Rostam Aziz, Watanzania tukueleweje? Unawauzia Wakenya Gesi yako Bei Chee na kwa Watanzania unatuuzia Bei Juu?

Rostam Aziz, Watanzania tukueleweje? Unawauzia Wakenya Gesi yako Bei Chee na kwa Watanzania unatuuzia Bei Juu?

"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.

Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One

Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.

Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.

Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Mkuu tatizo inaweza kua sio yeye Ila ni utitiri wa Kodi wa Tanzania
 
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.

Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One

Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.

Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.

Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Mimi najua sera za nchi ndizo zinaamua bei ya kila kila kitu. Yaani hata wewe mwenyewe tu hujiulizi kwanini huku tz bei ni kubwa?,hayo mengine ni kumpaka tu matope muhindi wa watu.
 
"Kuanzia Mwezi wa Tano nategemea Kutangaza Kuuzwa kwa Gesi zote nchini Kenya kwa Tsh 500/ ya Kenya ( kama Tsh 9,500/ hadi Tsh 10,000/ tu za Tanzania ) kwani tayari Rafiki yetu kutoka Tanzania Rostam ameshakuja Kuwekeza hapa Kwetu hivyo nataka Wakenya wafurahie Maisha na wapate Gesi kwa gharama ndogo" amesema Rais William Ruto wa Kenya Juzi.

Chanzo Taarifa: Nipashe Radio One

Tunajitahidi mno Kumsahau Jemedari na Mtetezi wa Watanzania Hayati Rais Dkt. Magufuli ila tunashindwa kutokana na Kutuumiza hivi Watanzania wakati huko nje mnawafanyie Wema na Kuwaonea Huruma.

Laleni salama huko mliko Viongozi wangu Wapendwa na mlioifanyia Mema Tanzania yetu hii Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, Hayati Benjamin Mkapa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli.

GENTAMYCINE huwa siishii tu Kuwakumbukeni huku nikiionea Huruma Tanzania yangu na inakokwenda bali huwa Nalia mno nikiona Watanzania tunafanywa Wapumbavu ( Mapopoma ) na Watanzania wachache waliojipa Hatimiliki yote ya Mama Tanzania na Familia zao.

Endeleeni tu ila haya yote yana mwisho.
Rustam ni mfanya biashara anafuta wapi atatapata unafuu wa mali ghafi na ana import gas toka ghuba ambayo anaipata kwa bei rahisi sio kweli anatoa gas toka Tz, na ndio maana anaiuza kenya wa bei rafiki kwa sababu kenya hawana msururu wa gharama za uingizaji toka nje ya nchi
 
Kenya gesi ina "subsidy" yaani Ruzuku na kodi kiduchu kama ilivyo kwenye Unga wa Mahindi. Na pia serikali ya Kenya inachukulia gesi kama mahitaji muhimu ya binadamu na sisi bongolala tunachukulia gesi kama anasa na kielelezo cha utajiri. Ndio maana Bongolala mtungi wa gesi wa kilo 50 unauzwa karibia $ 25 emagine.
Tutanunua gei bei ghali mpaka tutakapokuja kuwa na viongozi wenye akili bongo hii. Ndio màana Aziz anachepusha mtaji anawekeza LPG plant Kenya ya $200M.
 
Acha undezi, kwani Rostam anatoa Msaada?

Kwanza gas yake anaagiza Uarabuni Wala sio Tanzania. Pili Kenya Wana kodi ndogo kwenye gas kuliko Tanzania ndio inaamua bei.

Na mwisho ndio kwanza Ruto amesema mtungi mdogo kuanzia Juni utauzwa elfu 5 Serikali yake itaweka Ruzuku.

Laumu serikali Ya CCM wenzio sio Rostam.
Kwani ungekuwa umetoa huu ufafanuzi bila kumuita ndezi ungepungukiwa nini hasa?
 
Watu wanamtegemea Mungu ila wengine wanamtegemea Magufuli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndiyo maana kila kitu angekuwepo Magufuli.[emoji42][emoji42][emoji42] Mbona ujajiuliza kuhusu bei ya gesi ya taifa na mihan wanauza bei juu?
Kiukweli hii kauli huwa inanikera sanaa... Yaani kila kitu utasikia angekuwepo mwendazake, yaani as if watu milioni 61 hakuna hata mmoja mwenye akili ni huyo tuu daaah...
 
Daah...! Umeongea vyote lakini kwa ufupi sana. Hongera. Hii CCM ndio inayofanya maisha ya Watanzania yawe magumu sana.
Fikiria kuna mheshimiwa bungeni anakuambia kodi ya kontena moja kwa Zanzibar inakuwa milioni 35 na Kenya 35. Lakini kwa kontena hilo hili kwa Tanzania TRA wanalitoza milioni mia 3
Nami nilimsikia huyo, ni kontena la vitenge.
 
Tunaenda Kwa stage we mbuzi ,ndio maana saizi Kuna mfuko wa Nishati safi umeundwa Ili kuleta mageuzi kwenye sekta hiyo na dira imewekwa by 2032 hakuna mkaa Wala Kuni shenzi wewe hujui kitu.
Hizi story alianza nazo Prof Muhongo ni porojo tuuu ili siku zisonge...
 
Hata malipo ya AZAM tv kwa mwezi kwa nchi nyingine ni rahisi kuliko Tanzania hiki ndio kichwa cha mwenda wazimu siwalaumu huku Tanzania kila mtu anaweka percent yake .
Aiseeee [emoji15] [emoji15]
 
Mfumo mzina wa kodi Tanzania siyo rafiki kwa mlaji (raia).

Wataalam wa uchumi tulionao wote ni bogus.
 
Back
Top Bottom