Royal Tour ya Rais Samia yaanza kujibu | Rapper Rick Ross kuwekeza karibu Tshs 8.1bl Tanzania

Royal Tour ya Rais Samia yaanza kujibu | Rapper Rick Ross kuwekeza karibu Tshs 8.1bl Tanzania

Wewe unadhani ni nani?
Mitego ya Rais Samia ya Royal Tour yanasa TZS 158.4bl | Hoteli nne kubwa za kitali hadhi ya Kempinski kujengwa Serengeti, Ngorongoro,Manyara & Tarangire,

________________________________

Wawekezaji toka Bulgaria matokeo ya Royal Tour kuwekeza US$ 72M karibu sawa na Tsha 158.4BL kwa kujenga Hotel nne kubwa za nyota tano ( Five Stars Hotel ) katika mbunga za Serengeti, Ngorongoro, Manyara & Tarangire,

Utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kipindi kifupi cha miezi sita umeonesha matokea makubwa katika kila kona ya nchi, madhalani uwekezaji tayari umekua kwa 400% toka uwekezaji wa US$ 510M hadi US$ 2.98BL sawa na Tshs 7trilioni pesa ambayo itamfikila kila Mtanzania popote alipo katika njia moja au nyingine,

#Mliokuwa mnalalamikia gharama ya Royal Tour mnasemaje kuhusu hizi bilioni 158.4 za fasta !??


.........Kazi iendelee.........
 
Hovyooo sana, Rozay alifanya interview na Tambwe, ndio mchongo wote ukaanzia hapo.

Kuzurura kwa samia hakuhusian na huo mchongo
Yupo kwa kazi maalumu
Screenshot_20210924-110018.jpg
 
Tanzania ya Samia ni noma,

Umeme bei Chee EAC
Petrol bei Chee EAC
Disel bei Chee EAC
M|taa bei Chee EAC
Data (MB) bei Chee EAC
Maji bei Chee EAC
 
Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, disel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu

#HONGERA RAIS SAMIA
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

👇🏿👇🏿

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Unajua Rais Samia amejenga madarasa elfu 18?

Endelea kumwombea
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

👇🏿👇🏿

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
|| VIVA SAMIA VIVA
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

👇🏿👇🏿

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
angejenga hotels tu, hiyo real estate kwa bongo ataumia. labda mzunguko wa pesa ukiongezeka.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

👇🏿👇🏿

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,

_______
 
Kwahiyo unabishana na Rick Ross mwenyewe?

Tanzania imeshadunguka wewe inakuuma nini?

Hujui hata ndg zako wanaweza kupata ajira?

Let's be positive to our country

___________________________________________
Kaziindelee kwa kasi & wekedi zaidi
 
👇🏿👇🏿👇🏿


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
Hovyooo sana, Rozay alifanya interview na Tambwe, ndio mchongo wote ukaanzia hapo.

Kuzurura kwa samia hakuhusian na huo mchongo
👇🏿👇🏿👇🏿


Miezi sita ya Rais Samia,

Nchi imetulia tuli,
Wawekezaji kama wote
Wahisani kama wote
Wananchi Shangwe kila kona

#KAZIIENDELEE
 
Back
Top Bottom