Rostam Azizi ahoji wawekezaji uchwara

Rostam Azizi ahoji wawekezaji uchwara

Rostam amezungumza ukweli 100%.
Ni muhimu kulinda wazawa dhidi ya wawekezaji uchwara.
Ni upumbavu serikali kuruhusu wachina kuweka vimashine vya kamari vijijini hata mijini.
Kuna biashara ambazo wageni hawatakiwi kufanya kabisa.
Mgeni awekeze kwenye kitu ambacho mzawa hawezi kufanya.
Hakuna nchi ambayo iliwahi kujengwa na wageni (kiuchumi, kutamaduni na kisiasa).
Siasa za kutegemea wageni ni za muda tu. Viongozi lazima waelewe hivyo.
Lazima kuwajenga wananchi kiuchumi ili kuwa na taifa imara.
 
Rostam amezungumza ukweli 100%.
Ni muhimu kulinda wazawa dhidi ya wawekezaji uchwara.
Ni upumbavu serikali kuruhusu wachina kuweka vimashine vya kamari vijijini hata mijini.
Kuna biashara ambazo wageni hawatakiwi kufanya kabisa.
Mgeni awekeze kwenye kitu ambacho mzawa hawezi kufanya.
Hakuna nchi ambayo iliwahi kujengwa na wageni (kiuchumi, kutamaduni na kisiasa).
Siasa za kutegemea wageni ni za muda tu. Viongozi lazima waelewe hivyo.
Lazima kuwajenga wananchi kiuchumi ili kuwa na taifa imara.
Kweli mkuu
 
Rostam amezungumza ukweli 100%.
Ni muhimu kulinda wazawa dhidi ya wawekezaji uchwara.
Ni upumbavu serikali kuruhusu wachina kuweka vimashine vya kamari vijijini hata mijini.
Kuna biashara ambazo wageni hawatakiwi kufanya kabisa.
Mgeni awekeze kwenye kitu ambacho mzawa hawezi kufanya.
Hakuna nchi ambayo iliwahi kujengwa na wageni (kiuchumi, kutamaduni na kisiasa).
Siasa za kutegemea wageni ni za muda tu. Viongozi lazima waelewe hivyo.
Lazima kuwajenga wananchi kiuchumi ili kuwa na taifa imara.
kweli shetani akizeeka anakuwa malaika!!asilimia kubwa ya utajiri wake ameutoa kwenye mali za wajinga wajinga tu,kutokana na mfumo kumbeba!!
Kwa roho mbaya zetu za kichawi ni ngumu sana kwa wazawa kuwekeza nchini bila kuwa na wasiwasi,MBOWE kilimkuta nini,kisa eti utofauti wa kisiasa!!!Yaani ili uwe na uhakika na mali zako lazima uwe mwanachama wa chama tawala,huo si ujinga?bora hao wazungu wao kidogo wataogopwa kutokana na mataifa wanayotoka.
 
Watu wanamshambulia Rostam baada ya kuangalia hoja.

Tanzania na Africa ina wawekezaji wengi wa nje uchwara Sana Sana

Imagine mpaka uchimbbaji wa visima eti kampuni za nje kibao ndio zinachimba...

Angalia makapuni ya kamali unaruhusu vip makapuni ya kamali ya kigeni wakati wasafi bet mzawa yupo?

Wanachuma pesa wanapeleka kwenye nchi zao...

Hoja za Rostam zijibiwe china na marekani ni super power sababu wazawa ndio wawekezaji wakuu!!!
 
Kwani yeye siyo mwekezaji uchwara?TICTS wanafanya madudu Bandari,yeye si ndiyo kawaleta!!
Ameichukua kampuni ya Tigo,kifurushi Cha wiki kinaisha siku moja!!
Asituchoshe,yeye ni Secret Agent wa Marekani East and Central Africa, kwaiyo ni lazima awaponde wachina ili awekeze yeye,bure kabisa!
*Hivi watanzania tumewahi kujiuliza,ili kundi la vijana wanaoendesha Bodaboda,bila pikipiki ya Mchina wangekuwa wapi na wanafanya nini???
 
Hapa Rostam amekosea. Hakuna anayelazimisha watu kununua kwa wachina. Bila ya wachina, watu masikini wasingemudu bei za vitu vingi.
Hauna uzoefu na uhalisia. Hizo bidhaa za hao masikini unajuwa quality zake? Hizo bei za vitu vingi vya maskini ni kama vitu/bidhaa gani?

Sometimes hata matajiri wanashikishwa hizo za masikini, umeshawahi kununua bidhaa zenye bei za tofauti Lakini ni bidhaa hiyo hiyo? Tena unaweza kulipia hiyo bidhaa ya matajiri na bado unapewa ya masikini. Unaishi bongo kweli wewe? Au unapokuwa humu mtandaoni na hauishi bongo unajihisi na wewe unaishi bongoland?
 
Back
Top Bottom