostamu Aziz aliombwa na nani kuzungumza bungeni?

HIvi alikuwa Spika au Wabunge, Ina maana yale mambo ya kuojiwa ndo yamekwisha?

Sasa si mnaona keishapiga bao? yale yale ya mapendekezo ya tume ya Richie na kuundiwa tume jinsi ya kuyashughulikia. Alikataa kwenda kwenye tume na sasa abanwi tena.

Mchezo kwisha watanzania tutaendelea kumlipa tu. Hapa ni ka-Mchezo fulani
 
hapa ni utapeli juu ya utapeli.kama kweli watanzania wameamka bai majimbo yote ya dar yange chukuliwa na upinzani.lakini bado tunaongozwa na watu wenye makengeza.
 
Hii ishu haijakaa sawa, tunahitaji ukweli zaidi, swali langu ni kwa nini Rostam alikwepa kwenda mbele ya kamati ya Mwakyembe aliyoitwa kwa mujibu wa sheria? sasa eti anataka kusema mbele ya bunge bila kuwa under oath?

Rostam na Six, ndio mtandao wenyewe haswa, the matter of fact ni Rostam, ndiye aliyemtaka Six kuchukua fomu ya u-spika, na ndiye aliyemuomba Marehemu Akukweti, ambaye originally ndiye aliyekuwa designated kuwa spika, akae pembeni, sasa wanapoanza kukaangana mbele ya public, na hasa ndani ya chombo muhimu cha taifa kama bunge, huku rais amekaa pembeni akiangalia, exactly wanafikiria na kutuambia nini sisi wananchi at at large?

Mimi nilifikiri kuwa Rostam, na huo ukweli wake angekuwa in the good hands kuusema under oath, au mbele ya sheria, kuliko kwenye kikao cha kawaida cha bunge, na kama kweli ameamua kusema ukweli, basi angetoa nafasi kwa public au wanasiasa wenziwe kuanzia upinzani mpaka CCM, wampe maswali maana najua yako mengi sana, na hasa kutoka kwetu wananchi, I mean huyu amekataa kwenda mbele ya kamati ya Mwakyembe, alichofanya ni kuvunja sheria ya jamhuri yeye na Yona, sasa here he comes na agenda ya kutaka ku-dictate his political fate kwa ku-strike a confusion political bomb,

Yes, Rostam has all the rights kuamua kusema ili kuweka mambo wazi tena hadharani, na ikiwezekana apewe, lakini kwa sababu maelezo yake ni muhimu sana kwa taifa, basi kuwe na some kind of understanding, either politically au legally, kwamba:-

1. Kwa sababu nia ipo on his side kujisafisha mbele ya umma, yaani sisi wananchi, basi apewe maswali au topic za kuziongelea kwenye maelezo yake, ili aguse kila kona ya tuhuma dhidi yake, ikiwa ni pamoja na ushiriki wake kwenye kumchafua Salim kwenye uchaguzi wa rais, na what was his role kwenye kumshinikiza Mkapa, kupindisha katiba za CCM, ili kumpitisha mgombea wake Rostam, na wale wazee Darwesh na mwenziwe walipewa na nani zile SUV mbili mpya kuzunguka Tanzania nzima kuelezea role ya Salim kwenye kifo cha Karume, pamoja na zile shillingi millioni 20.

2. Maelezo yake yote yawe under oath, meaning kwamba atakapomaliza kutakuwa na special follow up ya bunge kuhakikisha kuwa kila alilosema ni ukweli under sheria za jamhuri.

3. Asichague topic ya kuongelea au hata kama amechagua basi aongezewe upana wa field ya ku-cover maana yeye anahusika tuhuma nyingi sana, na akimaliza kuongea yaani ndani ya bunge kuwa na kipindi cha maswali na majibu yake kutoka kwa wabunge, na haya yote yaonyeshwe live au wazi ili wananchi tujue mchele na pumba vilipo,

Anything less, ni yale yale ujanja ujanja wa baadhi ya viongozi wetu, kuanzia Rostam mwenyewe na wanaomkinga sasa hivi asiseme, Spika na CCM, ndani ya bunge wanatakiwa kuitumia nafasi hii ya uamuzi wa Rostam, kuamua kusema voluntarily kwa faida ya taifa zima, na hasa sheria yetu, maana huyu akisema yote anayoyajua, basi anatusaidia taifa na kamati zisizoisha za uchunguzi kila siku na kupoteza hela za walipa kodi bure,

Ninasema hivi kwenu viongozi wa CCM, huyu Rostam aruhusiwe kusema, lakini iwe under oath ndio njia pekeee itakayotuhakikishia kuwa anaongea ukweli, na akimalaza kuongea ndani ya bunge kuwe na kipindi cha maswali kwake kutoka kwa wabunge, msilichezee hilo bunge hapo sio mahali pa mchezo ni mahali pa kutunga sheria za jamhuri, na one does not need to be a priest kujua kuwa kuwa Mungu anaheshimu sana haki na sheria na hasa zinapotengenezwa.

Ahsante Wakuu.

Amen Mkuu!
 
Nimesoma kwenye hiyo habari ila naona kuna tofauti na kichwa cha habari hapa . Sijaona sehemu waliyosema amenyimwa kuongea bungeni kwa muda wa mwaka mmoja , kwani hii ndiyo premise ya hoja yangu hapo juu . Mimi sijali CCM wamemfanyia nini mwanachama wao ila ninajali kama sauti za watu wa IGUNGA zitanyimwa kusikilizwa , kwani hii itakuwa ni taxation without representation.
 
Jamani mwacheni "Rais" wa kivuli apete bila kutoa ushahidi! Mnataka azungumze kuhusu Richmond ili aue chama kutoa siri zote mpak zile fedha za "HEPA" (sic)?

Kina Mwakyembe wao walikuwa hawajui kuwa "Rais" wa kweli ndiye Gulamali Dewji wa CCM wakataka wamchojoe nguo hadharani?
 
Solution ndogo tu,

Sijui Rostam Aziz anataka kusema nini na kwa motive gani, lakini najua kama mwakilishi wa watu na Mtanzania (supposedly) ana haki ya kujieleza.

Hawa CCM kama wana cite kanuni za bunge, Bwana Aziz atumie magazeti yake na kutoa mambo yote aliyotaka kusema bungeni.
 
Bwana Rostam Azizi, nakupa pendekezo. Kwa kuwa CCM na Serikali yake wamekufumba mdomo kuhusiana na hoja yako ya kujisafisha kutokana na tuhuma za Richmond, hivyo basi jitoe uanachama wa CCM, utoe maelezo yako kwa Taifa ili usafishike!

Inaelekea huko CCM unakokupenda kuna maovu ya kunyima watu haki. Kwa kutumia maneno ya Katiba ya Jamhuri, tumia haki yako na kusema ukweli.

Si tunadai nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko?
 
Hapa RA anajaribu kuzima issue... Kimsingi hanachakuongea; alichofanya amewatishia wenziwe kama anausemi akichanganya na udhaifu wa system ya BUNGE - Haja yake hasa ni kupotea kimnya kimnya na aendelee kufanya mambo yake chini chini.

ILA Ujinga anaoufanya RA ni kutojifunza jinsi ZIMWI la Richmond lilivyo rudi - baada ya karibu kulifunika suala zima la Richmond kabla ya kutengenezewa Kamati - EL bado angalikua Waziri Mkuu (Masikini!).

Ushauri wangu kwake ni bora atafute mbinu nyengine azungumze na aweke records zake vizuri juu ya balaa zima la Richmond...

Kule kwetu wanamsemo wa INZI: "UKIUJUA WA MBELE - WENZIO ANAUJUA WA NYUMA"
 
Ibara ya 15 haimzui Chenge kuandikwa kwenye The Gurdian na wizi wake wa Mil $1? Hizi ibara za kishenzi shenzi ndio zinatupeleka shimoni.

