Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

Rostam Aziz of New Habari Corporation: The facts

We ulidhani Rostam ni smart? Sisi ndio wajinga na ndio maana yeye anaonekana kama smart, kumbe hakuna kitu. Akitokea mtu kumshughulikia seriously, kesi yake haitachukua muda mrefu kama ya huyu jamaa aliyempiga kofi Mwinyi
 
Sasa kama hawa jamaa hawajulikani na hawataki kujitaja nani alifungua kesi? Na kama uuzaji wa mitambi hiyo umezuiliwa na mahakam hili dili jipya na Tanesco lilianzia wapi? Na kama Tanesco ndio wabaya wao, waliwezaje kufanya majadiliano ya kuuziana mitambo (ambayo imezuiziwa na mahakama)? Jamaaa wanajikanganya na ndio maana watakuwa wanafanya kila kitu usiku au ndani ya selo!
 
Sasa kama hawa jamaa hawajulikani na hawataki kujitaja nani alifungua kesi? Na kama uuzaji wa mitambi hiyo umezuiliwa na mahakam hili dili jipya na Tanesco lilianzia wapi? Na kama Tanesco ndio wabaya wao, waliwezaje kufanya majadiliano ya kuuziana mitambo (ambayo imezuiziwa na mahakama)? Jamaaa wanajikanganya na ndio maana watakuwa wanafanya kila kitu usiku au ndani ya selo!

Yaani it is just bull shyiit!!!!! Anyways naanza kuamini kwamba it is the beginning of the end!!!
 
Siku zoote nimekuwa nikiamini RA is one of the smartest crooks we have in TZ lakini inaonekana si kiiivyo!!!!!!! With this one, jamaa ameplay so low!

Well mitambo ya dowans inauzwa na hii inaonekana imewekwa jana kwenye alibaba.com maana watu tumekuwa tukiitafuta details za DTL siku nyingi kwa kugugo na only this morning tunaiona hii ikiambatana na press release (Soma mwananchi hapo chini) iliyotolewa jana hiyo hiyo na Dowans. Soma mwenyewe uangalie hizo details za muuzaji halafu tell me kwamba je ni kweli hapa kuna uuzaji au changa la macho.


Mauzo (Bofya hapa mbele): On sale - Dowans Tanzania Ltd - Energy,

How do u sell stuff that is worth $100m (as quoted from Dowans)

1. Huna Address?

2. Mtu wa kumpigia anasema call me?

3. Simu yenyewe imekaa kimazabe mazabe au kimagumashi?

4. Company details hamna?

5. Hamna picha


KWA KIFUPI HUYU JAMAA SASA ANATAPATAPA. ETI HUU NI USHAHIDI KWAMBA WALIKUWA WANAUZA SI KWA TANESCO TU. But why ianze kuonekana kuanzia leo asubuhi????????


Dowans yaibuka na kitendawili
Mwananchi Tanzania News Paper

hii ni kiboko...kweli sisi ni wadanganyika, Yaani hatuko serious kabisa kampuni haina hata Landline na Fax number.

Contact Information
Contact Person:
Mr. Guy Picard
Offline
Upload your photo to attract more business!


Company Name: Dowans Tanzania Ltd
Street Address: Morogoro Road
City: Dar Es Salaam
Province/State: n / a
Country/Region: Tanzania
Zip: n/a
Telephone: 255-756-606042
Fax: 255
 
Hivi mbona mambo ya Dowans ni mkanganyiko mtupu? mara andaiwa na mabenki mara nauza mitambo ambayo imewekwa rehani kwa kukpopa kwenye mabeki. Nafikiri huu utapeli ni mkubwa kuliko ambao nchi imewahi kushuhudia. serikali iachaqne na Dowans ukweli utajulikana
 
