Siku zoote nimekuwa nikiamini RA is one of the smartest crooks we have in TZ lakini inaonekana si kiiivyo!!!!!!! With this one, jamaa ameplay so low!
Well mitambo ya dowans inauzwa na hii inaonekana imewekwa jana kwenye alibaba.com maana watu tumekuwa tukiitafuta details za DTL siku nyingi kwa kugugo na only this morning tunaiona hii ikiambatana na press release (Soma mwananchi hapo chini) iliyotolewa jana hiyo hiyo na Dowans. Soma mwenyewe uangalie hizo details za muuzaji halafu tell me kwamba je ni kweli hapa kuna uuzaji au changa la macho.
Mauzo (Bofya hapa mbele):
On sale - Dowans Tanzania Ltd - Energy,
How do u sell stuff that is worth $100m (as quoted from Dowans)
1. Huna Address?
2. Mtu wa kumpigia anasema call me?
3. Simu yenyewe imekaa kimazabe mazabe au kimagumashi?
4. Company details hamna?
5. Hamna picha
KWA KIFUPI HUYU JAMAA SASA ANATAPATAPA. ETI HUU NI USHAHIDI KWAMBA WALIKUWA WANAUZA SI KWA TANESCO TU. But why ianze kuonekana kuanzia leo asubuhi????????
Dowans yaibuka na kitendawili
Mwananchi Tanzania News Paper