Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,540
Why not a single person with evidence and balls to go up against Rostam ? Why, Rev. Kishoka ?
He owns the government!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why not a single person with evidence and balls to go up against Rostam ? Why, Rev. Kishoka ?
He owns the government!
The Executive Branch.
Try the Judiciary.
The Executive Branch.
Try the Judiciary.
Dear Sir,
.....eeerr, eerr, from what i've heard and from what i've read, he owns that too!! 🙁
Hii inaitwa kumkoma nyani..:
Kumpeleka mahakamani sio kazi yetu, mwenye kazi hiyo yupo kama hataki shauri yake, kazi yetu ni kusema na tumeshasema. Sasa kama wewe huamini hivyo toa counter argument, otherwise nyamaza!
Watu wengine wapo kutafuta makosa kwenye statement za watu basi, hakuna hoja! Sisi tunaamini huyu bwana RA ni mhimili wa shetani. Kumpeleka mahakamani sio kazi yetu, mwenye kazi hiyo yupo kama hataki shauri yake, kazi yetu ni kusema na tumeshasema. Sasa kama wewe huamini hivyo toa counter argument, otherwise nyamaza!
Mwanakijiji, ukiamua kuwa dogged critic hakikisha mtu kakosea kabla ya kukurupuka. Kuwa na kende inamaanisha kuwa na ujasiri. Kutumia haya maneno yaliyotokana na mfumo dume sio ridiculous, au ego. Na unafahamu vyema.
Hata vyombo vya habari vya kuheshimika wanatumia maneno hayo, kama vile leo KLH News ilivyoeleza mshangao na masikitiko yao kwa jinsi Baraza la Wawakilishi Zanzibar "wanavyomdindia Rais, wanashindana na Rais na Bara na Waziri Mkuu."
Baraza la Wawakilishi lina wanawake, ambao hawana uwezo wala kiungo cha kufanyia kilichosemwa, lakini twajua KLH News walichomaanisha katika matumizi hayo ya lugha, na sio kwamba wamekuwa ridiculous au wana ego. Na kama tutaitwa ridiculous, wenye ego na wenye mfumo dume, mimi najisikia utashi na furaha kuwekwa kundi moja na waandishi wa KLH News maana ninawaamini.
Mwanakijiji, ukiamua kuwa dogged critic, hakikisha kwanza mtu kakosea kabla ya kukurupuka. Kuwa na kende inamaanisha kuwa na ujasiri. Kutumia haya maneno yaliyotokana na mfumo dume sio ridiculous, au ego. Na unafahamu vyema.
Hata vyombo vya habari vya kuheshimika wanatumia maneno hayo, kama vile leo KLH News lilivyoeleza mshangao na masikitiko yao kwa jinsi Baraza la Wawakilishi Zanzibar "wanavyomdindia Rais, wanashindana na Rais na Bara na Waziri Mkuu."
Baraza la Wawakilishi lina wanawake, ambao hawana uwezo wala kiungo cha kufanyia kilichosemwa, lakini twajua KLH News walichomaanisha katika matumizi hayo ya lugha, na sio kwamba wamekuwa ridiculous au wana ego. Na kama tutaitwa ridiculous, wenye ego na wenye mfumo dume, mimi najisikia utashi na furaha kuwekwa kundi moja na waandishi na KLH News maana ninawaamini.
Kuhani, (hapa sitosema sir au madam maana nitajikamatisha kwenye mitego yako iliyo makini ya political correctness - lol )
"You are one rambunctious kid" - again i'm joking! 🙂
Ninachotaka kusema hapa Kuhani ni kwamba, una umakini mwingi ndugu wewe. Tena umakini ulio muhimu katika jamii yoyote, na kuwepo kwako hapa jamvini ni baraka za aina yake.
Ila umakini huu umeanza kuwa kama game sasa, tumegeuka na kuwa ma- tom and jerry. Maana na mimi (naamini na wengine pia) najikuta naanza kujitumbukiza kwenye hii "nitipicking." Kama mchezo, tutaanza kukabana kutafuta mpira. Tutakabana weee na mwishowe tutaanza kuchezeana rafu. As long as tunaendelea kuwepo hapa jamvini, mchezo huu hautaisha. Na kama kukabana kwenyewe ndiko kuko kinamna hii, kipenga cha refarii kitaanza kulia constantly, uncontrollably.
Tatizo refarii tulionawo wote wanatumia pumzi. Sidhani kama wataweza kupuliza kipenga bila rhythm na mahitaji ya kupumua. Ninachotaka kusema hapa ndugu yangu ni kwamba, tuji-regulate siye wenyewe na huu ukosoaji usio wa kihoja unaozidi kujitokeza na kuzaliana kila kukichwa. Tupunguze ndugu zangu. Let's moderate ourselves, na hili ndiyo ombi langu hapa.
------------- **-------------**----------------
Kunrandhi; kuna ukosoaji wa mwisho mwisho naomba niufanye kuhusiana na hapo juu katika hayo niliyo highlight na kulingana na uelewa wangu.
