Royal Tour ndo ishasahaulika?

We mtu naona umu malalamiko yako ni juu tu ya wamarekani kuhifaham hii filam sasa ni iv hii filam co tu kwa ajili ya marekan tu wajue vivutio vyetu bali ni dunia kiujumla
 
Amka
Unaota ndoto mbaya..
 
Kunifunza kwa magufuli ni kujifunza roho mbaya na ukatili hilo tumesamehe mama
 
Wapi pameandikwa Rais wa JMT, hahojiwi?. Kilichopo ni Rais wa JMT, wakati akiwa ni Rais, hawezi kushitakiwa mahakamani, ila anaweza kushitakiwa Bunge.

Na hilo la rais kuhojiwa, kila siku tunakutana na rais na kumhoji.
P
Reality. Mara nyingi tumeshuhudia yaliyoandikwa yakikiukwa - with impunity - na sioni Rais akihojiwa face to face. Unaweza kuweka mfano wa hayo mahojiano ya kila siku.
 
Wewe finyu kweli kweli. Lengo la Royal tour ni nini?

Watu sasa hivi tunag'ng'ana na fursa zinazoibuliwa na Royal Tour wewe unang'ang'ana na kuiongelea Royal Tour.

Fikra za uduni hizo.

Royal Tour ni fursa, sasa wengine tunaifanya fursa hiyo kuwa mafanikio, wewe nga'ang'ana kuiongelea tu.

Amma kweli, usimuamshe aliyelala.
 
Tunaliwa uku tukikunywa kuna maboma mengi izo ela za roya 2a zingeingia kwenye miradi iliyo simama
Royal tour imegaharimu Billion 7 na tena siyo za serikali, ni wafanya biashara walioiona hiyo fursa wakawekeza na umewaona wakiwa USA na mama wakitumia fursa zilizoibuka. Au una mcacho lakini hayaoni? Una msikio lakini hayasikii?

Waliowekeza kwenye Royal Tour wameshasaini mikataba ya Matrillioni. Wewe ngoja tu upayuke humu kijinga.

Hujaona juzi tu, Rostam katangaza uwekezaji wa Trillion1 na zaidi na wabia wa nje? Unafikiri fursa hizo zimetokea wapi? Hewani?

Majuha wengi sana Tanzania hii.

Ulitoa wewe hizo pesa za Royal Tour? Au aliyetoa baba'ko? Badala ya kuitumia fursa wewe unabweka na kupayuka humu kijinga kabisa. Nenda eyapoti ukatazame fursa za kuwa Tour Guide utengeneza japo vijisenti kama huyawezi ya wenye akili za ziada waliowekeza kwenye Roya Tour.
 
Inamsaidia nini mtanzania wa kawaida anayeangaika na kupanda bei kwa kila kitu ovyo kabisa awa viongozi wa sasa
Ni ujinga wa hali ya juu kukaa kungoja usaidiwe. Anza kwa kujisaidia mwenyewe, kukaa kungoja kusaidiwa ndio watu wanajisaidia mpaka mdomoni mwako. Jisaidie mwenyewe akusaidie nani? Pambaf kabisa.
 
Kweli hawa viongozi wqnatuchukulia sisi poa sana, yaani niache kuangalia mambo yangu ya maana nishupalie huu upuuzi??
C ni heri nikaangalia ugonvi wa mbwa, khaa sisi sio mafala akseh
Kwani umelazimishwa kuangalia?
 
Ajuza
 
Acha ufala, kabla ya royal tour watu walikuwa wakifanya hizo tour guide
 
Acha ufala, kabla ya royal tour watu walikuwa wakifanya hizo tour guide
Endelea na ujuha tu, kwani coca-cola wanapofanya "promotion" za kila siku watu walikuwa hawanywi coca-cola?

Kama una ma tour-guide kumi punguza basi utalii uwe na ma tour guide watano. Si umetosheka? Pambaf kabisa.


Sasa wewe sema utawaongeza vipi ma tour-guide 10 wawe 20 bila kufanyia sekta hiyo "promotion"?
 
Acha ufala, kabla ya royal tour watu walikuwa wakifanya hizo tour guide
Watakwambia hizo fursa za tour guide zimeletwa na royal tour hazikuwahi kuwepo, watu wasipokuwa makini,namba ya watalii waliokuwa wakiitembelea Tanzania kabla ya RT zitashushwa makusudi ili baadae kuanzia mwaka huu zianze kusomwa namba za juu ili kuonesha mafanikio ya RT. Na kwa kuwa hatuna kumbukumbu nzuri,itabidi tukubali
 
Tusubiri takwimu za kupika kuhusu ongezeko la watalii.
 
Hakuna attention yoyote, imeshafeli
Haina mafanikio wakati watu waliowekeza wameshaopoa mikataba kibao? Ulitaka mafanikio yepi zaidi?

Ulifikiri ile ni bongo movie? Ilikodhamiwa watu waione wameshaiona na bado wanaendelea kuinunua, tena kwa gharama, kutoka mitandaoni.

Royal tour haikukulenga wewe, wewe ukitaka kuiona Kilimanjaro si unaenda hata kwa miguu? Au upo hapo hapo chini ya mlima Kilimanjaro lakini fursa huzioni.

Ulifikiri Royal Tour ilifanywa kwa kulenga kuiona wewe poyoyo? Yaliyooneshwa mule ni yepi usiyoyajuwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…