Rostam amaembiwa akae kimya kwa faida za nani? Watanzania au CCM? Jee ni kwa nini CCM wanajifanya ndio wazazi wa Watanzania. I feel so bitter, yaani kuna stupidy guy ambae hata shule hana (ana shule ya imla) anapanga nani aseme nini na nani asiseme nini kwa manufaa ya Taifa.
 
kaaaaaaaaaaaaaazi kwelix2000000000000,zimbambwe inanafuu,Sokoinne habari hizi unazipata????, nyerere!! mizimu yenu okoeni taifa, wanayofanya ssiem ni sawa na mauaji ya kuangamiza :-x,😕,
 
huyo aziza apasue hilo bomu kama lipo tujue moja.kama ni kweli kuna watu watatoweka siku za usoni kupoteza ushahidi.
 
Rostam afungwa mdomo

na Happiness Katabazi
Tanzania Daima~Sauti ya Watu

KAMATI ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemzuia Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, kuwasilisha maelezo yake binafsi bungeni, Tanzania Daima, limebaini.

Habari za uhakika kutoka ndani ya kikao cha kamati hiyo kilichofanyika juzi mjini Dodoma, zinaeleza kuwa, uamuzi huo umechukuliwa kutokana na kile kilichoelezwa kuwa ni kulinda maslahi ya chama hicho tawala.

Kwa mujibu wa habari hizo, kabla ya kufikiwa kwa uamuzi huo, maelezo binafsi ya Rostam aliyoyakabidhi kwa Spika wa Bunge, Samuel Sitta hivi karibuni, yalijadiliwa kwa takriban saa tatu kabla ya kufikiwa kwa ufumbuzi wa kumzuia mbunge huyo kuyatoa bungeni kama yalivyo.
Vyanzo vya kuaminika vya habari kutoka ndani ya Bunge, na katika kikao hicho cha CCM zinaeleza kuwa, hatua hiyo ya Rostam kuzuiwa kutoa maelezo yake binafsi, imeibua minong'ono mingi miongoni mwa wabunge ambao wameanza kuhoji sababu za kufikiwa kwa uamuzi huo.

Mbunge mmoja aliye karibu na Rostam alilieleza Tanzania Daima kwamba, hatua hiyo ya kumzuia mbunge huyo kutoa maelezo yake binafsi, ilifanywa si kwa sababu ya kukinusuru chama hicho tawala, bali kwa lengo la kulinda hadhi ya Bunge.

"Ni kweli kikao cha juzi kimemtaka Rostam asiwasilishe maelezo yake binafsi bungeni, na mbunge huyo hakubaliani na uamuzi huo, na amesikika akisisitiza azma yake ya kuwa tayari, tena akiwa na ushahidi kamili kutetea hoja zake zote alizozitoa dhidi ya Kamati Teule ya Bunge iliyoongozwa na Mbunge wa Kyela, Dk. Harrison Mwakyembe," alisema mbunge huyo.

Kwa mujibu wa mbunge huyo, hatua hiyo ya Kamati ya Uongozi ya CCM kumzuia kutoa maelezo yake ilisabisha Rostam aamue kuondoka Dodoma jana kuelekea Dar es Salaam baada kujiridhisha kuwa asingeweza kutoa utetezi wake jana kama alivyotarajia.

Mbunge huyo alisema maelezo binafsi ya Rostam ambayo alipata fursa ya kuyasoma yalikuwa yakieleza kuwa, alikuwa na ushahidi uliokuwa ukimuonyesha kuwa Kamati ya Mwakyembe iliendelea kufanya kazi hata baada ya muda wake wa Desemba 31 mwaka jana kuisha.

"Tumenyimwa fursa ya kujua ukweli halisi kuhusu kazi iliyofanywa na Kamati ya Mwakyembe. Huyu jamaa alikuwa amekuja na hoja na vielelezo kuthibitisha malalamiko yake dhidi ya kamati teule. Maelezo yake yangeleta mtikisiko mkubwa bungeni na huo ndiyo msingi wa kuzuiwa kwake," alisema mbunge huyo.

Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana jioni, Rostam alikiri kuwapo Dar es Salaam kwa ajili ya mapumziko, na akaeleza kusikitishwa kwake na hatua hiyo ya kumzuia kutoa kile anachokijua na kukiamini kuhusu Richmond na ripoti ya Kamati ya Mwakyembe.

Alisema alikuwa amekusudia kulithibitishia Bunge namna alivyokuwa hausiki kwa namna yoyote na Kampuni ya Richmond na jinsi alivyohukumiwa na kuingizwa katika suala hilo kisiasa.

Alipotakiwa kueleza taarifa kwamba alikuwa anakusudia kuwasilisha vielelezo vyake juu ya tuhuma alizoelekeza kwa Kamati Teule ya Bunge, kwamba iliendelea na kazi hata baada ya muda wake kuishi Rostam alisema:

"Ninachoweza kukwambia kwa sasa ni kwamba, nilikuwa nimejiandaa vizuri kutetea maelezo yangu niliyoyatoa kimaandishi wakati nikichangia hoja ya ripoti ya Mwakyembe.

"Yote niliyosema siku ile kwamba kamati ile iliendelea na vikao vyake hata baada ya muda wake kuisha ni ya kweli na ninaweza kuyathibitisha.

"Nina uthibitisho huo na kwamba kamati hiyo ilifanya kazi kisiasa kwani mimi sihusiki kabisa na Richmond, na nilikuwa nataka nilithibitishie Bunge jambo hili," alisema Rostam.

Awali jana hiyo hiyo, Kaimu Katibu wa Bunge, Dk. Thomas Kashilila, alipoulizwa iwapo ofisi yake inazo taarifa za mbunge huyo kushinikizwa kuondoa maelezo yake, alisema anachokifahamu ni kwamba maelezo ya Rostam yalikuwa yakiendelea kufanyiwa kazi na washauri wa Spika ambao ni maofisa wa Bunge.

"Maelezo ya Rostam bado yapo kwa wataalam hao na wakishakamilisha kazi hiyo, watampatia ushauri unaofaa Spika kabla ya kumruhusu kuwasilisha utetezi wake huo," alisema Dk. Kashilila.

Tangu Rostam awasilishe malezo yake kwa Spika, Jumatano wiki hii, yenye lengo la kutoa utetezi kuhusu kuhusishwa kwake katika sakata la mkataba wa kufua umeme wa dharura kati ya Kampuni ya Richmond na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), suala hilo limechukua sura inayoonyesha kuwapo kwa jambo linalofichwa kwa sababu ambazo Tanzania Daima imeshindwa kuzifahamu.

Hata hivyo, habari za uhakika ambazo Tanzania Daima ilizipata kutoka ndani ya Bunge zilieleza maelezo hayo ya Rostam yanaonekana dhahiri kubeba ujumbe unaoweza kusababisha kutokea kwa mtikisiko mwingine ndani ya Bunge, baada ya ule wa Richmond ambao ulisababisha kujiuzulu kwa aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa mwanzoni mwa mwaka huu.

Kwa mujibu wa habari hizo ambazo zimekuwa zikiripotiwa na gazeti hili pekee hivi karibuni, uzito wa maelezo hayo ya Rostam ambayo kwa kiwango kikubwa yanaonekana kukilemea chama tawala, ulisababisha mapema juzi, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alazimike kuitisha kikao cha dharura cha Kamati ya Uongozi ya CCM muda mfupi baada ya Bunge kuahirishwa.

Hatua hiyo ya Pinda ilikuja saa chache tu baada ya Spika Sitta juzi hiyo hiyo, kulithibitishia gazeti hili kupokea maelezo ya mbunge huyo kwa maandishi, na akasema tayari alikuwa ameshaanza kuyafanyia kazi.

Uamuzi wa Rostam kutoa maelezo yake binafsi, unatokana na Azimio la Bunge lililofikiwa baada ya ombi lililotolewa na Dk. Mwakyembe aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati Teule ya Bunge iliyochunguza mkataba wenye utata wa Kampuni ya Richmond.

Dk. Mwakyembe alilazimika kutoa hoja ya kulitaka Bunge lidai maelezo binafsi kutoka kwa Rostam, baada ya mbunge huyo wa Igunga, ambaye jina lake lilitajwa katika ripoti ya Kamati Teule ya Bunge, likimhusisha na mkataba huo wenye utata wa Richmond, kuipinga ripoti ya kamati teule.