Kuhani, naamini kuwa "kuwa na kende" inamaanisha kuwa na ujasiri katika lugha ya Kiingereza. Ni usemi katika lugha hiyo kama tu nasi tulivyo na misemo yetu ku-reflect mazingira yetu. Yao ina apply katika mazingira yao pia. Hapa sikatai kuwa kuna baadhi ya misemo inayo transcend jamii tofauti. Kwa hiyo basi tafsiri ya moja kwa moja ya "if you have/n't got balls" kwenda katika lugha ya Kiswahili, na kusema kama "una/hauna kende" yawezekana kabisa kuwa sisahihi.
Niaminicho mpaka sasa hivi ni kwamba, tafsiri hiyo katika mazingira yetu ni "kama una/hauna kifua". Tafsiri nyinginezo ni "ngebe." Naamini kuna mingineyo mingi inayowasilisha "to have or not to have balls" katika Kiswahili, lakini si "kende."
"Wanavyomdindia" au "wanavyomdindishia" naamini yanatumika katika Kiswahili kumaanisha hicho Mkjj alicho maanisha. Maana ni maneno yaliyovumbulika ndani ya mazingira ya jamii inayotumia Kiswahili, na si translation ya moja kwa moja kutoka Kiingereza. Utakubaliana nami kuwa ukiyatafsiri moja kwa moja hayo na kuyaweka katika Kiingereza kisha kuyatumia, unaweza kuambiwa na wale unaowarushia ujumbe kuwa, you are too vulgar!
Naomba kuishia hapa. Akhsante!
SteveD.
Kuhani, (hapa sitosema sir au madam maana nitajikamatisha kwenye mitego yako iliyo makini ya political correctness - lol )
"You are one rambunctious kid" - again i'm joking! 🙂
Ninachotaka kusema hapa Kuhani ni kwamba, una umakini mwingi ndugu wewe. Tena umakini ulio muhimu katika jamii yoyote, na kuwepo kwako hapa jamvini ni baraka za aina yake.
Ila umakini huu umeanza kuwa kama game sasa, tumegeuka na kuwa ma- tom and jerry. Maana na mimi (naamini na wengine pia) najikuta naanza kujitumbukiza kwenye hii "nitipicking." Kama mchezo, tutaanza kukabana kutafuta mpira. Tutakabana weee na mwishowe tutaanza kuchezeana rafu. As long as tunaendelea kuwepo hapa jamvini, mchezo huu hautaisha. Na kama kukabana kwenyewe ndiko kuko kinamna hii, kipenga cha refarii kitaanza kulia constantly, uncontrollably.
... Ninachotaka kusema hapa ndugu yangu ni kwamba, tuji-regulate siye wenyewe na huu ukosoaji usio wa kihoja unaozidi kujitokeza na kuzaliana kila kukichwa. Tupunguze ndugu zangu. Let's moderate ourselves, na hili ndiyo ombi langu hapa.
------------- **-------------**----------------
Kunrandhi; kuna ukosoaji wa mwisho mwisho naomba niufanye kuhusiana na hapo juu katika hayo niliyo highlight na kulingana na uelewa wangu.
Kuhani, naamini kuwa "kuwa na kende" inamaanisha... Kwa hiyo basi tafsiri ya moja kwa moja ya "if you have/n't got balls" kwenda katika lugha ya Kiswahili, na kusema kama "una/hauna kende" yawezekana kabisa kuwa sisahihi.
Niaminicho mpaka sasa hivi ni kwamba, tafsiri hiyo katika mazingira yetu ni "kama una/hauna kifua". Tafsiri nyinginezo ni "ngebe." Naamini kuna mingineyo mingi inayowasilisha "to have or not to have balls" katika Kiswahili, lakini si "kende."
"Wanavyomdindia" au "wanavyomdindishia[/COLOR]" naamini yanatumika katika Kiswahili kumaanisha hicho Mkjj alicho maanisha. Maana ni maneno yaliyovumbulika ndani ya mazingira ya jamii inayotumia Kiswahili, na si translation ya moja kwa moja kutoka Kiingereza. Utakubaliana nami kuwa ukiyatafsiri moja kwa moja hayo na kuyaweka katika Kiingereza kisha kuyatumia, unaweza kuambiwa na wale unaowarushia ujumbe kuwa, you are too vulgar!
Kwanza naomba nieleweke na ma mods hapa, situkani. Pili, wanawake hawana kiungo hicho lakini wana version yao ambayo hudinda pia. Umewahi kuichezea clitoris wewe? Kama hujawahi jaribu siku moja uone jinsi inavyokuwaga ngumu. Acha wewe....kwa hiyo hata wanawake hudindisha, therefore huo uwezo wanao.
Mbona hakuna mwenye ushahidi, au kende, za kumpeleka mahakamani ?
Counter argument inatolewa kwenye argument. Hicho ulichokisema hapo juu sio argument, ni mahoka!
Again, mwenye vithibitisho, au mwenye kende, ampeleke Rostam mahakamani.
Hii ya ushahidi na Rostam kama ni valid argument, basi it is about time tukafunga JF, kwa sababu kama tuna hard ushahidi wa all the topics tulizonano humu JF then why waste time hapa, kama that is the point ya sisi kuwepo hapa JF? Maana huwezi kudai ushahidi kwenye one topic lakini zingine ukachangia kama vile ushahdi upo, that is pathetic thinking!
Again, mwenye vithibitisho, au mwenye kende, ampeleke Rostam mahakamani.