Janja janja tu.Hamna kitu, hao jamaa mnawakuza lakini naamini hawahusiki na chochote kwenye kumuweka mtawala, TISS, tume ya uchaguzi na polisi ndio wahusika wakuu.
Huwezi kuniambia mtu kama Magufulj aliwekwa na huyo Rostam, hao ni wajanja tu wanaotumia nafasi zao kujenga mahusiano na watawala ili wajitengenezee ulaji kwenye biashara zao, ndio maana hata wakati wa Magufuli bado Rostam alikuwa karibu naye.
Huyo Rostam siyo muhindi acha kukariri, ni mu Iran na kampuni yake kaipa jina la kwao Caspian.Tanzania matajiri ni wahindi
Sasa wewe hata kiwanda huna Tanzania nani anakujua
Hao wahindi wana apartment Canada na Marekani na wana passport za kihuni mbili mbili kwa siri
Wanaitwa watanzania lakini kikinuka wana passport za Canada na Marekani wanakimbia
Huyu ni moja ya matajiri wanaomiliki billions of dollars na sio shilingi
Umesema ukweli. Rostam kidogooooo wakati wa Kikwete mwanzoni alikuwa na ushawishi kwa sababu ya fedha alizotoa kuwezesha Kikwete kuingia madarakani. Baada ya lile sakata la ''magamba matatu'' nguvu zake ziliisha na sasa amebaki mtu anayejipenyeza kwa watawala ili apige madili. Ila kipindi hiki cha Samia atapiga sana kwa sababu Samia ni mtu wa kuachia mambo yajiendee yenyewe. Kuna player mwingine tena ameingia kwa kasi sana sasa hivi, huyu jamaa wa Home shopping Center. Mohamed Dewji naye yupo kwa usiri sana japo Magufuli alimuonyesha cha moto kwa kutaka kufadhili ile operation ya kumuondoa kuwa mgombea wa CCM.Hamna kitu, hao jamaa mnawakuza lakini naamini hawahusiki na chochote kwenye kumuweka mtawala, TISS, tume ya uchaguzi na polisi ndio wahusika wakuu.
Huwezi kuniambia mtu kama Magufulj aliwekwa na huyo Rostam, hao ni wajanja tu wanaotumia nafasi zao kujenga mahusiano na watawala ili wajitengenezee ulaji kwenye biashara zao, ndio maana hata wakati wa Magufuli bado Rostam alikuwa karibu naye.
Bingwa kashfa za ufisadi Tanganyika.Rostam Aziz Mbunge mstaafu wa Igunga na Mweka hazina mstaafu wa chama cha mapinduzi ccm
Huyo ni King Maker mwenyewe.Huyo ndiye mtu gani? Ni nani..sijawahi kumsikia. Nisije kuwa nimepitwa.
Acha wivuNimekutana na heading kwenye gazeti la The Citizen akiitaka AfDB kuisaidia Tanzania kwenye sekta ya kilimo hususani kilimo cha umwagiliaji. Mwamba huyu yupo.Ni hayo tu.
Riatam.Huyo ndiye mtu gani? Ni nani..sijawahi kumsikia. Nisije kuwa nimepitwa.
Upo uwezekano hata Ka Nzi unamjuaTanzania matajiri ni wahindi
Sasa wewe hata kiwanda huna Tanzania nani anakujua
Hao wahindi wana apartment Canada na Marekani na wana passport za kihuni mbili mbili kwa siri
Wanaitwa watanzania lakini kikinuka wana passport za Canada na Marekani wanakimbia
Huyu ni moja ya matajiri wanaomiliki billions of dollars na sio shilingi
Teh teh teh teh 😂😂😂 ...haaa..😂😂😂...nakumbuka enzi za awamu ya 4 na mada kuhusu 'king maker' nilikuwa napenda Sana kusoma michango yako (ulikuwa mkosoaji mkubwa sana wa ile awamu ).Huyo ndiye mtu gani? Ni nani..sijawahi kumsikia. Nisije kuwa nimepitwa.
Mtanzania mwenye asili ya Iran au mu Iran?Huyo Rostam siyo muhindi acha kukariri, ni mu Iran na kampuni yake kaipa jina la kwao Caspian.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Huyu mwamba amejua sana kucheza na siasa za hii nchi, halafu hajawahi kufilisika kiushawishi.The King Maker
..Sasa wale 'wazulu' walikodishwa au ?Mohamed Dewji naye yupo kwa usiri sana japo Magufuli alimuonyesha cha moto kwa kutaka kufadhili ile operation ya kumuondoa kuwa mgombea wa CCM.
Wacha wee! Utakuwa na mengi sana ya kuandika safari hiiHuyo ndiye mtu gani? Ni nani..sijawahi kumsikia. Nisije kuwa nimepitwa.
Uwongo mtupu, story ya vijiweni hii. Magufuli ndiye aliye andaliwa kushika kijiti 20152015 Magufuli ni zali tu lilimwangukia, aliandaliwa Edo lakini kwa sababu zisizoweza kuzuilika ilibidi mkasi upite na mbadala ilikuwa Membe. Kwa kumkomoa mkata mkasi kura alipigiwa Magufuli.
RA the king maker... vipi hangover ya msiba imeisha?Huyo ndiye mtu gani? Ni nani..sijawahi kumsikia. Nisije kuwa nimepitwa.
Hahahaaaaa...Rostam..Huyo ndiye mtu gani? Ni nani..sijawahi kumsikia. Nisije kuwa nimepitwa.