Maoni ya Wasomaji
Maoni yanayotolewa na wasomaji wa safu hii ni ya kwao na sio maoni ya kampuni ya Freemedia Ltd. Aidha sio maoni ya mtunzi au mwandishi wa habari au makala husika hapo juu. Maoni haya hayajahakikiwa wala kuafikiwa na kampuni ya Freemedia Ltd.
Maoni 33 yameshatolewa. (Nawe toa maoni yako!)
WATANZANIA MSIMSUMBUE MH.ROSTAM MAANA TUMECHOKA NA MAMENO,Mbona fisadi Lowassa alipewa na fasi ya kujimwagia radhi bungeni kulikoni Rostam?kwa lugha rahisi kuna kitu cha ukweli kinachoonyesha wakubwa wanahusika ndio maana wanatapatapa kutotaka uozo wao usimwagwe,muhindi wawatu wasimumsumbue sasa km hawataki atoe maelezo yake km katiba ya jamhuri ya muungano inayo mpa raia wa Tz kutoa maelezo yake km raia huru.Sita S your not a prophet,if the law is allow him to say the truth let him do,Tz is not belong to you,is belong to all tanzanians including the future generation.Msituletee Ujanja wa makamba na muafaka wa CUF.

na HI, P.R.CHINA, - 12.04.08 @ 09:06 | #6143

Ujinga,uchafu, na mambo ya kulindana. Inabidi chama cha mafisadi (ccm) wote waondoke. Wametufikisha hapa tulipo kwa wizi nchi inanuka umaskini kila upitapo rais wao kila kukicha yuko ndani ya suti na safari zisizona manufaa kwa nchi. Mke wake naye kaanza biashara akiwa ikulu kama Anna tutafika? wanamfunga mdomo wanajua hata rais anahusika moja kwa moja kuhusu EPA ndio maana akapewa urais. Kuna siku yataripuka nyie ngojeni.

na mwandimile, uganda, - 12.04.08 @ 09:06 | #6144

Nadhani hayo maneno ya Rostam ni ya mfa maji. Mambo yalishamwagika. afadhali spika amebaini vifungu muhimu kama hivyo ambavyo vinawabana waropokaji kama hawa. We Rostam ulikuwa wapi kujitetea kwa kamati siku zote huko nyuma? Inaingia akilini kusema kuwa huijui Richmond wakati hao mafisadi wametumia email ya kampuni yako. Mi nafikiri siku serikali itakapoamua kutolipa fedha kwa hiyo Richmond ndio tutawajua wamiliki wake, maana ni lazima watajitokeza tu baada ya mrija huo mnono.

na David, Dar, - 12.04.08 @ 09:13 | #6145

tanzania ni nchi ya wote, na ili mtu atendewe haki na ionekane kwamba haki imetendeka ni vyema akapewa nafasi ya kujieleza mbele ya bunge na ukweli utapimwa hapo, siamini kwamba bunge au uongozi wa bunge unaweza kumzuia asitoe mawazo yake, la msigi tuone jee hao wataalamu watamshauri nini spika wao na kama kweli maelezo hayo yanaweza kuathiri heshima ya bunge au ni kwa maslahi mengine. tunawaomba wataalamu kufikiria hasa juu ya haki ya kila mtu na kwa hili rostam ni mtanzania na ni mbunge ni vyema nae akapata muda wa kueleza upande wake wa maelezo ili sisi wa tz tuone nani ni mkweli,. ili nae rostam apimwe kwa maneno yake.

na mohammed, tz, - 12.04.08 @ 09:15 | #6147

we david mbona huna akili, wangemwacha ristam labda angekuwa na mengi ya kutuambia si ajabu angesema hata JK anahusika, kila siku mi nawaambieni hakuna mtu ******** kama spika wa bunge mi namjua undae wake huyu bwana, anajifanya kutu2mia sheria yake kuwabana wa2 sasa kwa taarifa yako hapa bongo kuna walimu wako waliokufundisha hiyo sheria. we ni mvaragizaji mkubwa huko bungeni si hasara wanaokutuhumu dhidi za ubadhirifu wako sahihi kwani nakujua wewe kwa kupenda fedha, mnakumbuka huyu alishawahi kutamka kwamba wabunge waongezewe posho kwani katika afrika mashariki ndio wanaopokea posho ndogo. ROSTAM NI TAJIRI NA MHINDI NAJUA ATAKUWA ANAKULA NA WANAOJIITA WAKUBWA WA NCHI HII SANA 2. SASA TUNGEMWAACHA AJITETEE 2ONE ANGESEMAJE, ANAYETOA HOJA HAPO JUU KWAMBA ALIKUWA WAPI AJUI ATENDALO KWANI AJUI KUWA INAWEZEKANA KABISA ALIFUMBWA MDOMO SASA BAADA YA KUONA MAJI YAMEMWAGIKA INABIDI AELEZE UKWELI.

na john, tz, - 12.04.08 @ 09:36 | #6150

Ekweli hivi kwa mawazo etu mnafikiri huyu mdindi atapewa muda was kujitetea hataruhusiwa kwani ni shahidi wa muhimu sana kwenye sakata lote la ufisadi kwani watanzania hamjui ni huyu mhindi aliyemweka kikwete madarakani kwakutumia fedha nyingi na zingine zikiingia kutokea uarabuni kupiti kwa huyu mhindi na hawala yake wa kiarabu ila ninachotaka kusema hivi hatujifunzi kupiti matatizo ya nchi zingine viongozi mjaribu kubadilika

na majabali, DSM, - 12.04.08 @ 09:38 | #6152

Pesa alizochukua Rostam amezichukua kwa niaba ya Rais aliyezitumia katika kampeni ya Chama na baadhi yake wametia ndani ni nyingi mno.

na faridi, Dar es Salaam, - 12.04.08 @ 09:41 | #6154

Kuna jambo zito ambalo kwa kweli linaashiria kusambaratika kwa CCM, ndo mana basi Speaker anamzuia huyu Jamaa Rostam. Utabiri wa Mwalimu Nyerere kwamba upinzani wa kweli utatoka CCM umeanza kutimia. Kama Rostam akiruhusiwa kutoa hoja binafsi, nina hakika wengi hasa viongozi wa juu watatajwa, kwa sababu kwa sasa Rostam anataka kujisafisha, na kama anataka kujisafisha lazima awatoe kafala hata maswaiba wake wa zamani kama Kikwete alivyomtoa kafala Lowassa ili ajisafishe. Mambo ndo hayo tunasubiri kwa hamu tuwajue mafisadi zaidi. Sasa sijui na kikwete ataachia ngazi iwapo atabainika!!? Sijui kwa kweli ngoja tusubiri.

na jamal, Dar, TAnzania, - 12.04.08 @ 09:52 | #6157

Jamani, mimi nauliza kwani Watanzania hatuwezi kufungua kesi ya kuitaka Tanesco iache kulipa Kampuni hewa? Tatizo liko wapi naomba msaada kisheria maana sisi wengine tupo mbali na nyumbani.

Pili kwani hakuna chombo ambacho kinamlinda consumer, ambacho kinaweza kikafile hii case on behalf of Wananchi. Maana mwisho wa siku anayeathirika na gharama kubwa ya Umeme ni mwananchi.
Nawakilisha

na uncle, Belgium, - 12.04.08 @ 09:58 | #6159

Haya sasa maji shingoni, Kikwete ulimtoa Lowassa kafara ili kujisafisha, sasa ni zamu ya Rostam kukutoa kafara ili kujisafisha. Wote tunajua kuwa Rostam ni moja kati ya wafadhili wakuu wa CCM, kwa hiyo hata pesa nyingi mlizotumia katika kampeni ya Uchaguzi uliopita bila shaka alitoa nyingi sana, sasa wewe umemsahau hata kumpa uwaziri wa wahindi. Haya sasa zamu yako ndugu

na Side, Dar Es Salaam, - 12.04.08 @ 09:59 | #6160

Lazima afungwe mdomo kwani labda angetaja watu wengi wanakula nch kwa kumtutumia yeye kama dalali.

Kwa mfano angalia Chenge account moja anamiliki $1000,000 na amekodi mwanasheria kutoka marekani ili kumtetea katika issue za ufisadi.Kwa uhakika tanzama taarifa zilizo chapiswa uk Kama inavyoonyesha hapa chini.
BAE corruption investigation switches to Tanzania

• Focus on £28m radar deal with East African state
• SFO's new director due to take over this month

David Leigh and Rob Evans The Guardian, Saturday April 12 2008

Following the uproar over its halted Saudi investigation, the Serious Fraud Office is expected to decide whether to bring fresh corruption charges against arms manufacturer BAE within six weeks, over a second arms deal, this time with Tanzania.

