TABASAMU LILE LA MUDA WOTE HUWA SI LA KWELI.Safi sana,hii ni hatua njema na inayoleta matumaini kwenye hii kesi,
Sasa hivi kila muhusika kwenye hii kesi atakua makini zaidi na kutenda haki,
Hope haki itapatikana tu na watuhumiwa watahukumiwa kwa mujibu wa sheria kama wakikutwa na hatia,
Haki hua haipotei bali inaweza kuchelewa tu.
Naanza kupata picha ni nani aliwatumaMdomo umemponza..
ni heri angesema "bado uchunguzi unaendelea", kama wafanyavyo wengine..
ngoja arudi makao akasome magaazeti sasa.
Hivi hii dawa iliishia wapi maana tuliambiwa imeenda kufanyiwa tafiti NIMR ndio igawiwe kwa watu ila ajabu Kabudi hapo alikuwa amekwishainywa!Good
Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka πππΉ
Bado sijaelewa,Mkuu hauelewi maana ya kuwekwa benchi'nini?
Rpc ana cheo na madaraka.
Kurudishwa makao makuu kanyang'anywa madaraka na kubakiwa na cheo.
Au na ufafanuzi huu bado hauelewi faida yake?
Hii comment inaonekana imejaa madini sema unaandika kiprofesa sisi wa diploma unatuacha πMwanadiwani bila shaka alikuwa.... Lizaboni wengi walimhisi ni Madelu lameck nchemba huku hamy d akidaiwa ni Mwana wa Moses wakati huo huo buku 7 from lumumba wakitumia mheko kujibu hoja... Alipoingia mwendazake magogongoni na kwenda lumumba aliwafurrumusha wote
Utu ni moyo na si wajihi.....TABASAMU LILE LA MUDA WOTE HUWA SI LA KWELI.
Anapiga Dana Dana yote kumlinda mtu wao huu si ufvckn kabisaWajifunze
Mkuu uwe unajiongeza basi hata kidogo tu.Bado sijaelewa,
Mshahara unapungua unapungua?
Posho inapungua?
Au ni kama mchezaji tu anapofanyiwa sub kwenye mechi?
Hakika..!Sasa nimeamini jf ndio mtandao wa kuaminiwa !!
Asante Mungu Kwa akili ya mwanzilishi wa mtandao huu!
Yaani MALAYA amng'oa RPCSafi kabisa,alitakiwa kutumbuliwa kabisa ,huu ni upuuzi ππ
View: https://www.instagram.com/p/C-2H0mKtrXj/?igsh=YnB0Z2Rud3hhNDAy
Aliyeelewa mabadiliko yaliyofanywa anielewesha kwa jinsi nilivyosoma mbona huyo RPC ni kama kabadilishiwa tu sehemu ya kazi?π€Haina kusubiria hii, kapigwa bench, saafi sana
View attachment 3073905
ni katika kuimarisha, kuboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji wa serikali na taasisi za umma, mabadiliko, teuzi na tenguzi hufanyika, na si vinginevyo ama kuna Tatizo mrangi?π