hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Siku hizi U-chawa umegeuka taaluma!
Hivi kabla hujaandika mambo haya yanayohusu utalii,huwa mbafanya research kidogo basi!
Wanajua kuna nafasi kama za David Kafulila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi U-chawa umegeuka taaluma!
Hivi kabla hujaandika mambo haya yanayohusu utalii,huwa mbafanya research kidogo basi!
Dege kubwa halitakiwi kia,likitua tu tujue linabeba wanyama!?,dege tunalipiga picha Ila wanyama wanaoingizwa kwenye dege kamera zetu zinagomba kuwapiga picha!?Kwa hiyo hii habari ya midege mikubwa kutua huko KIA hujaisikia, au kujitoa fahamu.....
Hongera na kazi wadau..
Nitumie fursa hii kueleza habari Njema za Royal tour..
Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000)..
Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil..
Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.
Hongera zenu Ila bado Sana kuwafikia Egypt,Morocco,South Africa nk.[emoji116]
Hongera na kazi wadau..
Nitumie fursa hii kueleza habari Njema za Royal tour..
Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000)..
Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil..
Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.
Hongera zenu Ila bado Sana kuwafikia Egypt,Morocco,South Africa nk.👇
Hongera na kazi wadau..
Nitumie fursa hii kueleza habari Njema za Royal tour..
Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000)..
Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil..
Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.
Hongera zenu Ila bado Sana kuwafikia Egypt,Morocco,South Africa nk.👇
Nayo imekuja kutalii... 😂😂😂Kwa hiyo hii habari ya midege mikubwa kutua huko KIA hujaisikia, au kujitoa fahamu.....
Mwaka Jana mlisema hivyo hivyo piaWengi wa hao watalii ni wale waliositisha safari zao(ambazo walishazilipia) kipindi kile cha corona. Walioko kwenye hii industry watanielewa.
Majibu ya RT tutayatathimini mwaka huu.
Na wewe pika za kwako mbuzi wewe,hizi taarifa zimetoka kwenye uchambuzi wa ripoti ya Uchumi wa banki kuu kwa mwezi Novemba.Chawa acha Kuremba sifa za kijinga kwa data za kupika.
Yeye alete ushahidi, DEGE linalotumika kubebea wanyama lilitua Ili kubeba nn!!!Halafu anataka kutufumba midomo kwa kujificha kwenye ushahidi, ni sawa na mtu aulize sehemu kuku anapotolea kinyesi wakati upepo unapuliza.....
Mama aliupiga mwingi mno pale
Akileta takwimu hizi naomba unitag ndugu.Naomba takwin za kipindi kama hicho kabla ya covid pandemic
Usikasirike ndugu. Mnyamazishe kwa kuijibu hoja yake kwa takwimu tu.Soma article sio kukurupuka utazikuta au hata heading ya gazeti huelewi?
Manyumbu watabisha 👇Nimeona kuna trend huko insta watu wanamention sehemu watakazo tembelea 2023
Tanzania imetajwa sana
Atujibu pia Kwa Takwimu,Usikasirike ndugu. Mnyamazishe kwa kuijibu hoja yake kwa takwimu tu.
Acha kupanick dogo, hakuna taasisi ya serikali kwa sasa inaaminika kwenye suala la uhakika wa data.Na wewe pika za kwako mbuzi wewe,hizi taarifa zimetoka kwenye uchambuzi wa ripoti ya Uchumi wa banki kuu kwa mwezi Novemba.
Leta za kwako kutoka kwenye taasisi unayoiaminiAcha kupanick dogo, hakuna taasisi ya serikali kwa sasa inaaminika kwenye suala la uhakika wa data.
Manyumbu watabisha 👇