A minister from the east African state has denied that more than $1m (£507,500) in his offshore accounts came from BAE.

Investigators involved in a three-year inquiry after the controversial deal to sell Tanzania a £28m radar system identified the money in Jersey accounts controlled by the poverty-striken country's infrastructure minister, Andrew Chenge.

Tanzania's anti-corruption bureau, which has been working with authorities in the UK, Switzerland and Jersey, wants to establish if the money is linked to multi-million pound secret commission payments made by BAE.

Chenge does not dispute the money in his Jersey accounts. But he told the Guardian: "The obvious inference [of the investigations] is that I have received for my benefit 'corrupt payments' from BAE. This is untrue."

He said he was only involved in minor aspects of the radar deal, which was promoted by other ministries and approved by the Tanzanian cabinet. His bank records, he said, would show investigators that "there is no connection to the BAE Tanzanian radar deal".

His US lawyer from Cleveland, Ohio, J Lewis Madorsky, added: "While the matters in question took place a number of years ago, we can state ... that any and all allegations of illegality, impropriety, misconduct and unethical behaviour made against our client are categorically and vigorously denied".

Investigators say Chenge could be a valuable witness. The target of their investigation is not him but BAE. The arms company made the commission payments to a local agent in Tanzania to promote the £28m radar sale, through an elaborate chain of offshore companies and a Swiss bank.

The agent has now left the country and is wanted by Interpol.

These developments come at a key moment in the BAE saga. A landmark high court ruling on Thursday said that the decision to drop the SFO's Saudi inquiry was wrong.

In a huge embarrassment for the British and Saudi governments, the court rejected the claims that the inquiry had to be closed down for reasons of national security and because lives would be at risk.

And it took the extraordinary step of naming Prince Bandar, the crown prince's son, as the man behind what it said could be characterised as an attempt to pervert the course of justice.

Former prime minister Tony Blair caused uproar by personally forcing a halt to investigations into the Saudi deal. The Guardian subsequently disclosed that £1bn had been paid into accounts controlled by Prince Bandar during the deal. Bandar says the payments were not improper.

Inspectors from the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) grilled British officials in London last week about their failure to get results from any of their BAE investigations. Britain signed up to an international treaty to outlaw bribery, but there have never been any prosecutions.

The Tanzania deal, although smaller in cash terms than the Saudi deals, is equally controversial: Tanzania is one of the world's poorest countries, and the UK government is paying more than £100m this year to help the heavily-indebted country's budget.

It was Blair again who forced the radar deal through the British cabinet, despite protests from the then international development secretary, Clare Short. She said the sale, for which Tanzania had to borrow yet more from a commercial bank, was corrupt and "stank".

A lengthy SFO investigation in the UK subsequently discovered that 31% of the deal's contract price had been diverted via Switzerland.

BAE transferred the money to a subsidiary, Red Diamond Trading, registered anonymously in the British Virgin Islands.

Red Diamond then moved the cash to a Swiss account in the name of a Panama company, Envers Trading Corporation. This entity had two Panamanian nominee directors. But it was secretly controlled by a Tanzanian middleman, Shailesh Vithlani, according to Dar es Salaam court papers.

Investigators are now checking whether Vithlani arranged to pass any money in turn to Tanzanian politicians and officials.

Sources said the bank in Jersey had promptly frozen transactions and filed a suspicious activity report when the Tanzanian inquiries began.

Vithlani, who is of Indian extraction but holds a British passport, is listed as wanted by Interpol.

He has been charged by the Tanzanian anti-corruption bureau with lying to investigators, but has left the country. His whereabouts are unknown.

According to the charges, Vithlani falsely denied he was the owner of the Panama company, and falsely claimed he had only handled a separate commission of 1% on the deal.

The SFO's new director, Richard Alderman, former head of UK tax investigations, is due to take over this month. The SFO refused to comment yesterday.

BAE, which has previously denied wrongdoing, also declined to comment, or to explain its chain of offshore payments, other than to say "BAE Systems continues to fully co-operate with the SFO investigation".

The company has recently launched an extensive public relations campaign and last week unveiled a report commissioned from a commercial consultancy, Oxford Economics, which claimed BAE was of key value to the UK economy


na kimla, Tz, - 12.04.08 @ 10:04 | #6162

Kwa nini Sitta unamzuia Rostam, kunani hapo? Au unamkingia kifua Mr Kikwete. Wewe mzibe tu lakini ujue ya kuwa mambo yatakuwa mabaya zaidi kwa kumziba mdomo kuliko ambavyo ungemruhusu atoe hoja.

na Mwananci, Arusha, - 12.04.08 @ 10:05 | #6163

Eh mimi nilijua mambo haya yamekwisha kumbe bado!!! haya tuelezeni tena mafisadi wengine tuwajue ili tuwahukumu?
Kwa sababu haiwezekani wengine tuishi kwa kula dagaa na ugali kila siku wakati wengine wanachezea mamilioni yetu, haiwezekani nasema.
Kama ni Kikwete anahusika basi tuelezeni ili na yeye apate dawa yake.

na Friday, Tanga, - 12.04.08 @ 10:18 | #6166

Napenda kuja na vitu vitatu ambavyo kila ninapofuatilia hizi habari za Ufisadi hasa kampuni hii ya Richmond nashindwa kuelewa na ni katika pande zote tatu yaani Gazeti, Bunge na Serikali.

Kama jambo hili mliamua kulielezea bayana katika bunge letu tukufu na kila mwananchi aliye mfuatiliaji wa Siasa za Tanzania ana jua nini kinachoendelea, Bunge au Kamati ya Uongozi ya CCM haioni kwamba inawanyima haki watanzania haki ya kujua muendelezo wa sakata zima la Richmond mbali na Haki ya Mtuhumiwa?

Pili, ninaamini kwamba ili kuleta habari yenye pande utimilifu ni lazima upate maelezo ya pande zote mbili, sasa kama ndivyo, Serikali haioni kama ni kuwa kumkatisha Mhe. Waziri Mkuu aliyejiuzulu (Alipokuwa akiwaelezea wananchi kupitia TVT sasa TBC kunazidi kuleta maswali mengi ambayo hayajibiki kubwa ikiwa ni kumzuia mtu kueleza kile anachoamini kuwa ni sahihi na kumzuia Mhe. Rostam kutoa maelezo binafsi hasa baada ya kuombwa na Mwenyekiti Bw. Harrison kufanya hivyo?

Wahusika pia wanaonekana ni wafamaji kwakuwa kamati ilipowapa nafasi ya mwenye kujua lolote kuhusu Richmond Company Limited LLC ajitokeze walilala mbele na hasa Mhe. Rostam alipopelekewa wito wa kuitwa na kutoa excuses kibao ambazo kimsingi mimi sioni kama zina mantiki.

HITIMISHO napendekeza kupata habari ambayo itatuelezea zaidi kuhusu Richmond kama vile Bado Capacity Charge ya Mil. 152 bado inaendelea kulipwa? na Kuhusu kuishitaki na kuifilisi kampuni hiyo mara moja.

na Thengondo, Tanzania, - 12.04.08 @ 10:37 | #6171

Wapendwa Watanzania wenzangu, ninakuhimizeni kwa dhati kabisa kabla nami sijatoa maoni yangu kuwa tuendelee kuunganisha nguvu zetu na kufuatilia kwa makini kabisa kila tukio linalojitokeza nchini kuhusu ufisadi huu mbaya na habari zinazoandikwa magazetini zikitusaidia kupima ukweli na uhalisia kile kinachoelezewa.

Kwa maoni yangu mimi binafsi nashindwa kuelewa nani hasa kamzuia mh.Rostam kutoa utetezi wake:

Aya ya kwanza na ya pili hapo juu inasema ni "Kamati ya uongozi" CCM na imefanya hivyo "kulinda maslahi ya chama hicho tawala." Tayari hapa ni maslahi ya chama yanalindwa licha ya kwamba wanaoibiwa ni Watanzania wote.

