Rostam Aziz yumo kwenye ziara ya Rais Marekani, nawapa taarifa tu wale mliomwona kwa mara ya mwisho ziara ya Mwendazake Morogoro.

Rostam Aziz yumo kwenye ziara ya Rais Marekani, nawapa taarifa tu wale mliomwona kwa mara ya mwisho ziara ya Mwendazake Morogoro.

DT125

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
437
Reaction score
637
Nimekutana na heading kwenye gazeti la The Citizen akiitaka AfDB kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya kilimo hususani kilimo cha umwagiliaji. Mwamba huyu yupo.Ni hayo tu.
 
Nimekutana na heading kwenye gazeti la The Citizen akiitaka AfDB kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya kilimo hususani kilimo cha umwagiliaji. Mwamba huyu yupo.Ni hayo tu.
Ndugu DDT125,ujumbe wako hapa ni upi hasa,ujue wengine sisi vilaza,hivyo ujitahidi kunyoosha maelezo ujue
 
Mie mara ya mwisho nilimwona kwenye msiba Chato. Kuna anaebisha kwani?
 
[emoji817][emoji3581] hili mbona halina ubishi ukitaka usitawale nji hii wakukatae hao jamaa
Hamna kitu, hao jamaa mnawakuza lakini naamini hawahusiki na chochote kwenye kumuweka mtawala, TISS, tume ya uchaguzi na polisi ndio wahusika wakuu.

Huwezi kuniambia mtu kama Magufuli aliwekwa na huyo Rostam, hao ni wajanja tu wanaotumia nafasi zao kujenga mahusiano na watawala ili wajitengenezee ulaji kwenye biashara zao, ndio maana hata wakati wa Magufuli bado Rostam alikuwa karibu naye.
 
Ni ROSTAM AZIZ SIO RASTAM.
Rekebisha hapo kwanza tuendelee na mjadala
 
Huyo ndiye mtu gani? Ni nani..sijawahi kumsikia. Nisije kuwa nimepitwa.
Tanzania matajiri ni wahindi

Sasa wewe hata kiwanda huna Tanzania nani anakujua

Hao wahindi wana apartment Canada na Marekani na wana passport za kihuni mbili mbili kwa siri

Wanaitwa watanzania lakini kikinuka wana passport za Canada na Marekani wanakimbia

Huyu ni moja ya matajiri wanaomiliki billions of dollars na sio shilingi
 
Kwamba Morogoro kwenye yale maboga, ndo alikuwa anasimamia lile zoezi pendwa na likafanikiwa
 
Hamna kitu, hao jamaa mnawakuza lakini naamini hawahusiki na chochote kwenye kumuweka mtawala, TISS, tume ya uchaguzi na polisi ndio wahusika wakuu.

Huwezi kuniambia mtu kama Magufulj aliwekwa na huyo Rostam, hao ni wajanja tu wanaotumia nafasi zao kujenga mahusiano na watawala ili wajitengenezee ulaji kwenye biashara zao, ndio maana hata wakati wa Magufuli bado Rostam alikuwa karibu naye.
2015 Magufuli ni zali tu lilimwangukia, aliandaliwa Edo lakini kwa sababu zisizoweza kuzuilika ilibidi mkasi upite na mbadala ilikuwa Membe. Kwa kumkomoa mkata mkasi kura alipigiwa Magufuli.
 
Back
Top Bottom