Royal Tour ndo ishasahaulika?

Royal Tour ndo ishasahaulika?

Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
We mtu naona umu malalamiko yako ni juu tu ya wamarekani kuhifaham hii filam sasa ni iv hii filam co tu kwa ajili ya marekan tu wajue vivutio vyetu bali ni dunia kiujumla
 
Billion Saba imepotea kinyemela mam afikishwe mahakama za kifisadi kujibu tuhuma zianzomkabili za kusababishia hasara wananchi ya billion Saba huku akijuwa kuwa kufanya hvyo Ni ufisadi na Ni kutojali pesa za wafuja jasho la taifa hili

Ikiwa atadhibitika atakwenda jela moja kwa moja na kwa kifungo Cha miaka 27 bila dhamana
Amka
Unaota ndoto mbaya..
 
Wote pale wamestuck. Mwanzoni nilimpa Samia benefit of doubt kwamba kwa vile alifanya kazi na Magufuli atakuwa alijifunza mbili tatu fulani hivi za msingi kutoka kwake (na pengine kujifunza kwa yale yanayoitwa "mabaya" ya Magufuli) ili awe the best president wa Tanzania kuwahi kutokea.

Na vile alivyoanza kukusanya zile tozo na kuja na idea ya kuboresha barabara za mitaa, na vituo vya afya vya mtaani kwa kutegemea uwezo wa ndani, na huku reports zikitolewa kila mwezi kuhusu nini kimefanyika nilianza kuhamasika nae.

I thought hiyo ndiyo blueprint ya nchi inayotaka kujijenga.

Boy, I was wrong!

Kumbe ni Kikwete through and through , actually the worst version of Kikwete.

Ni wakala mwaminifu wa ubeberu nchini Tanzania asiye hata na maono binafsi hata moja kuhusu nchi yake.

Tumepigwa!
Kunifunza kwa magufuli ni kujifunza roho mbaya na ukatili hilo tumesamehe mama
 
Wapi pameandikwa Rais wa JMT, hahojiwi?. Kilichopo ni Rais wa JMT, wakati akiwa ni Rais, hawezi kushitakiwa mahakamani, ila anaweza kushitakiwa Bunge.

Na hilo la rais kuhojiwa, kila siku tunakutana na rais na kumhoji.
P
Reality. Mara nyingi tumeshuhudia yaliyoandikwa yakikiukwa - with impunity - na sioni Rais akihojiwa face to face. Unaweza kuweka mfano wa hayo mahojiano ya kila siku.
 
Kama upepo ulivyo, habari za Royal Tour zishaanza kupita.

Watanzania tushahamia kwenye habari za Lengai Sabaya.

Toka mwanzo, mimi nilikuwa na shaka sana juu ya hiyo filamu.

Kama lengo lake lilikuwa ni kuitangaza Tanzania, mbona wahusika wake hawajafanya yale yanayopaswa kufanywa ili kuitangaza filamu hiyo pamoja na Tanzania?

1. Kwa nini Hangaya na waigizaji wenzake hawajaenda na kwenye nchi zingine? Kwa nini wameenda Marekani tu?

2. Na huko Marekani walikoenda, ni nani hasa mwenye habari na hiyo filamu?

3. Matangazo ya hiyo filamu yako wapi? Sasa hivi kuna playoffs za ligi mbili kubwa, NBA na NHL, mbona matangazo ya hiyo filamu hayapo kwenye chaneli za TNT, TBS, ABC, wala ESPN?

Michezo hii ya playoffs huangaliwa na watu wengi sana. Hapo ndo ilikuwa pazuri pa kuitangaza Tanzania na vivutio vyake.

Lakini hamna kitu. Sasa Mmarekani atajuaje kuhusu hiyo filamu?

4. Hiyo filamu ina kipi kipya ambacho hakijulikani kuhusu Tanzania hadi kumshawishi Mmarekani aje?

Documentaries zote kuhusu vivutio vya Tanzania ambazo zimewahi kuonyeshwa na PBS, National Geographic, A&E, YouTube, n.k., zina tofauti gani na Royal Tour?

5. Hii Royal Tour sidhani kama italeta chochote kipya na zaidi. Watu wamepata tu fursa ya kupiga hela.

Na kama ilivyo jadi yetu Watanzania, tushaanza kuisahau na ndani ya muda mfupi tutaisahau kabisa na hakuna hata mmoja wetu atayekuja kuuliza mafanikio yake huko mbeleni.

6. Ni nani atayekuja kumhoji Samia juu ya mafanikio ya hiyo filamu ifikapo 2024, kwa mfano?

Sisi ni watu wa ajabu kweli.
Wewe finyu kweli kweli. Lengo la Royal tour ni nini?

Watu sasa hivi tunag'ng'ana na fursa zinazoibuliwa na Royal Tour wewe unang'ang'ana na kuiongelea Royal Tour.

Fikra za uduni hizo.

Royal Tour ni fursa, sasa wengine tunaifanya fursa hiyo kuwa mafanikio, wewe nga'ang'ana kuiongelea tu.

Amma kweli, usimuamshe aliyelala.
 
