RPC aliyetamani cheo cha IGP huenda kuna kitu kakiona kuwa hakipo sawa

Huko Kagera kafanya makubwa? Ni jambo jema.

Naomba na wale wanaosema Makamba JR amezingua kwenye umeme wajitokeze watangaze kuomba hiyo nafasi Ili kukomesha kukatika kwa umeme,wakishindwa washughulikiwe ipasavyo.
 
Daaas kama mambo ni haraka hivyo ni hatareeeeee
 
Hata mimi nilichulia ni utani, ila kwenye utani pia inatakiwa mtu uwe makini sana, ni rahisi zaidi kwa watu kutafsiri tofauti na ulivyomaanisha na hali hiyo ikapelekea kukugharimu kama ilivyotokea kwa yule Mkuu wa mkoa aliehamasisha wananchi waje kwa wingi na mabango kumlaki raisi atapokuja kutembelea mkoa wao.
 
Hivi ninavyoandika ujumbe huu tayari Wankyo Nyigesa kikazi anasomeka yuko makao makuu ya jeshi la polisi Dodoma
yani jamaa kwa cheo chake hicho anautaka u IGP wakati kuna ma kamishna kibao yeye atulie sasa hapo dodoma
 
Mkuu,roommate wako Mabibo Hostel mwaka gani??nahisi huyu Wankyo ni Depomate wangu CCP lakini sina uhakika
 
Amekutuma??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…