Royal Tour ya Rais Samia yaanza kujibu | Rapper Rick Ross kuwekeza karibu Tshs 8.1bl Tanzania

Royal Tour ya Rais Samia yaanza kujibu | Rapper Rick Ross kuwekeza karibu Tshs 8.1bl Tanzania

Billion 8 siyo hera nyingi katika masuala ya uwekezaji..Angalia magorofa ya Nssf au jengo la ofisi ya makamu wa rais linakula hera nyingi billion 18 lakini sijengo la kutisha sana,,sasa hapa kwa hizi billion 8 ni hera ndogo
Sisi tushukuru kwa chochote
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

[emoji1541][emoji1541]

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Wewe utakuwa ni mzalendo hasa,kwa kutuletea habari za maendeleo.Usiache kutuhabarisha.Najivunia kuwa mtanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu Mswali haya kwa Ukamilifu,

1.Rais Mnyenyekevu Africa -SAMIA

2.Rais mpole Africa -SAMIA. √

3. Rais mchamungu Africa -SAMIA √

4. Rais rafiki wa wananchi wake Africa -SAMIA √

5. Rais Chaguo la Watanzani 2025-2030 -SAMIA √

Hata gaidi jiwe mliimba hivyohivyo .
Ila mfungwa Sabaya kawaumbua
 
Film ya Royal Tour inatoka mwakani Feb au March. Usifananishe na Movie za Kanumba alizokuwa anatoa kila wiki.
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

👇🏿👇🏿

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

[emoji1541][emoji1541]

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Watu wa Lumumba mnapenda kubwatuka yaani sasahivi mmeshaanza kumnanga Mwendazake mliyekuwa mkisema kaletwa na Mungu, CCM ni Ile Ile by Captain Komba
 
Back
Top Bottom