Tunaliwa uku tukikunywa kuna maboma mengi izo ela za roya 2a zingeingia kwenye miradi iliyo simama
Royal tour imegaharimu Billion 7 na tena siyo za serikali, ni wafanya biashara walioiona hiyo fursa wakawekeza na umewaona wakiwa USA na mama wakitumia fursa zilizoibuka. Au una mcacho lakini hayaoni? Una msikio lakini hayasikii?

Waliowekeza kwenye Royal Tour wameshasaini mikataba ya Matrillioni. Wewe ngoja tu upayuke humu kijinga.

Hujaona juzi tu, Rostam katangaza uwekezaji wa Trillion1 na zaidi na wabia wa nje? Unafikiri fursa hizo zimetokea wapi? Hewani?

Majuha wengi sana Tanzania hii.

Ulitoa wewe hizo pesa za Royal Tour? Au aliyetoa baba'ko? Badala ya kuitumia fursa wewe unabweka na kupayuka humu kijinga kabisa. Nenda eyapoti ukatazame fursa za kuwa Tour Guide utengeneza japo vijisenti kama huyawezi ya wenye akili za ziada waliowekeza kwenye Roya Tour.
 
Inamsaidia nini mtanzania wa kawaida anayeangaika na kupanda bei kwa kila kitu ovyo kabisa awa viongozi wa sasa
Ni ujinga wa hali ya juu kukaa kungoja usaidiwe. Anza kwa kujisaidia mwenyewe, kukaa kungoja kusaidiwa ndio watu wanajisaidia mpaka mdomoni mwako. Jisaidie mwenyewe akusaidie nani? Pambaf kabisa.
 
Kweli hawa viongozi wqnatuchukulia sisi poa sana, yaani niache kuangalia mambo yangu ya maana nishupalie huu upuuzi??
C ni heri nikaangalia ugonvi wa mbwa, khaa sisi sio mafala akseh
Kwani umelazimishwa kuangalia?
 
Wewe kaa kuponda tu, wenzako tumeshaanza kuziona fursa za Royal Toir na tumeshaanza kuzifanyia kazi na sasa na zimeshaanza kuwa mafanikio. Kalaga-baho.

Hata Haji Manara kaziona fursa kaanza kuvaa Kimasai, hata kama alikosea kavaa kike, lakini kukosea ndio kujifunza. Publicity aliyoipata tu kweye kufanya vile ni mafanikio makubwa sana kwa kazi zake na kuipaisha brand yake.

Wewe endeleza tu ujuha wa kuwa negative kwa kila jambo. Nafahamu si wewe, ni ujinga (ignorant" tu, uliokujaa.
Ajuza
 
Kangoje watalii uwe tour guide, hukuona mama kaonesha mfano wa chini kabisa kwenye uwekezaji wa utalii? Rais wa nchi kakuonesha mfano kwa kucheza part ya "tour guide" kwenye ile filamu.

Huna fikra, basi hata macho huna?

Nnauhakika hata pakuanzia kuzitumia fursa za Royal Tour, japo kuwa "tour guide" huna. Ngoja nikusaidie.

Nenda wizara inayo husika na utalii, waulize ni kina nani wenye makampuni yanayoshughulikia watalii, uksihayajuwa, nenda kaombe kazi huko za u tourguide. Au kaombe kazi yoyote uijuayo, watahitajika huko wa kila fani. Kama hiyo haitoshi, nenda kwenye hoteli za kitalii. Hutokosa cha kufanya, ukikosa kazi utapata japo fikra za ufanye nini.
Acha ufala, kabla ya royal tour watu walikuwa wakifanya hizo tour guide
 
Acha ufala, kabla ya royal tour watu walikuwa wakifanya hizo tour guide
Endelea na ujuha tu, kwani coca-cola wanapofanya "promotion" za kila siku watu walikuwa hawanywi coca-cola?

Kama una ma tour-guide kumi punguza basi utalii uwe na ma tour guide watano. Si umetosheka? Pambaf kabisa.


Sasa wewe sema utawaongeza vipi ma tour-guide 10 wawe 20 bila kufanyia sekta hiyo "promotion"?
 
Acha ufala, kabla ya royal tour watu walikuwa wakifanya hizo tour guide
Watakwambia hizo fursa za tour guide zimeletwa na royal tour hazikuwahi kuwepo, watu wasipokuwa makini,namba ya watalii waliokuwa wakiitembelea Tanzania kabla ya RT zitashushwa makusudi ili baadae kuanzia mwaka huu zianze kusomwa namba za juu ili kuonesha mafanikio ya RT. Na kwa kuwa hatuna kumbukumbu nzuri,itabidi tukubali
 
Tusubiri takwimu za kupika kuhusu ongezeko la watalii.
 
Hakuna attention yoyote, imeshafeli
Haina mafanikio wakati watu waliowekeza wameshaopoa mikataba kibao? Ulitaka mafanikio yepi zaidi?

Ulifikiri ile ni bongo movie? Ilikodhamiwa watu waione wameshaiona na bado wanaendelea kuinunua, tena kwa gharama, kutoka mitandaoni.

Royal tour haikukulenga wewe, wewe ukitaka kuiona Kilimanjaro si unaenda hata kwa miguu? Au upo hapo hapo chini ya mlima Kilimanjaro lakini fursa huzioni.

Ulifikiri Royal Tour ilifanywa kwa kulenga kuiona wewe poyoyo? Yaliyooneshwa mule ni yepi usiyoyajuwa?
 
Back
Top Bottom