kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Mkuu white wizard ,with all due respect, Taifa la masikini unategemeaje marajiri ili utajirike?kweli shetani akizeeka anakuwa malaika!!asilimia kubwa ya utajiri wake ameutoa kwenye mali za wajinga wajinga tu,kutokana na mfumo kumbeba!!
Kwa roho mbaya zetu za kichawi ni ngumu sana kwa wazawa kuwekeza nchini bila kuwa na wasiwasi,MBOWE kilimkuta nini,kisa eti utofauti wa kisiasa!!!Yaani ili uwe na uhakika na mali zako lazima uwe mwanachama wa chama tawala,huo si ujinga?bora hao wazungu wao kidogo wataogopwa kutokana na mataifa wanayotoka.
Huyu jamaa anagombea ubunge popote sioMbunge wa Morogoro Mjini huyo
Rostam ni mjanja sana.Watu wanamshambulia Rostam baada ya kuangalia hoja.
Tanzania na Africa ina wawekezaji wengi wa nje uchwara Sana Sana
Imagine mpaka uchimbbaji wa visima eti kampuni za nje kibao ndio zinachimba...
Angalia makapuni ya kamali unaruhusu vip makapuni ya kamali ya kigeni wakati wasafi bet mzawa yupo?
Wanachuma pesa wanapeleka kwenye nchi zao...
Hoja za Rostam zijibiwe china na marekani ni super power sababu wazawa ndio wawekezaji wakuu!!!
Una umri gani wewe? Au umedandia mtumbwi wa vibwengo?Mbunge wa Morogoro Mjini huyo
Ndo mjue kuwa adui wa mtanzania ni uongozi wa ccm usiojua umuhimu wa kuwalinda wazawa. Hii kitu msukuma alipiga kelele hadi povu likakauka akakaa na kimya.ujinga wa ccm eti wanaleta wawekezaji ujinga mtupu .the whole of africa iko kama congoRostam amezungumza ukweli 100%.
Ni muhimu kulinda wazawa dhidi ya wawekezaji uchwara.
Ni upumbavu serikali kuruhusu wachina kuweka vimashine vya kamari vijijini hata mijini.
Kuna biashara ambazo wageni hawatakiwi kufanya kabisa.
Mgeni awekeze kwenye kitu ambacho mzawa hawezi kufanya.
Hakuna nchi ambayo iliwahi kujengwa na wageni (kiuchumi, kutamaduni na kisiasa).
Siasa za kutegemea wageni ni za muda tu. Viongozi lazima waelewe hivyo.
Lazima kuwajenga wananchi kiuchumi ili kuwa na taifa imara.
Hapo kwenye wawkezaji Uchwara wekeni......udikiteta......
Hawa ndio wanaozuia Katiba Mpya
Najaribu kuwaza kama yeyeHuyu hapa. Akemea wawekezaji uchwara
View attachment 2396908Yeye anavyowauzia wengine gesi nchi nzima si anafilisi watanzanua wote?😁😁
Wewe ni Mjinga, tulia na ujifunze watu wenye akili wanapoongea! Siyo kukimbia na kutema upupu wako hadharani!Anataka kukaba kila mradi uwe chini yake
Naunga mkono hoja!. Tanzania itajengwa na wawekezaji wa Kitanzania na sio na wageni!.Rostam amezungumza ukweli 100%.
Ni muhimu kulinda wazawa dhidi ya wawekezaji uchwara.
Ni upumbavu serikali kuruhusu wachina kuweka vimashine vya kamari vijijini hata mijini.
Kuna biashara ambazo wageni hawatakiwi kufanya kabisa.
Mgeni awekeze kwenye kitu ambacho mzawa hawezi kufanya.
Hakuna nchi ambayo iliwahi kujengwa na wageni (kiuchumi, kutamaduni na kisiasa).
Siasa za kutegemea wageni ni za muda tu. Viongozi lazima waelewe hivyo.
Lazima kuwajenga wananchi kiuchumi ili kuwa na taifa imara.
Ungekuwa mfanyabiashara usingekiandika hichi ulichokiandika hapa kwakuwa ni ngumu kumtenganisha mfanyabiashara na CCMkweli shetani akizeeka anakuwa malaika!!asilimia kubwa ya utajiri wake ameutoa kwenye mali za wajinga wajinga tu,kutokana na mfumo kumbeba!!
Kwa roho mbaya zetu za kichawi ni ngumu sana kwa wazawa kuwekeza nchini bila kuwa na wasiwasi,MBOWE kilimkuta nini,kisa eti utofauti wa kisiasa!!!Yaani ili uwe na uhakika na mali zako lazima uwe mwanachama wa chama tawala,huo si ujinga?bora hao wazungu wao kidogo wataogopwa kutokana na mataifa wanayotoka.
Kwa hili la wachina yuko sahihi, hata kama na yeye ni mpigaji, hawa wachina wawekewe mipaka sasa,wametapakaa kila kona wathibitiwe kwa kweliHahaaa, mara hii rostam kajigeuza kuwa msamalia mwema ma kusahau alikotoka? Labda kama tumgekuwa hatumjui!
Hahaha........umeshafura!Una umri gani wewe? Au umedandia mtumbwi wa vibwengo?
Hivi umeelewa alichosema?Hapa Rostam amekosea. Hakuna anayelazimisha watu kununua kwa wachina. Bila ya wachina, watu masikini wasingemudu bei za vitu vingi.