Rostam Aziz yumo kwenye ziara ya Rais Marekani, nawapa taarifa tu wale mliomwona kwa mara ya mwisho ziara ya Mwendazake Morogoro.

Rostam Aziz yumo kwenye ziara ya Rais Marekani, nawapa taarifa tu wale mliomwona kwa mara ya mwisho ziara ya Mwendazake Morogoro.

CCM imerudi kwa matajiri rasimi, walala hoi watakumbukwa kipindi cha uchaguzi kwa kutupiwa mashati ya kijani na kuhongwa pakiti za chumvi.
 
Hamna kitu, hao jamaa mnawakuza lakini naamini hawahusiki na chochote kwenye kumuweka mtawala, TISS, tume ya uchaguzi na polisi ndio wahusika wakuu.

Huwezi kuniambia mtu kama Magufuli aliwekwa na huyo Rostam, hao ni wajanja tu wanaotumia nafasi zao kujenga mahusiano na watawala ili wajitengenezee ulaji kwenye biashara zao, ndio maana hata wakati wa Magufuli bado Rostam alikuwa karibu naye.
Maguguli aliamua kuwa karibu na Rostam sababu ya Membe. Over
 
Back
Top Bottom