Sirikali ikitaka tuamini imefanya biashara na kushitakiwa na isiyemfahamu ni uhuni. Taratibu za kusajili kampuni, kutoa zabuni nk kama zaruhusu mkataba na wasiyemfahamu ni kituko. Kama sirikali imeridhia mmiliki anabaki siri kwa wadanganyika ni ushahidi kuwa sirikali wamo ndani ya DAWNS.
Mitambo hii yasemekana imewekwa rehani kwenye beni fulana na hairuhusiwi kuuzwa bila idhini yao. Imebadilikaje?
Sasa TANESCO wajibu tuhuma hizi wakiwataja wazi wamiliki hawa na uwongo wao.
Mkjj yaelekea kweli mwali atoka huyu. Tudokeze basi mlichoongea na mmiliki. taarifa hii yatosha kumuweka wazi mmilikimpaka kuitsiamini
 
Mambo ya Tanzania mimi yamenishinda! Labda sasa wacha nichukue tu gamba la malkia nijue sina kwetu.

Kichwa kinauma kila siku mpaka hata panadol haitibu tena.

Hivi nchi yote imejaa vichaa tupu? Rostam akipata kilevi naona anatucheka kweli kweli. Jamaa hana usmart wowote, ni ujinga wetu ndio unamfanya aonekane mjanja.

Mwanakijiji endelea na mapambano!
 
Hii ni kwasababu nchi haina kiongozi serious ingekuwa wakati wa Mwalimu , kwanza angeishataifisha hiyo mitambo na R/A na EL wake wagekuwa mahabasu period. watu ni vilaza ukiacha huo utaalamu wa wizi ,alafu wanataka kudistabilize nchi nafikiri ushauri wa Mzee Ndesamburo wa kuwanyonga adharani kama China ufanyie kazi na nchi ipate kuendelea na mambo mengine.
 
Hii ni kwasababu nchi haina kiongozi serious ingekuwa wakati wa Mwalimu , kwanza angeishataifisha hiyo mitambo na R/A na EL wake wagekuwa mahabasu period. watu ni vilaza ukiacha huo utaalamu wa wizi ,alafu wanataka kudistabilize nchi nafikiri ushauri wa Mzee Ndesamburo wa kuwanyonga adharani kama China ufanyie kazi na nchi ipate kuendelea na mambo mengine.

Hii italeta nidhamu katika madaraka.
 
sisi ndio wajinga na sio RA ni smart

Ni kweli mkuu,

Mimi siamini kama kuna presidaa mwingine ndani Tz zaidi ya RA...huo ndo ukweli..Makamu wa Rais, EL na waziri mkuu ni bw. Karamagi, hawa wenzangu na mimi ni proxies tu, hamna kitu..
 
Anasahau kuwa watu wanashinda kwenye net wakitafuta infor. Hii ni kutaka kujiosha kwa watanzania wengi ambao hawana habari kwa kuwakoa CCM, maana mambo yamewakalia kooni
 
Kuna kesi mahakamani Paris na Tanzania, Dowans Vs Tanesco na Tanesco VS Dowans.
Kuna Bank Lien Overseas na TZ against mitambo ya Dowans.


Lakini bado Dr. Idris anataka kufanya business na Dowans.

Ok, mchezo wenyewe ulikuwa uwe ifuatavyo:::

Dowans walikuwa wauze mitambo kwa ~~ $70million to Tanesco.
Tanesco wawe liable na madeni ya Dowans kwa banks sababu walivunja mkataba wa Dowans na kutowalipa capacity charges.


Paris court wangepewa ushahidi kuwa Tanesco walivunja mkataba wakati wanahitaji umeme wa dowans na kuprove ingeletwa hiyo sales agreement.

Lawyers wanaotetea Tanesco Paris wanaweka vigezo kuwa Dowans ni kampuni ya utapeli, lakini kwa Tanesco kununua mitambo ya Dowans, kungevunja hiyo hoja na hizo capacity charges na bank loans totalling ~~~ $170million zingelipwa na Tanesco on top of hizo $70million za kununua mitambo.

Deal zima limebumburuka, na issue sio kuuza mitambo sababu wakiuza mitambo loss iko palepale, issue ni hizo capacity charges za 2 yrs ~~ $170million walizotaka kutumaliza nazo.

Zitto welcome to the real world.
 
Back
Top Bottom