Kwa upande wa pili tunaona kuwa mh.Rostam aliwasilisha maelezo yake kwa Spika ambayo "yalijadiliwa kwa takriban saa tatu" ndipo ikaamuliwa yazuiliwe yasitue Bungeni. Hapa napo tunaambiwa na huyu mh. mbunge tusiyemfahamu kuwa ni kwa maslahi ya Bunge!

WATANZANIA wenzangu, wakati wa kufichaficha mambo umekwisha. Ni lazima kuwa tayari kusema UKWELI ikiwa tunataka kulinusuru taifa letu na machafuko yasiyo ya lazima.

Hapa kuna kila dalili ya mambo kufichwa. Iko shaka kuwa huenda kweli kuna vigogo wengi bado serekalini wanaohusika moja kwa moja na kashfa hizi za ufisadi na pengine walipaza sauti kubwa kuwalaani akina mh.Lowasa na wenzake ambao afadhali yao waliwahi kujiengua kwa heshima.

Ni lazima tuwe tayari kumeza "klorokwini" licha ya uchungu wake ili maleria tuliyonayo ipone. Tunajua fika kuwa hakunadawa tamu ya kutibu maleria. Maleria yetu ni huu ufisadi unaolemaza uchumi wa nchi yetu na kutuweka Watanzania katika umasikini uliokithiri pamoja na hazina yote ya madini, utalii, mbuga kemkem za wanyama na mengine mengi Mwenyezi Mungu aliyotujalia.

Nawe ndugu yangu David naomba nikusihi usiwe tena kama hao wanaotaka kumziba mdogo mh.Rostam asijitetee kwa kuyaita maneno yake kuwa "ya mfa maji" na kumwita kuwa yeye ni "waropokaji" eti kwa sababu hakujitetea siku za nyuma. Kumbuka kuwa lazima kuwa na busara katika kila jambo. Pengine ilikua vema kwa yeye kuvuta subira ili itusaidie kuendelea kupata ukweli zaidi.

JE, Nd. DAVID, ULIJUA KUWA KAMATI YA MH.MWAKYEMBE ILIENDELEA KUFANYA KAZI HATA BAADA YA MUDA WAKE KUMALIZIKA KISHERIA KAMA MH.ROSTAM HAKUJA NA NIA YAKE YA KUTAKA KUJITETEA?!!??....

Kamati ile ilimtaja kuwa moja ya mafisadi kwanini kuwe na hofu leo ya "fisadi" huyu huyu kutaka kujitetea? Au walimgawia dau dogo? Lazima tujiulize Watanzania kulikoni hapa?

Nd. David umejenga hoja yako kuwa mafisadi walitumia 'email' ya kampuni yake. Wewe na mimi tunatumia ukurasa huu wa gazeti la Tanzania Daima na wewe umeutumia kumkashifu mh.Rostam kuwa ni mfamaji na mropokaji. Sasa tuihusishe Tanzania Daima na dhambi yako? Hebu fikiri tena upya juu ya hoja yako na kwa kuwa wewe waweza pia kuwa mwungwana basi utamtaka radhi huyu mh.Rostam.

Ninatoa wito kwa viongozi wetu wote wa chama na serekali kulipa uzito unaostahili suala hili la ufisadi ndani ya nchi yetu. Waliapa kulitumikia Taifa na watu wake na siyo kujitumikia. Waliapa kuilinda Katiba ya nchi na siyo maslahi ya chama fulani na wachache wake.

LAZIMA WAWE TAYARI KUWAELEZA WATANZANIA NINI HASA KINAENDELEA: WAO NI WANADAMU NA SIYO MALAIKA. WAKIRI KUKOSEA KWAO NA WAANZE UPYA KWA MANUFAA YA WATANZANIA WOTE, kisha Afrika na dunia nzima.

MUNGU IBARIKI TANZANIA.

na Jumapili, Ughaibuni Austria, - 12.04.08 @ 10:41 | #6172

Watanzania wote wenye mapenzi mema na inchi yetu tuungane pamoja hata kwa kwanjia ya maandamano ili tuambiwe kile Rostam alichotaka kusema.Bunge ni la jamhuri ya muungano wa tanzania na wala sio la Sitta ama ccm, kitendo cha kumzuia Rostam eti kwa maslahi ya chama hili haliingii akilini kabisa Wakumbuke kwamba Rostam alichanguliwa na watanzani wala sio wana ccm tu pia ni mbuge wa watanzania nasio wa ccm, ndio maana hakuna bunge la ccn,cuf,chadema bali kuna bunge ta tanzania.


Hivyo sioni logoc ya kumkataza et kwa naslahi ya chama ilihali tunaangamiza maslahi ya taifa. Mbunge huyu tangu awali imefahamika kuwa ni mhimili mkuuu wa ccm katika kufadhili mpingo ya chama iwe kihalali ama kinyume hakuachwa nyuma na hawa mafisadi, kikwete anaujua mchango wake kumuweka madarakani.
Watanzania tukumbuke kabla mtemi Mkwawa hajatekwa na wajerumani walikuwa wakimletea zawadi kwa hekima ya mzee huyu aliwaita wazee waliokuwa wakimzunguka na kuwaasa haina haja ya kupokea zawadi kwani hakuna kitu cha bule duniani leo zawadi kesho tutawajibika kulipa kwa kumuonea aibu mtu japo anatuhujumu, ni vipi tumuulize wakati kisha jenga urafiki?
Rostam alitoa mipesa mingi kwa ccm hadi kutukuzwa sasa anataka kuwatapika wote aliowameza ndio maana wanaogopa kuanikwa hadhalani.
Lakini ikumbukwe kwamba sisi tunakifaham nini Rostam anataka kukisema hata kama mtakataa, nahii ina zidi kudhihilisha ukweli kuwa ccm wakongwe wate ni mafisadi tu akiwemo kikwete na sitta.

Maombi yangu kwa watu wote wenye mapenzi mema tushilikiane kusukuma hoja ya Rostam inafikishwa bungeni, pia vyama pinzani tunaomba mlishupalie swala hili kama mlivyo lazimisha kuundwa kwa kamati ya richomond na mapitio yta mikataba mibovu,sisi watanzania tulio nje ya bunge tunawategemea sana ninyi.
WATANZANIA NI AKATI WA KUUNGANA MKONO KUONDOA AIBU HII KWA WAZEE WETU, AJILA NGUMU UCHUMI WALA WAO NA WATOTO WAO HAIWEZEKANI SIONI TAFSILI YA TANZANIA KISIWA CHA AMANI HERI KIITWE KISIWA CHA MAFISADI TU.

na alex kaila, Kasamwa Geita, - 12.04.08 @ 11:06 | #6175

http://www.guardian.co.uk/world/2008/apr/12/bae.baesystemsbusiness


BAE corruption investigation switches to Tanzania· Focus on £28m radar deal with East African state
· SFO's new director due to take over this month
David Leigh and Rob Evans The Guardian, Saturday April 12 2008

This article appeared in the Guardian on Saturday April 12 2008 on p8 of the UK news section. It was last updated at 00:06 on April 12 2008. Following the uproar over its halted Saudi investigation, the Serious Fraud Office is expected to decide whether to bring fresh corruption charges against arms manufacturer BAE within six weeks, over a second arms deal, this time with Tanzania.

A minister from the east African state has denied that more than $1m (£507,500) in his offshore accounts came from BAE.

Investigators involved in a three-year inquiry after the controversial deal to sell Tanzania a £28m radar system identified the money in Jersey accounts controlled by the poverty-striken country's infrastructure minister, Andrew Chenge.

Tanzania's anti-corruption bureau, which has been working with authorities in the UK, Switzerland and Jersey, wants to establish if the money is linked to multi-million pound secret commission payments made by BAE.

Chenge does not dispute the money in his Jersey accounts. But he told the Guardian: "The obvious inference [of the investigations] is that I have received for my benefit 'corrupt payments' from BAE. This is untrue."

He said he was only involved in minor aspects of the radar deal, which was promoted by other ministries and approved by the Tanzanian cabinet. His bank records, he said, would show investigators that "there is no connection to the BAE Tanzanian radar deal".

His US lawyer from Cleveland, Ohio, J Lewis Madorsky, added: "While the matters in question took place a number of years ago, we can state ... that any and all allegations of illegality, impropriety, misconduct and unethical behaviour made against our client are categorically and vigorously denied".

