Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua rough walizofanyiwa upinzani na police? Unaijua kamata kamata ya upinzani?Kama ni hivyo mbona 2015 vyama vya upinzani vilishirikiana kuweka mgombea mmoja wa kugombea urais ina maana walifanya hivyo ili kukabiliana na polisi au hawakuwa wakijua kwamba polisi wanawasaidia ccm?
Hao wapinzani walipanga kuwashinda vp hao polisi kwenye huo uchaguzi?Ulikuwa ni uchaguzi Kati ya upinzani na police
Ccm ilisaidiwa kuiba kura na police,ukumbuki ya maboksiHao wapinzani walipanga kuwashinda vp hao polisi kwenye huo uchaguzi?
Walivyoungana na kumuweka Lowassa ni wazi wenyewe upinzani walishajua kuwa hilo ndio suluhisho kwa hao polisi sasa ajabu kuja kulalamikia tena polisi.Unajua rough walizofanyiwa upinzani na police? Unaijua kamata kamata ya upinzani?
Wankyo Nyigesa ni room mate wangu mabibo hostel ni comedian flan hiv anapenda utani, mchangamfu sana lkn yote Tisa jamaa anaupendo sana. Mara ya kwanza kukutana nae room nilikua simuelewi kabisa lkn baadae nikagundua jamaa ana amani sana moyoni mwake.
Hilo kila siku linasemwa sasa wao walivyoshirikiana hawakujua kama polisi wanasaidia ccm kuiba kura au huo muungano ulikuwa na malengo gani?Ccm ilisaidiwa kuiba kura na police,ukumbuki ya maboksi
Walipora ushindiHilo kila siku linasemwa sasa wao walivyoshirikiana hawakujua kama polisi wanasaidia ccm kuiba kura au huo muungano ulikuwa na malengo gani?
Lowasa ndie aliyeshinda ccm vs police wakaiba matokeo.Walivyoungana na kumuweka Lowassa ni wazi wenyewe upinzani walishajua kuwa hilo ndio suluhisho kwa hao polisi sasa ajabu kuja kulalamikia tena polisi.
Yule dikteta wa taifa akiwa rais alitamani u-igp cjui hicho cheo kina nn hasa mpaka rais atamani afu mnataka kumuonea jamaa kwa kutamani tuuKwani ni dhambi kutamani cheo kikubwa
Yah... Hawana kazi nyingine zaidi ya kushughulikia wapinzani...Hayo yote yanatokana na mtazamo wako wa kufikiri polisi wanawashughulikia wapinzani tu nchii hii.
Amejibiwa ngoja tuone what nextKatumwa huyo....ili IGP ajibu halafu mbungi nyingine ianze
Naona unawaza buku 5 za lumumba tu unauliza km mtu asiye na akili kabisa km yalivo maccmHilo kila siku linasemwa sasa wao walivyoshirikiana hawakujua kama polisi wanasaidia ccm kuiba kura au huo muungano ulikuwa na malengo gani?
Kama wapinzani tu ndio waharifu basi polisi wanatekeleza wajibu wao ndio kazi yao kushugulika na waharifu.Yah... Hawana kazi nyingine zaidi ya kushughulikia wapinzani...
Kama maccm hawana akili ilikuaje wapinzani (wenye akili) ile 2015 kwenda kumpa nafasi Lowassa liccm(wasio na akili) ya kugombea urais?Naona unawaza buku 5 za lumumba tu unauliza km mtu asiye na akili kabisa km yalivo maccm
Nakwambia hivi hakuna uchaguzi ambao wapinzani hawasemi kuwa walishinda ila siku zote lawama kwa hao polisi,Lowasa ndie aliyeshinda ccm vs police wakaiba matokeo.Police wa Malawi ndo wapo huru awalindi chama