Royal Tour! kulikoni wagharimiaji hawatajwi hadharani? Tunaishia kuambiwa ni Watu Binafsi

Royal Tour! kulikoni wagharimiaji hawatajwi hadharani? Tunaishia kuambiwa ni Watu Binafsi

Ni vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!

Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?
Alikuwepo Magufuli hukuuliza, Sasa anaulizwa aliyepo wewe unataka aulizwe marehemu!
Atakusumbua Sana Magufuli.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Tangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi.
Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC.

Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani kilimanjaro,leo asubuhi.

Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii.

Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la gharama za utengenezaji wa filamu hiyo.

Kwa kusisitiza kwamba gharama zote kuiwezesha filamu ile sio za serikali bali ni watanzania ambao ni watu binafsi na makampuni binafsi.

Lakini hakuna mahali amepata kuwataja kwa majina wahisani hao.

SHERIA ya utumishi wa UMMA,inasemaje kuhusu mtumishi wa umma kupewa na kupokea zawadi?

Tumeambiwa kwamba filamu ile imegharimu zaidi ya Shilingi bilioni saba za kitanzania.

Hiyo ni tofauti na gharama za ziada kama vile msafara wa rais nchini Marekani pamoja na ujumbe wake.
Kwa siku zote walizokaa kule.

Ikiwemo na gharama za safari za ndani ya nchi ili kufanya uzinduzi huko Arusha,Zanzibar na Dar es salaam.

Kwa utamaduni wa kawaida, na kwa jambo kubwa kama hilo.

Tulitarajia Mheshimiwa Rais kutumia fursa ya uzinduzi huo nchini kwa kuwaweka wazi wawezeshaji hao.
Kisha kuwashukuru kwa jambo hilo kubwa la kihistoria.

Badala yake,wanakuwa siri kutajwa hadharani?

Hizo ni pesa nyingi na hata hao wafadhili ingekuwa fahari kwao kutajwa hadharani ili tukawajua uzalendo wao uliotukuka kwa taifa lao na kuwashukuru kwa moyo mkunjufu.

Kitendo cha rais kurudiarudia,kuweka msisitizo kuwa si gharama za serikali,lakini kuacha kuweka hadharani wahusika.inaongeza maswali zaidi kwa umma kuliko anavyolichukulia.

Kwani Mheshimiwa Rais akiwataja kuna ubaya au madhara gani?

Mbona mara zote wananchi tumekuwa tukiwekwa wazi tena saa ingine live.
pale tunapopata wahisani wakitoa misaada.

Tena kwenye vyombo vyote vya habari?

Mfano michango yote ya kulisaidia taifa kupambana na Covid19.

Tumekuwa tukitangaziwa tena saa ingine kwa majigambo zaidi.

Lakini pia kuna ubaya gani kuwajua Watanzania wenye moyo wa kuchangia filamu yetu kwa gharama kubwa kufikia Bil 7?

Je! Kuwaweka wazi si ndiyo kungewahamasisha Watanzania wengine zaidi kuchangia maendeleo ya nchi yao.

Pale Ikitokea tukawa na mahitaji kwenye masuala mengine ya kitaifa
Ikiwemo majanga ya kibinadamu kama vile ilivyotokea kwenye janga la Uviko

Kuna nini nyuma ya gharama hizi na chanzo chake kufichwa kuwekwa wazi kwa umma?

Samahani kwa wale mtakaokwazika.

commonmwananchi
10101
.
Imegharamiwa na pesa za watanzania, hii ni kutoka kwenye kinywa cha Rais.
 
Mbona hatukuona tangazo la kuomba mchango? Pesa zilichangwa kupitia akaunti gani ya serikali? Je CAG atakuwa na access ya kukagua matumizi ya akaunti hiyo!
Pia watuambie sheria ya utumishi wa umma insemaje kuhusu Rais kupokea msaada na kuwaficha watoaji?
 
Aisee,Watanzania,hypocrites kabisa.Hivi seriously huoni kwamba Watanzania wana haki ya kulijua hili.Je kama Rais kaingia kwenye uhusiano usiofaa na watu wasiofaa kwa maslahi mapana ya taifa letu.....!!No,tunahitaji kujua,Tanzanians need to know.
Na sheria za utumishi wa umma pia haziruhusu Rais kupokea zawadi bila kutaja mtoaji na malengo yake?
 
Ni vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!

Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?
Naona bado mnapambana na chato. Atleast kule chato kuna uwanja unaonekana, utaweza kutumiwa hata na jeshi ukikosa kazi kabisa wenyeji wa chato watz wenzetu wataanika mpunga, watajifunzia driving etc. Sasa mtujibu iyo Royal tour nani ameifadhili na malipo gani atadai. Na kitu gani tangible tutapata hapo. Tunajua idadi ya watalii post covid after covid. Tutachunguza aftr royal tour.
Patamu hapo, mtapambana na mzimu hadi mkome.
 
watu wanataka uthibitisho na uwazi

inawezekana hao wafadhili wenye mapenzi mema kwa Nchi yao wamechangia jumla ya billion 9 na 7 zikapelekwa kwa 'Rambo' na zingine zikaingia kwny mifuko binafsi

lakini kubwa zaid kuna taratibu za kisheria za kukusanya, kuratibu, kutumia na ku report fedha zote za wenye mapenzi mema na nchi zilifuatwa?

hata JPM nae alikuwa akikosea kukopa kwa siri na kutudanganya ni makusanyo ya ndani

usichukulie kila anaemkosoa Samia ni mfuasi wa JPM

wa Tz wengi sana si wafuasi wa wanasiasa na wana haki ya kuhoji
Ni vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!

Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?
 
Unao uthibitisho gani kwamba ni hela za watu binafsi?

Kwani fedha za ujenzi wa uwanja wa Chato ni siri?

Wewe ni kilaza usojitambua!
Team msoga uyo toka enzi za chuma, sasa wanapambana na mzimu wake.
 
Naona bado mnapambana na chato. Atleast kule chato kuna uwanja unaonekana, utaweza kutumiwa hata na jeshi ukikosa kazi kabisa wenyeji wa chato watz wenzetu wataanika mpunga, watajifunzia driving etc. Sasa mtujibu iyo Royal tour nani ameifadhili na malipo gani atadai. Na kitu gani tangible tutapata hapo. Tunajua idadi ya watalii post covid after covid. Tutachunguza aftr royal tour.
Patamu hapo, mtapambana na mzimu hadi mkome.
Royal tour ni upigaji tu hamna lolote.Kama wana ujasiri watupe cost and benefit analysis,vinginevyo wasituchoshe Watanzania na usanii wao.
 
Na sheria za utumishi wa umma pia haziruhusu Rais kupokea zawadi bila kutaja mtoaji na malengo yake?
Na yeye ni mtumishi wa umma!Msimamizi mkuu wa sheria anakuwa wa kwanza kuvunja sheria,patamu hapo.Yale yale ya Boris Johnson kufanya drinking party No.10 Downing Street bila observation ya Covid rules,ambazo yeye mwenyewe alisimamia kuzitunga na hivyo alipaswa kuhakikisha kwamba zinakuwa observed.Vyombo vyetu vya sheria vinasemaje?
 
Ni vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!

Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?
Wewe fungua uzi uliza hilo swali lako usimpangie mleta mada aulize swali ambalo halipo kichwani mwake.

Huyu Bi Tozo Bin Maushungi ni corrupt kama walivyo predecessors wake na ccm wote kwa ujumla.

Hii nchi inahitaji mapinduzi ya kijeshi, njia za kiraia zimeshaprove failure
 
Naona bado mnapambana na chato. Atleast kule chato kuna uwanja unaonekana, utaweza kutumiwa hata na jeshi ukikosa kazi kabisa wenyeji wa chato watz wenzetu wataanika mpunga, watajifunzia driving etc. Sasa mtujibu iyo Royal tour nani ameifadhili na malipo gani atadai. Na kitu gani tangible tutapata hapo. Tunajua idadi ya watalii post covid after covid. Tutachunguza aftr royal tour.
Patamu hapo, mtapambana na mzimu hadi mkome.
Kabisaaa!
 
Ni vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!

Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?


Wewe KICHWA MAJI elewa swali la mleta mada kabla ya kukurupuka kujibu,


ni kina nani hao watu binafsi waliotoa hizo pesa kwa mapenzi yao kwa Taifa?

Je kuna ubaya wowote tukiambiwa majina ya WAZALENDO hao kwa Taifa waliojitolea pesa zao binafsi zaidi ya tsh billion saba?
 
Tangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi.
Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC.

Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani kilimanjaro,leo asubuhi.

Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii.

Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la gharama za utengenezaji wa filamu hiyo.

