Rostam Azizi to build 200 million LPG Facility in Kenya with Our money may be!

Rostam Azizi to build 200 million LPG Facility in Kenya with Our money may be!

Hakuna mtu anayetoa 200 million USD mfukoni mwake kujenga Kiwanda hata Billionaie Bill Gates hafanyi hivyo, hivyo haijalishi ana (rostamu) kiasi gani lkn 200 million USD hajatoa mfukoni mwake ni lazima amekopa mahali, na kama amekopa kwa dhamana gani? Nani amedhamini 200 million dollars ? Who takes the risks kama akishindwa kurudisha hiyo fedha? Na kama sisi kama nchi ndiyo tumedhamini kwa nini Kiwanda kikajengwe in foreign country ?
Ni kweli watu wanatumia mabenki kwa miradi kama hiyo , mabenki yanayotoa mikopo ni private na hakuna longolongo lazima business na terms zieleweke 100%, hizi Banks wakikupa mkopo wana standars zao sio kona kona na rushwa za kutumia serikali, swala la serikali kudhamini futa kabisa na haiwezekani, hizi Bank sio za serikali ambazo walikuwa wanatoa mikopo kwa vimemo kutoka kwa mwenyekiti wa CCM
 
I
Ni kweli watu wanatumia mabenki kwa miradi kama hiyo , mabenki yanayotoa mikopo ni private na hakuna longolongo lazima business na terms zieleweke 100%, hizi Banks wakikupa mkopo wana standars zao sio kona kona na rushwa za kutumia serikali, swala la serikali kudhamini futa kabisa na haiwezekani, hizi Bank sio za serikali ambazo walikuwa wanatoa mikopo kwa vimemo kutoka kwa mwenyekiti wa CCM
lla mm najua World bank Huwa wanakopesha makampuni binafsi kwa udhamini wa serikali, nakumbuka Kuna kipindi Rostam na miamba mingine walifanya ziara na mheshimiwa huko majuu na Rostam alionekana akisaini kitu, huyu mwamba watu mnamchukulia poa, utajiri mkubwa aliupata kipindi akiwa mweka hazina wa chama, mzigo woote wa EPA aliuratibu yeye. Wakati mnajadili yote mfikirie na haya. By the way, huu uwekezaji ni mkubwa heshima kwake mwamba
 
I

lla mm najua World bank Huwa wanakopesha makampuni binafsi kwa udhamini wa serikali, nakumbuka Kuna kipindi Rostam na miamba mingine walifanya ziara na mheshimiwa huko majuu na Rostam alionekana akisaini kitu, huyu mwamba watu mnamchukulia poa, utajiri mkubwa aliupata kipindi akiwa mweka hazina wa chama, mzigo woote wa EPA aliuratibu yeye. Wakati mnajadili yote mfikirie na haya. By the way, huu uwekezaji ni mkubwa heshima kwake mwamba
Ni kweli World Bank wanatoa mikopo kwa private companies, lakini sio rahisi kufanya deal za michongo na hawa watu hata kama una udhamini wa serikali, anyway kwa utajiri wa Rostam hahitaji serikali kudhamini mikopo yake, anajulikana ni billionaire na nature ya biashara ya gas ina return kubwa sana, Bank zote zitakuwa more than happy kufanya kazi na kumpa mkopo mtu kama Rostam, ukiwa tajiri na biashara zinafanya vizuri Banks zinakufuata kukupa mikopo tena kwa interest ya chini sana
 
Hakuna mtu anayetoa 200 million USD mfukoni mwake kujenga Kiwanda hata Billionaie Bill Gates hafanyi hivyo, hivyo haijalishi ana (rostamu) kiasi gani lkn 200 million USD hajatoa mfukoni mwake ni lazima amekopa mahali, na kama amekopa kwa dhamana gani? Nani amedhamini 200 million dollars ? Who takes the risks kama akishindwa kurudisha hiyo fedha? Na kama sisi kama nchi ndiyo tumedhamini kwa nini Kiwanda kikajengwe in foreign country ?
Acha kujisahaulisha Rostam aliinunua Tigo kwa USD 100M ni mambo ya kawaida kwa yule tycoon.
 
Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ?

Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni sisi nikimaanisha Serikali ya Tanzania maana yake ni kwamba akishindwa kulipa deni mdaiwa ni sisi lkn bado kaenda kujengea Kenya???
we acha ujinga rostam ni tajiri mkubwa magu alimuomba arudi tanzania kuwekeza maana amewekeza nje sana,hivi wewe unaijua kampuni yake ya caspian inajenga barabara hadi uingereza ndio akose pesa?
 
Kuna sababu kwa nini iko hivyo kwa maana 9 out of 10 ni ukweli, watu siyo wajinga wanaona besides sijawahi kusikia Bakhresa au Mengi (RIP) wakiitwa wezi hata siku moja!
Rostam mfano ishu ya bandari bubu? Unajua alikwepa/aliiba ngapi?? Mengi mfano udalali wa migodi ya madini arusha? Unajua alitorosha/aliiba kiasi gani??? Matajiri wooote tz wanatudhulumu ni wezi maana serikali haipati inachostahili na haijui hata ifanyaje na inastahili nini!!!
Shida kubwa ni hatuna akili ya kuongoza nchi!! Vilabu tuu vyampira hatuwezi ndiyo iwe nchi??Serikali ingebinafsishwa kwa wazungu wenye akili hasahasa sekta nyeti kiuchumi sisi tukabaki na majeshi kulinda wasiibe kitu wapate wanachostahili Tz tungekuwa matajiri sana...kusema ukweli sisi weusi tunapendeza lakini HATUNA WELEWA.
 
Rostam mfano ishu ya bandari bubu? Unajua alikwepa/aliiba ngapi?? Mengi mfano udalali wa migodi ya madini arusha? Unajua alitorosha/aliiba kiasi gani??? Matajiri wooote tz wanatudhulumu ni wezi maana serikali haipati inachostahili na haijui hata ifanyaje na inastahili nini!!!
Shida kubwa ni hatuna akili ya kuongoza nchi!! Vilabu tuu vyampira hatuwezi ndiyo iwe nchi??Serikali ingebinafsishwa kwa wazungu wenye akili hasahasa sekta nyeti kiuchumi sisi tukabaki na majeshi kulinda wasiibe kitu wapate wanachostahili Tz tungekuwa matajiri sana...kusema ukweli sisi weusi tunapendeza lakini HATUNA WELEWA.
We naye kaibe uone kama ni rahisi
 
Hakuna mtu anayetoa 200 million USD mfukoni mwake kujenga Kiwanda hata Billionaie Bill Gates hafanyi hivyo, hivyo haijalishi ana (rostamu) kiasi gani lkn 200 million USD hajatoa mfukoni mwake ni lazima amekopa mahali, na kama amekopa kwa dhamana gani? Nani amedhamini 200 million dollars ? Who takes the risks kama akishindwa kurudisha hiyo fedha? Na kama sisi kama nchi ndiyo tumedhamini kwa nini Kiwanda kikajengwe in foreign country ?

Sidhani kama Tanzania imedhamini hicho kiwanda ninachojua ni Ruto mwenyewe ana pesa mingi saaaaana!
 
Kuna watu wana pesa hiyo dola milioni mia mbili za marekani ni kidogo kwao tatizo hapa Bongo sie wavivu kutafuta pesa kubwa huwa tukijihakikishia ugali tunaona imetosha
Wewe unawajua hao watu?
 
Thread na matusi yote Kwa Rostam , Kikwete na Samia based on assumptions??

Yaani tusha assume kachota hela na tunahukumu na kutukana Hadi Rais WA nchi?..

Yaani hakuna haja hata ya facts wala ushahidi ....ni mwendo WA hisia na hukumu na matusi juu??
Tukuwekee picha na fact utapambana nao ...unajua yule mbunge aliye kutwa na nyara za serikali na shehena ya bunduki .....je wewe ukikutwa tu hata na ganda la risasi si utaozea jela
 
Aisei! Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkuu hazungumzwi kirahisi hivyo. Tafadhali sana!# Ustaarabu hauuzwi. [emoji120][emoji120][emoji120]
Kivipi [emoji849][emoji849]kwani ? Au kwa sasa neno fisadi siyo sifa ndani ya sisiemu ....kwa habari yako wenyewe wakisoma hii comment wanasikia raha sana .....ndani ya ccm ...FISADI NI CHEO KIKUBWA SANA CHA HESHIMA ....kama wewe ni fisadi basi ujue ccm yote itskuwa rafiki yako hata kama siyo raia utapewa kadi ya chama
 
Back
Top Bottom