Investigators say Chenge could be a valuable witness. The target of their investigation is not him but BAE. The arms company made the commission payments to a local agent in Tanzania to promote the £28m radar sale, through an elaborate chain of offshore companies and a Swiss bank.

The agent has now left the country and is wanted by Interpol.

These developments come at a key moment in the BAE saga. A landmark high court ruling on Thursday said that the decision to drop the SFO's Saudi inquiry was wrong.

In a huge embarrassment for the British and Saudi governments, the court rejected the claims that the inquiry had to be closed down for reasons of national security and because lives would be at risk.

And it took the extraordinary step of naming Prince Bandar, the crown prince's son, as the man behind what it said could be characterised as an attempt to pervert the course of justice.

Former prime minister Tony Blair caused uproar by personally forcing a halt to investigations into the Saudi deal. The Guardian subsequently disclosed that £1bn had been paid into accounts controlled by Prince Bandar during the deal. Bandar says the payments were not improper.

Inspectors from the Organisation for Economic Co-operation and Development (OECD) grilled British officials in London last week about their failure to get results from any of their BAE investigations. Britain signed up to an international treaty to outlaw bribery, but there have never been any prosecutions.

The Tanzania deal, although smaller in cash terms than the Saudi deals, is equally controversial: Tanzania is one of the world's poorest countries, and the UK government is paying more than £100m this year to help the heavily-indebted country's budget.

It was Blair again who forced the radar deal through the British cabinet, despite protests from the then international development secretary, Clare Short. She said the sale, for which Tanzania had to borrow yet more from a commercial bank, was corrupt and "stank".

A lengthy SFO investigation in the UK subsequently discovered that 31% of the deal's contract price had been diverted via Switzerland.

BAE transferred the money to a subsidiary, Red Diamond Trading, registered anonymously in the British Virgin Islands.

Red Diamond then moved the cash to a Swiss account in the name of a Panama company, Envers Trading Corporation. This entity had two Panamanian nominee directors. But it was secretly controlled by a Tanzanian middleman, Shailesh Vithlani, according to Dar es Salaam court papers.

Investigators are now checking whether Vithlani arranged to pass any money in turn to Tanzanian politicians and officials.

Sources said the bank in Jersey had promptly frozen transactions and filed a suspicious activity report when the Tanzanian inquiries began.

Vithlani, who is of Indian extraction but holds a British passport, is listed as wanted by Interpol.

He has been charged by the Tanzanian anti-corruption bureau with lying to investigators, but has left the country. His whereabouts are unknown.

According to the charges, Vithlani falsely denied he was the owner of the Panama company, and falsely claimed he had only handled a separate commission of 1% on the deal.

The SFO's new director, Richard Alderman, former head of UK tax investigations, is due to take over this month. The SFO refused to comment yesterday.

BAE, which has previously denied wrongdoing, also declined to comment, or to explain its chain of offshore payments, other than to say "BAE Systems continues to fully co-operate with the SFO investigation".

The company has recently launched an extensive public relations campaign and last week unveiled a report commissioned from a commercial consultancy, Oxford Economics, which claimed BAE was of key value to the UK economy.


na kllkk, klk, - 12.04.08 @ 11:10 | #6177

Hivi kwa nini boss wa TAKUKURU bado ana dunda?
Tena amepewa kazi ya kuchunguza account ya EPA? Yeye nae ana yake kibao. Hata hao vijana wake wakigundua jambo anawabana na ili wasiweze kusema kitu wanaachia ngazi au anawapiga transfer sehemu za mbali ili wasiweze kufukia chombo chochote cha habari.

na ppppppppp, Antigua, - 12.04.08 @ 11:17 | #6178

wanahabari huu ndio wakati wenu kuoneha nia nzuri na thabiti kwa taifa letu, ninyi wanahabali mnayo fursa kubwa kuwaelezeni watanzania nini kinaendelea na nini kifanyike kupitia vyombo vya habari swala hili hata kama Sitta na wenzake ccm watapindisha ukweli ninyi mwaweza kushikia kidedea jambo hili hadi likawekwa hadharani, wanahabari mnanguvu sana jaop hukubarli kutumiwa na hawa mafisadi kuandika habalri za kuwasafisha kamwe msikubali kutumikishwa kuihujumu tanzania, msiwe kama vyomba vya habari vya norway miakaya 1890s.wanahabari tushikamane hadi Rostam apate wasaha wa kujieleza.

na niwaely ombeni, canada, - 12.04.08 @ 11:27 | #6179

Swala la ROSTAM lazima azuiliwe maana Mafisadi wenaona kama anaanza 'kula bila kunawa' na anataka kuendelea kushika mikono ya watu huku akiwa na shombo..!
Kama anayo maelezo na alishindwa kuyatoa zamani aende ukumbi wa maelezo DSM ayatoe ili watanzania wayasikie lakini si kuwachachefua wabunge wengine kwenye Bunge. Kamati kuzidisha muda si swala la kuhangaikia sasa; swala ni kampuni ya kitapeli,ambayo imeendelea kuwaongezea watanzania machungu ya kupanda kwa gharama za umeme siku hadi siku, na malipo hayajasitishwa kunusuru ugumu wa maisha.

na S.T.M, East-Timor, - 12.04.08 @ 11:59 | #6181

Rostam ana haki ya kujieleza kwa watanzania kuhusu shutuma juu yake. Kama bungeni umepigwa full stop nenda idara ya habari MAELEZO na kufafanua chochote unachokijua juu ya shutuma zako. Usipofanya hivyo maana yake yote yaliyosemwa juu yako ni kweli na safari ijayo usithubutu hata kuchukua fomu kugombea uongozi, achilia mbali kumpigia kampeni mgombea yoyote au hata kuchangia kampeni. Unaweka mizizi nchi hii ili uanze kuwaleta wairan waje kujilipua sio? Tumekustukia vinginevyo nenda MAELEZO ukatoe maelezo, bado nakufuatilia.



na Mfuatiliaji, Dsm,Tz, - 12.04.08 @ 12:49 | #6185

Nashukuru Tz daima kwa hii furusa ya watu kutoa maoni yao. Namshukuru pia Kimla kwa habari hizi za Kesi inayomhusu Chenge kwa upande mmoja. Nadhani ni vema watanzania wakaamka na kuweza kuhoji haya mambo ya ufisadi. Kila mwenye dukuduku apewe nafasi ya kusema. Ni kutoitendea Tz na mhusika vyema pale unapozuia nafasi ya kusema.

Naomba vyombo vya habari vifuatilie kutafiti na kutuhabarisha zaidi kuhusu hiki kiasi cha fedha za chenge ktk account ya nje. Lazima tujue hiyo account kama ipo, ilifunguliwa lini na kwa kipato/biashara gani. Naamini kuna madudu mengi. La msingi wananchi yatupasa kujua kuwa wenye nchi ni sisi na sio watawala. Tuwetayari kusema hapana pale panapostahili. TANZANIA NI MASKINI SIO KWA SABABU NI MASIKINI ILA IMEFANYWA MASIKINI KUTOKANA NA UFISADI NA VIONGOZI KUJIPENDA WAO NA FAMILIA ZAO. INAUMA SANA, ILA TUAMKE NA TUDAI TANZANIA YETU, wakati wa kudanganywa kwa faida ya wachache ulipita. SHIME WATANZANIA

na Paul, DK, - 12.04.08 @ 12:55 | #6186

'Jino kwa jino, na Jicho kwa jicho' Rostam kama mjumbe wa CC/CCM unaanza kuvuna ulichokipanda. Ni watanzania wangapi wamefungwa midomo ili CCM iendelee kutuburuza? Ulifanya nini ndani ya Central Committee (CC) kuona haki inafuatwa? Kwa kuwa mulishazoea kuburuza watanzania kwa kisingizio cha kudumisha utulivu, kipengele hicho cha kulinda utulivu kunakubana. Sasa ndio wakati muafaka wa kuona uchungu uliowajaa watanzania kwa kipindi cha miaka karibia arobaini. Sasa hivi wewe ni mtu hatari kwa 'Usalama wa Taifa'sorry kwa 'Usalama wa CCM' na sitashangaa wakikukolimba. Mpaka unafiki utakapowaisha ndio nchi hii itaweza kupiga hatua.

