Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Janja janja tu.Hamna kitu, hao jamaa mnawakuza lakini naamini hawahusiki na chochote kwenye kumuweka mtawala, TISS, tume ya uchaguzi na polisi ndio wahusika wakuu.
Huwezi kuniambia mtu kama Magufulj aliwekwa na huyo Rostam, hao ni wajanja tu wanaotumia nafasi zao kujenga mahusiano na watawala ili wajitengenezee ulaji kwenye biashara zao, ndio maana hata wakati wa Magufuli bado Rostam alikuwa karibu naye.
Hamna lolote.