Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Watu wanajifanya awajui ......Rostam alikuwa mfanyabiashara wakati, alipata utajiri mkubwa baada ya kuwa mweka hazina wa ccm, Mkapa mwenyekiti. Waliiba sana kupitia BOT na wizara ya fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanajifanya awajui ......Rostam alikuwa mfanyabiashara wakati, alipata utajiri mkubwa baada ya kuwa mweka hazina wa ccm, Mkapa mwenyekiti. Waliiba sana kupitia BOT na wizara ya fedha.
Kwanza neno fisadi ni cheo cha juu kasisa katika chama chaoAcha MAFISADI YAANIKWE.
MAFISADI AKINA KIKWETE NA SAMIA
Huo unaousema wewe haukuwa utajiri sasa hivi ndiyo tajiriAcha ujinga,sisi wa tabora tunamjua rostam tajiri kabla hata mkapa hajawa rais
Hizi ni nyakati za ustawi wa matajiri wenye asili ya Arabia waliopo nchini.Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ?
Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni sisi nikimaanisha Serikali ya Tanzania maana yake ni kwamba akishindwa kulipa deni mdaiwa ni sisi lkn bado kaenda kujengea Kenya???
Shida sisi Tanzania ni KATIBA...Chini ya siasa za CCM ni risk sana ku-invest Tz. Hujui kesho ataibuka mwehu gani akakamata madaraka na hakutakuwa na wa kum-control!
Rostam yuko sahihi na amefuata penye security ya uwekezaji. KATIBA! KATIBA! KATIBA!
Wewe unawajua hao watu?
"With our money"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ?
Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni sisi nikimaanisha Serikali ya Tanzania maana yake ni kwamba akishindwa kulipa deni mdaiwa ni sisi lkn bado kaenda kujengea Kenya???
afadhali umesema maana watu wamejenga theories based on the information that has not been authenticated.Kama huna ushahidi usilete udaku.
"With our money"🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtanzania bwana, mnapoambiwa Kenya is another level uwa hamsikii wabongo.
Katiba bwashee endeleeni kukata mauno, tuna imani na..................🤣🤣🤣🤣
Afrika Mashariki Billionaire wa dola ni huyo mmoja tu, hakuna wa pili.We12 akiwa "Billionea wa dollar"? Mbona hayumo kwenye orodha ya Forbes kama alivyo Mo?
We punguani wahed,mo anatajwa na Forbes kuwa ana 1.5,wa pili nani!? Na bilionea wetu wa kwanza kwa Dola za marekani ni nani!?..2012 ulikua unaoga nje bado au hukua na smartphone!?
Sasa chizi hapa ni nani kama hujitambui ulivyo chizi mkubwa.Chizi huyo achana nae,ana ushindani na mimi
Kunielewa ni kazi kwenu graduates, kwa akili yako unafikiri mm sijamuelewa mleta mada, Chongolo aliona mbali jamaniHata mada inahusu nini hauelewi sasa hata hiyo katiba mpya itakusaidia nini kama unashindwa kuelewa simple logic? Watu binafsi wachukuwe fedha kutoka Serikali ya Tanzania ambayo inadhaminiwa na walipa kodi wa Tanzania halafu ikajenge Kiwanda Kenya kwako wewe unaona na sawa tu na hata unachekelea? Hauna familia au mtu yoyote wa karibu anayelipa kodi Tanzania labda hata ukamuonea huruma?
Kwa Rostam kuna JK ndani yake, Mwigulu yupo fedha, Makamba yupo nishati halafu unauliza swali la kijinga namna hii na wakati majitu yote unayo.Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ?
Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni sisi nikimaanisha Serikali ya Tanzania maana yake ni kwamba akishindwa kulipa deni mdaiwa ni sisi lkn bado kaenda kujengea Kenya???
OverHuyo pesa anachota serikalini tu nyuma yake wapo kikwete na samia ni team moja hatari sana ya mafisadi papa
Majangili ya taifa hili yanajulikana yapo kwenye systemKuna sababu kwa nini iko hivyo kwa maana 9 out of 10 ni ukweli, watu siyo wajinga wanaona besides sijawahi kusikia Bakhresa au Mengi (RIP) wakiitwa wezi hata siku moja!
Kumbuka Rostam anamiliki Tigo na Taifa gasHakuna mtu anayetoa 200 million USD mfukoni mwake kujenga Kiwanda hata Billionaie Bill Gates hafanyi hivyo, hivyo haijalishi ana (rostamu) kiasi gani lkn 200 million USD hajatoa mfukoni mwake ni lazima amekopa mahali, na kama amekopa kwa dhamana gani? Nani amedhamini 200 million dollars ? Who takes the risks kama akishindwa kurudisha hiyo fedha? Na kama sisi kama nchi ndiyo tumedhamini kwa nini Kiwanda kikajengwe in foreign country ?
Kwann unafikiri hizo fedha ni kodi zetu?Hata mada inahusu nini hauelewi sasa hata hiyo katiba mpya itakusaidia nini kama unashindwa kuelewa simple logic? Watu binafsi wachukuwe fedha kutoka Serikali ya Tanzania ambayo inadhaminiwa na walipa kodi wa Tanzania halafu ikajenge Kiwanda Kenya kwako wewe unaona na sawa tu na hata unachekelea? Hauna familia au mtu yoyote wa karibu anayelipa kodi Tanzania labda hata ukamuonea huruma?
Aliwahi kuwa mweka hazina wa ccm,wakati kikwete ni Mwenyekiti na Makamba katibu mkuu. Sasa hv Ni rafk wa riz 1 ambaye ni Waziri, na mtoto wa Makamba Ni waziri wa nishati ambaye alizunguka Tanzania anagawa mitungi ya Taifa gesi( ya rostam)kwa vikundi vya kina mama wa ccm. Riz 1 atagombea urais 2040 wafadhili wake wa kutengeneza mtandao watakuwa Rostam na Gsm nani atamzuia kuingia Ikulu?Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ?
Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni sisi nikimaanisha Serikali ya Tanzania maana yake ni kwamba akishindwa kulipa deni mdaiwa ni sisi lkn bado kaenda kujengea Kenya???