na Kiama, tz, dsm, - 12.04.08 @ 12:58 | #6187

http://www.guardian.co.uk/world/2008/apr/12/bae.baesystemsbusiness

TATIZO HUYU JAMAA ATATETEWA NA TAKUKURU KAMA WATAHUSISHWA KUPULELEZA.

na Imani - 12.04.08 @ 13:22 | #6198

CCM NI CHAMA CHA MIZENGWE MIZENGWE KAMA MAJINA YA VIONGOZI WAO YALIVYO.
SASA KWA NINI WANAMZUIA R. AZIZ ASITOE MAELEZO YAKE BINAFSI KAMA WALIVYO MRUHUSU LOWASA ?
HAPA BILASHAKA YOYOTE NI KUWA WANAOJIITA WAKUBWA WATAFEDHEHEKA VIBAYA SANA SANA.
MH. ROSTAM, USIKUBALI KUTUKANWA NA KUDHALILISHWA NA CCM TUMIA UHURU WAKO, DEMOC.YAKO NA LINDA HESHIMA YAKO KWA KUUELEZA UKWELI NDANI YA MOYO WAKO,USIKUBALI .TUMIA KALAMU ,MDOMO HATA KWA MACHO KUSEMA UKWELI.
UMEDHALILISHWA SANA HATA KUSEMA WEWE NI MUHINDI BULUSHI MUIRAN YOTE HAYA NI KWA SABABU YA KUITUMIKIA CCM KWA MALI YAKO ,SASA FADHILA YAO KWAKO NI KUKUITA ***** KWA NINI USISEME UKWELI?
TUAMBIE UKWELI...

na ikuk, uk, - 12.04.08 @ 13:46 | #6203

Wamachie huyo jamaa amwage mtama hadharani watanzania tutachambua zipi ni pumba na zipi nichenga nzuri. Kama tulimtosa Lowasa na wenzake na bado nchi inakwenda sasa nani anayelindwa kwa kumziba mdomo huyu mtuhumiwa bila shaka sio Mwakyembe. Napendekeza kuwa Rostam,Lowasa na wengine wote wanaotaka kujitetea wapewe nafasi ya kufanya hivyo hadharani ili wasipate nafasi nyingine ya kuendelea kudanganya watu huko majimboni kwao kuwa wanaonewa.

na Anony, Bongo, - 12.04.08 @ 13:47 | #6204

Jamani hii habari ya Chenge inatisha. Nimeisoma kwenye gazeti la Guardian la Uingereza la leo. Ana akaunti nje ya nchi yenye mamilioni ya pesa. Anahusishwa na kashfa ya rada inayochunguzwa na TAKUKURU ikishirikiana na taasisi za nje. Anakubali kwamba fedha ni za kwake lakini hazikutokana na rushwa ya rada (Je zimetokana na nini?). Amekodisha wanasheria kutoka Marekani. Jamani, huyu Chenge, mtanzania, aliyeanza kukabidhiwa ofisi za umma akiwa kama mtanzania wa kawaida fedha yote hii, mpaka uwezo wa kukodisha wanasheria Marekani ametoa wapi? Watanzania hizi fedha za ufisadi walizolimbikiza hawa jamaa ndizo zinazofanya watanzania tuishi maisha ya dhiki. Wanasaini mikataba ya kudidimiza watanzania wote kwa ajili ya tamaa zao za ufisadi. Watanzania tufumbue macho tutafute namna ya kuondokana na mafisadi na pia ziwepo sheria na hatua kali za kuwachukulia watu kama hawa. KULE CHINA HUWA WANAPIGW RISASI HADHARANI ILI KUWA FUDNISHO KWA WATU WENGINE. Na kama mnavyoona, China kuna nidhamu ya hali ya juu na uchumi wao kwa kasi kubwa kuliko mataifa yote. Hawaruhusu upuuzi kama wa kina Chenge. Jamani watoto wetu hawana madawati, wanakaa chini, hawana vitabu, waalimu wetu hawana mishahara ya kuweza kukidhi maisha yao, madakari wetu hawawezi kufanya kazi kwa moyo wa kujituma kwa sababu ya kipato duni, hospitali zetu hazina madawa, hazina vifaa, Ninyi kina Chenge Mnafanya nini?

na Mzalendo, Masaki, DSM, - 12.04.08 @ 13:51 | #6207

Mimi bado natetea hoja yangu. Huyu mtu alikuwa wapi kutoa ushahidi wake? Hata kama alikuwa nje ya nchi, je aliporudi si alikuta taarifa nyumbani kuwa anahitajika na kamati?

na David, Dar, - 12.04.08 @ 13:52 | #6208

Jamani hii habari ya Chenge inatisha. Nimeisoma kwenye gazeti la Guardian la Uingereza la leo. Ana akaunti nje ya nchi yenye mamilioni ya pesa. Anahusishwa na kashfa ya rada inayochunguzwa na TAKUKURU ikishirikiana na taasisi za nje. Anakubali kwamba fedha ni za kwake lakini hazikutokana na rushwa ya rada (Je zimetokana na nini?). Amekodisha wanasheria kutoka Marekani. Jamani, huyu Chenge, mtanzania, aliyeanza kukabidhiwa ofisi za umma akiwa kama mtanzania wa kawaida fedha yote hii, mpaka uwezo wa kukodisha wanasheria Marekani ametoa wapi? Watanzania hizi fedha za ufisadi walizolimbikiza hawa jamaa ndizo zinazofanya watanzania tuishi maisha ya dhiki. Wanasaini mikataba ya kudidimiza watanzania wote kwa ajili ya tamaa zao za ufisadi. Watanzania tufumbue macho tutafute namna ya kuondokana na mafisadi na pia ziwepo sheria na hatua kali za kuwachukulia watu kama hawa. KULE CHINA HUWA WANAPIGWA RISASI HADHARANI ILI KUWA FUDNISHO KWA WATU WENGINE. Na kama mnavyoona, China kuna nidhamu ya hali ya juu na uchumi wao unakua kwa kasi kubwa sana hivi sasa kuliko mataifa yote. Hawaruhusu upuuzi kama wa kina Chenge. Jamani watoto wetu hawana madawati, wanakaa chini, hawana vitabu, waalimu wetu hawana mishahara ya kuweza kukidhi maisha yao, madakari wetu hawawezi kufanya kazi kwa moyo wa kujituma kwa sababu ya kipato duni, hospitali zetu hazina madawa, hazina vifaa, Ninyi kina Chenge Mnafanya nini jamani?



na Mzalendo, Masaki, DSM, - 12.04.08 @ 13:56 | #6209

Hii ya Chenge inaelekea haijatulia. Mhariri Freemedia, hebu tunasie hiyo habari ya Chenge, uitafsiri kwa kiswahili na kuichapa kwenye gazeti hili maana sisi wengi hiyo lugha ya kigeni hatuielewi vizuri. Tunaomba tafadhali, Ahsante

na Jumanne Issa, Temeke, DAR, - 12.04.08 @ 14:05 | #6211

We David huna akili kabisa kama huna la kuandika kwa nini usitumie muda wako kupunguza umaskini ulio nao au angalau umsaidie mke wako kupika ni bora zaidi kuliko ujinga unao uandika hapa unafikiri watu wanacheza hapa ebo!!!

na Mzawa, UK, - 12.04.08 @ 14:19 | #6213

Alikuwa wapi kipindi kile kujieleza? nao hao ccm kwanini hilo suala wakalijidili kwanza kichama halafu ndo spika aje kutoa maamuzi? kuna nini ndani ? kama siyo kuendekeza hao mafisadi acheni wasemane wenyewe hadi tutawafahamu wote! CCM wamezidisha usiri ili waweze kuendesha ufisadi kilaini

na O.Mataka, tanzania, - 12.04.08 @ 14:19 | #6214

NINGEPENDA Arosto Zizi atoe utetezi wakelakini mbona sioni kama ana jipya zaidi ya uzushi? sasa kama kamati ilifanya kazi hata baada ya mda wake kwisha lakini ikagundua kama yeye ni ***** shida yake nini? hata kama mda ukikwisha lakini wakaona yeye alikua anachelewesha ushahidi ili mda upite asianikwe hadhari huo nao ni utetezi tunaoutaka watanzania tulioibiwa? at ***** aseme ndiyo hata kama mimi ni ***** lakini ulipeleleza hata baada ya mda wako uliopangiwa kupeleleza kumalizika. nilitaka Arosto asema anao ushahidi kwamba Richmond siyake bali ni ya Vigogo wengine anaotaka kuwaanika, lakini sio ati kamati ilifanya kazi hata baada ya mda wake kupita

na Paul , London, uk, - 12.04.08 @ 14:20 | #6215
 
Hii ishu haijakaa sawa, tunahitaji ukweli zaidi, swali langu ni kwa nini Rostam alikwepa kwenda mbele ya kamati ya Mwakyembe aliyoitwa kwa mujibu wa sheria? sasa eti anataka kusema mbele ya bunge bila kuwa under oath?

