Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo lengo lake, sahivi yeye ndiyo anaendesha nchiAnataka kukaba kila mradi uwe chini yake
masikini kwake ubora sio kitu cha muhimu sana,yeye anachoangalia ni uwezo wa pesa aliyonayo tu,anaweza kununua kitu anacho kihitaji kwa wakati huo,basi.Mfano kwenye bidhaa za mabati ya kuezekea nyumba,mabati bora ni ALAF,lakini kwa masikini kuweza bei yake ni ngumu,yeye anataka kuezeka atakachofanya atatafuta bati lolote lile kulingana na pesa yake aliyonayo.Huo ubora kwake sio muhimu.Ishu ya tajiri kushikishwa hiyo bidhaa ya kimaskini ni ujinga wake wa uelewa.utahitaji tv ya sumsung ushindwe kwenda kwenye mawakala walioidhinishwa na sumsung,uende mtaani,?uje kulalamika umepigwa?!!Hauna uzoefu na uhalisia. Hizo bidhaa za hao masikini unajuwa quality zake? Hizo bei za vitu vingi vya maskini ni kama vitu/bidhaa gani?
Sometimes hata matajiri wanashikishwa hizo za masikini, umeshawahi kununua bidhaa zenye bei za tofauti Lakini ni bidhaa hiyo hiyo? Tena unaweza kulipia hiyo bidhaa ya matajiri na bado unapewa ya masikini. Unaishi bongo kweli wewe? Au unapokuwa humu mtandaoni na hauishi bongo unajihisi na wewe unaishi bongoland?
Kwanini awaondoe, si alete ushindani wa biashara na hao Precision na Air Tanzania?kaishanunua coastal air sasa analeta bdege kuwaondoa precision
Nchi ya ajabu hii ni kama nchi ya kusadikika, mabilionea ni watu wenye asili ya mataifa ya nje ambao wanaishia kunufaisha nchi yao walikotoka au wanachuma na kusepa huko canada.Hivi hatuwezi kutengeneza mabilionea wazawa badala ya hawa wahindi?
Hilo ndilo jibu sasa kwa mleta uzi,anayelalamika eti wazawa wako wapi?huo ndio ujinga uliopo ktk nchi nyingi za kiafrika,Ukiwa huungi mkono chama tawala unajiweka kwenye mazingira magumu sana ya kufanya biashara.Bora hata KENYA,kuna unafuu.Ungekuwa mfanyabiashara usingekiandika hichi ulichokiandika hapa kwakuwa ni ngumu kumtenganisha mfanyabiashara na CCM
Njoo tupumzike nikupe utajiri.Mie najua na ninapata kwa amani na furaha
Wawekezaji wanahitajika kwa sekta maalum kwa sababu za msingi.Ndo mjue kuwa adui wa mtanzania ni uongozi wa ccm usiojua umuhimu wa kuwalinda wazawa. Hii kitu msukuma alipiga kelele hadi povu likakauka akakaa na kimya.ujinga wa ccm eti wanaleta wawekezaji ujinga mtupu .the whole of africa iko kama congo
Marekani?Hakuna nchi ambayo iliwahi kujengwa na wageni (kiuchumi, kutamaduni na kisiasa).
🤔🤔🤔🤔
Wahamiaji wakishapata uraia na kuijenga nchi husika, siyo wageni tena.Marekani?
Na hizo cassino pia ni za bei rahisi?Bila ya wachina, watu masikini wasingemudu bei za vitu vingi
Dada j, upo? I miss u[emoji8]Hauna uzoefu na uhalisia. Hizo bidhaa za hao masikini unajuwa quality zake? Hizo bei za vitu vingi vya maskini ni kama vitu/bidhaa gani?
Sometimes hata matajiri wanashikishwa hizo za masikini, umeshawahi kununua bidhaa zenye bei za tofauti Lakini ni bidhaa hiyo hiyo? Tena unaweza kulipia hiyo bidhaa ya matajiri na bado unapewa ya masikini. Unaishi bongo kweli wewe? Au unapokuwa humu mtandaoni na hauishi bongo unajihisi na wewe unaishi bongoland?
Njoo tupumzike nikupe utajiri.
Utajiri wa mbegu, ninazo billioni kila mshindo mmoja.Wewe una utajiri gani wa kunipa🤣🤣🤣🤣🤣
Utajiri wa mbegu, ninazo billioni kila mshindo mmoja.