RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Kumbe wakiamua wanaweza! Kesi siku Tano tutapata majibu
 

Attachments

  • IMG-20240819-WA0050.jpg
    IMG-20240819-WA0050.jpg
    64 KB · Views: 1
Minataka kujua tu kosa lake nilipi na yeye alizungumuza kama nani
 
Wanaharakati ndo wamepush hii pressure huko Facebook na twitter na si unajua kule pakichafuka serikali chap inareact maana kuna kundi kubwa sana la wanaohemuka na matukio tofauti na JF wenye akili na elimu ni wengi.
Ywani Facebook umeweka? Lini Facebook imepush? Si bora humu wazee wa mkumbo na kina mashambwa wazee wa salai
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kutoka ilipo ofis ya RPC Dodoma mpaka Makao makuu ya Polisi ni kama toka mataa ya Fire na Makao ya Simba Msimbazi. Ni mwendo wa dakika tatu hadi nne kwa mguu. Hastaili hata kulipwa hata senti tano ya uhamisho.
Atalipwa pesa za wajinga
 
Back
Top Bottom