Rostam na Six, ndio mtandao wenyewe haswa, the matter of fact ni Rostam, ndiye aliyemtaka Six kuchukua fomu ya u-spika, na ndiye aliyemuomba Marehemu Akukweti, ambaye originally ndiye aliyekuwa designated kuwa spika, akae pembeni, sasa wanapoanza kukaangana mbele ya public, na hasa ndani ya chombo muhimu cha taifa kama bunge, huku rais amekaa pembeni akiangalia, exactly wanafikiria na kutuambia nini sisi wananchi at at large?

Mimi nilifikiri kuwa Rostam, na huo ukweli wake angekuwa in the good hands kuusema under oath, au mbele ya sheria, kuliko kwenye kikao cha kawaida cha bunge, na kama kweli ameamua kusema ukweli, basi angetoa nafasi kwa public au wanasiasa wenziwe kuanzia upinzani mpaka CCM, wampe maswali maana najua yako mengi sana, na hasa kutoka kwetu wananchi, I mean huyu amekataa kwenda mbele ya kamati ya Mwakyembe, alichofanya ni kuvunja sheria ya jamhuri yeye na Yona, sasa here he comes na agenda ya kutaka ku-dictate his political fate kwa ku-strike a confusion political bomb,

Yes, Rostam has all the rights kuamua kusema ili kuweka mambo wazi tena hadharani, na ikiwezekana apewe, lakini kwa sababu maelezo yake ni muhimu sana kwa taifa, basi kuwe na some kind of understanding, either politically au legally, kwamba:-

1. Kwa sababu nia ipo on his side kujisafisha mbele ya umma, yaani sisi wananchi, basi apewe maswali au topic za kuziongelea kwenye maelezo yake, ili aguse kila kona ya tuhuma dhidi yake, ikiwa ni pamoja na ushiriki wake kwenye kumchafua Salim kwenye uchaguzi wa rais, na what was his role kwenye kumshinikiza Mkapa, kupindisha katiba za CCM, ili kumpitisha mgombea wake Rostam, na wale wazee Darwesh na mwenziwe walipewa na nani zile SUV mbili mpya kuzunguka Tanzania nzima kuelezea role ya Salim kwenye kifo cha Karume, pamoja na zile shillingi millioni 20.

2. Maelezo yake yote yawe under oath, meaning kwamba atakapomaliza kutakuwa na special follow up ya bunge kuhakikisha kuwa kila alilosema ni ukweli under sheria za jamhuri.

3. Asichague topic ya kuongelea au hata kama amechagua basi aongezewe upana wa field ya ku-cover maana yeye anahusika tuhuma nyingi sana, na akimaliza kuongea yaani ndani ya bunge kuwa na kipindi cha maswali na majibu yake kutoka kwa wabunge, na haya yote yaonyeshwe live au wazi ili wananchi tujue mchele na pumba vilipo,

Anything less, ni yale yale ujanja ujanja wa baadhi ya viongozi wetu, kuanzia Rostam mwenyewe na wanaomkinga sasa hivi asiseme, Spika na CCM, ndani ya bunge wanatakiwa kuitumia nafasi hii ya uamuzi wa Rostam, kuamua kusema voluntarily kwa faida ya taifa zima, na hasa sheria yetu, maana huyu akisema yote anayoyajua, basi anatusaidia taifa na kamati zisizoisha za uchunguzi kila siku na kupoteza hela za walipa kodi bure,

Ninasema hivi kwenu viongozi wa CCM, huyu Rostam aruhusiwe kusema, lakini iwe under oath ndio njia pekeee itakayotuhakikishia kuwa anaongea ukweli, na akimalaza kuongea ndani ya bunge kuwe na kipindi cha maswali kwake kutoka kwa wabunge, msilichezee hilo bunge hapo sio mahali pa mchezo ni mahali pa kutunga sheria za jamhuri, na one does not need to be a priest kujua kuwa kuwa Mungu anaheshimu sana haki na sheria na hasa zinapotengenezwa.

Ahsante Wakuu.


Ahsante,
Mpaka ukweli upatikane!! RA anataka kujaribu kujibu mapigo ya ripoti ya Richmond. Anataka kuugawa huo msalaba na viongozi wa juu CCM, anataka kuzama na mafisadi wenzake..

Let it be known " ONLY THE TRUTH WILL SET THEM FREE"
 
Tulisema hapa na tunasema tena Pinda na Spika mmepigwa bao la mwaka na Rostam.

Jamani tutoe pongezi mtu anapofanya jambo kwa kutumia akili ya hali ya juu. Rostam PR yake ni kiboko na kwa kweli ametuweza wote kwa sababu sasa na yeye atakuwa kwenye group la watu wanaoonewa na chama kwa kufungiwa kuongea kama Zitto.

Pinda umeangalia vizuri hao wajumbe wa kamati ya Uongozi ambao ni CC mbrs kwa nini walingangania Rostam afungiwe ili asitoe hao majibu?? Umeshindwa kuona kuwa hao watu ni wapapmbe wa Rostam na hence hiyo idea lazima ilioriginate kutoka kwa Rostam mwenyewe??

Yaani hapa nampa Rostam 5, na Bunge 0
 
Jamani mwacheni "Rais" wa kivuli apete bila kutoa ushahidi! Mnataka azungumze kuhusu Richmond ili aue chama kutoa siri zote mpak zile fedha za "HEPA" (sic)?

Kina Mwakyembe wao walikuwa hawajui kuwa "Rais" wa kweli ndiye Gulamali Dewji wa CCM wakataka wamchojoe nguo hadharani?

Mkuu Mchungaji.......kama ni ku-HIT the TARGET hapo ndio haswaa ume-hit............mi naendelea kupata popcorn (hali ya hewa huko nje sio fresh)........na game inachanganya ile mbaya......Yaani Tajir/Sponsor/Brain master.......... alikuwa anataka kusema liwalo na liwe na kutaka kumwaga radhi......!!
 
Samahani jamani maana inawezekana nikawa nauliza kitu cha kijinga, kwani Tanzania bado tunatawaliwa na chama kimoja maana haiwezekani kitu kilichoombwa na bunge la jamhuri ya muungano yenye vyama vingi kijadiliwe na kamati ya CCM kwanza ndo kiletwe kwenye bungeni sijui hii imekaa vipi?
ina maana spika hakujua kuwa kuna ibara inayozuia kilichoongelewa na kutolewa uhamuzi akiwezi kuongelewa tena wakati anamwagiza RA kutoa maelezo binafsi?
Hayo maelezo yana kitu gani cha hajabu mpaka yasitolewe?
Je haki ya RA ya kujitetea amepewa nani, kwanini spika ameizima kwa kanuni za hajabu?
Nafikiri ni wakati wa kuomba ukweli inawezekana tukamlaumu RA na EL wakati na wengine kama muungwana wanausika please.......
 
mmhhhh..... miye sina la kusema.. nilisema wiki nzima iliyopita na kuwaambia exactly kilichomo kikaitwa udaku.... mna bahati lakini mmeilalia mlango wazi!
 
Unajua hizi kele za RA na wanaCCM wenzake kuhus PR yao hainisumbui sana.............kinachonisumbua mimi ni hizi kauli za Pinda kuwa eti hawezi kutimiza baadhi ya mapendekezo ya tume ya Mwakyembe kwa kuwa haitasaidia kuondoa rushwa (Hosea) au mikataba (Mwanyika) mibovu!!!.........hii ndio ninayogombana nayo mimi
...yaani hapa Pinda...kapindisha na kufunika kombe.......tumeliwa and no hope!!
 
Back
Top Bottom