Kwa kusisitiza kwamba gharama zote kuiwezesha filamu ile sio za serikali bali ni watanzania ambao ni watu binafsi na makampuni binafsi.

Lakini hakuna mahali amepata kuwataja kwa majina wahisani hao.

SHERIA ya utumishi wa UMMA,inasemaje kuhusu mtumishi wa umma kupewa na kupokea zawadi?

Tumeambiwa kwamba filamu ile imegharimu zaidi ya Shilingi bilioni saba za kitanzania.

Hiyo ni tofauti na gharama za ziada kama vile msafara wa rais nchini Marekani pamoja na ujumbe wake.
Kwa siku zote walizokaa kule.

Ikiwemo na gharama za safari za ndani ya nchi ili kufanya uzinduzi huko Arusha,Zanzibar na Dar es salaam.

Kwa utamaduni wa kawaida, na kwa jambo kubwa kama hilo.

Tulitarajia Mheshimiwa Rais kutumia fursa ya uzinduzi huo nchini kwa kuwaweka wazi wawezeshaji hao.
Kisha kuwashukuru kwa jambo hilo kubwa la kihistoria.

Badala yake,wanakuwa siri kutajwa hadharani?

Hizo ni pesa nyingi na hata hao wafadhili ingekuwa fahari kwao kutajwa hadharani ili tukawajua uzalendo wao uliotukuka kwa taifa lao na kuwashukuru kwa moyo mkunjufu.

Kitendo cha rais kurudiarudia,kuweka msisitizo kuwa si gharama za serikali,lakini kuacha kuweka hadharani wahusika.inaongeza maswali zaidi kwa umma kuliko anavyolichukulia.

Kwani Mheshimiwa Rais akiwataja kuna ubaya au madhara gani?

Mbona mara zote wananchi tumekuwa tukiwekwa wazi tena saa ingine live.
pale tunapopata wahisani wakitoa misaada.

Tena kwenye vyombo vyote vya habari?

Mfano michango yote ya kulisaidia taifa kupambana na Covid19.

Tumekuwa tukitangaziwa tena saa ingine kwa majigambo zaidi.

Lakini pia kuna ubaya gani kuwajua Watanzania wenye moyo wa kuchangia filamu yetu kwa gharama kubwa kufikia Bil 7?

Je! Kuwaweka wazi si ndiyo kungewahamasisha Watanzania wengine zaidi kuchangia maendeleo ya nchi yao.

Pale Ikitokea tukawa na mahitaji kwenye masuala mengine ya kitaifa
Ikiwemo majanga ya kibinadamu kama vile ilivyotokea kwenye janga la Uviko

Kuna nini nyuma ya gharama hizi na chanzo chake kufichwa kuwekwa wazi kwa umma?

Samahani kwa wale mtakaokwazika.

commonmwananchi
10101
.
Uko humu 24/7 kuvizia tu Rais Samia kafanya nini ili ukosoe. Baada ya kuhisi kakaa 2 weeks kwa fedha ya wahisani watanzania, na si kwa fedha ya Serikali kama MLIVYOKUWA MNABWABWAJA, sasa voicer unataka kujua majina ya wachangaji.

Ulivyo POPOMA ukipewa majina yao utataka kujua majina wa wake zao au waume zao.

Tafuteni shughuli za maana za kuwaingizia hela haya MAUJINGA yamepitwa na wakati baada ya kumfukia mungu wenu pale Chato
 
Naona bado mnapambana na chato. Atleast kule chato kuna uwanja unaonekana, utaweza kutumiwa hata na jeshi ukikosa kazi kabisa wenyeji wa chato watz wenzetu wataanika mpunga, watajifunzia driving etc. Sasa mtujibu iyo Royal tour nani ameifadhili na malipo gani atadai. Na kitu gani tangible tutapata hapo. Tunajua idadi ya watalii post covid after covid. Tutachunguza aftr royal tour.
Patamu hapo, mtapambana na mzimu hadi mkome.
Filamu ya Royal Tour haionekani?
 
Wewe KICHWA MAJI elewa swali la mleta mada kabla ya kukurupuka kujibu,


ni kina nani hao watu binafsi waliotoa hizo pesa kwa mapenzi yao kwa Taifa?

Je kuna ubaya wowote tukiambiwa majina ya WAZALENDO hao kwa Taifa waliojitolea pesa zao binafsi zaidi ya tsh billion saba?
Awajue yeye Kama nani? Waliochanga wamelalamika fedha zao kutotumika?
 
Back
Top Bottom