Muda si mrefu hana RPC,atakwenda kufundisha CCP au kusoma magazeti makao makuu.Fitina zao nizaidi ya Lumumba.Ataishia kuwa RPC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda si mrefu hana RPC,atakwenda kufundisha CCP au kusoma magazeti makao makuu.Fitina zao nizaidi ya Lumumba.Ataishia kuwa RPC
Angetamani Urais kama sio dhambiKwani ni dhambi kutamani cheo kikubwa
Ccm adui yake upinzani.Mkuu we unafikiria ni wapinzani tu ndio wanashughulikiwa na polisi.
Hayo yote yanatokana na mtazamo wako wa kufikiri polisi wanawashughulikia wapinzani tu nchii hii.Ccm adui yake upinzani.
Ccm ndio uchagua IGP atakaewaweka madarakani
Hivi huyu jamaa sindio 2020 alikesha road kuzuia msafara wa TAL usifike Kibaha?
HahahahaaaaaNaona huyu jamaa u rpc ameuchoka,
Asubiri kupangiwa kazi maalum hivi karibini ya kuchemsha chai makao makuu ya polisi.
Kazi ya police ni kulinda chama tawalaHayo yote yanatokana na mtazamo wako wa kufikiri polisi wanawashughulikia wapinzani tu nchii hii.
Hivi ninavyoandika ujumbe huu tayari Wankyo Nyigesa kikazi anasomeka yuko makao makuu ya jeshi la polisi DodomaMuda si mrefu hana RPC,atakwenda kufundisha CCP au kusoma magazeti makao makuu.Fitina zao nizaidi ya Lumumba.
Hata mimi nilichulia ni utani, ila kwenye utani pia inatakiwa mtu uwe makini sana, ni rahisi zaidi kwa watu kutafsiri tofauti na ulivyomaanisha na hali hiyo ikapelekea kukugharimu kama ilivyotokea kwa yule Mkuu wa mkoa aliehamasisha wananchi waje kwa wingi na mabango kumlaki raisi atapokuja kutembelea mkoa wao.Wankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel, ni kama comedian flan hiv anapenda utani sana,
Wankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel ni comedian flan hiv anapenda utani, mchangamfu sana lkn yote Tisa jamaa anaupendo sana. Mara ya kwanza kukutana nae room nilikua simuelewi kabisa lkn baadae nikagundua jamaa ana amani sana moyoni mwake.
yani jamaa kwa cheo chake hicho anautaka u IGP wakati kuna ma kamishna kibao yeye atulie sasa hapo dodomaHivi ninavyoandika ujumbe huu tayari Wankyo Nyigesa kikazi anasomeka yuko makao makuu ya jeshi la polisi Dodoma
Mkuu,roommate wako Mabibo Hostel mwaka gani??nahisi huyu Wankyo ni Depomate wangu CCP lakini sina uhakikaWankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel, ni kama comedian flan hiv anapenda utani sana,
Wankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel ni comedian flan hiv anapenda utani, mchangamfu sana lkn yote Tisa jamaa anaupendo sana. Mara ya kwanza kukutana nae room nilikua simuelewi kabisa lkn baadae nikagundua jamaa ana amani sana moyoni mwake.
Sawa sawa, anafaasome body Kahatano alikuwa jeshi la polisi baadae akateuliwa mkurugenzi wa summatra kitu kama hicho, wamwangalie he is very smart to lead the taasisi
Amekutuma??Wankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel, ni kama comedian flan hiv anapenda utani sana,
Wankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel ni comedian flan hiv anapenda utani, mchangamfu sana lkn yote Tisa jamaa anaupendo sana. Mara ya kwanza kukutana nae room nilikua simuelewi kabisa lkn baadae nikagundua jamaa ana amani sana moyoni mwake.
Hatari sana..Uhamisho wa Kagera umeshatenguliwa amevutwa Polisi HQ akasome magazeti