RPC Muliro: Wanaume mnaopigwa na Wake zenu acheni Kudanganya kuwa mmepata Ajali ili mpate PF3

RPC Muliro: Wanaume mnaopigwa na Wake zenu acheni Kudanganya kuwa mmepata Ajali ili mpate PF3

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
"Unamuona kabisa kuwa huyu Mwanaume hajaumia kwa Ajali bali kachezea mno Kichapo cha Mkewe Nyumbani na unataka kumsaidia halafu anakataa na kuzidi Kukudanganya. Wanaume mkipigwa na Wake zenu kuweni Huru kuja Polisi au kwenda katika Madawati ya Kijinsia na mtapata Msaada" amesema RPC Kamanda Muliro Asubuhi hii akizungumza katika Kipindi Bora cha Jumapili cha Mazungumzo ya Familia kutoka Radio One ambacho Mimi GENTAMYCINE ni Balozi wake Mkuu na wa Kujiteua Mwenyewe.

Kuna Mtu Nyumba ya Tatu juzi juzi tu nilisikia akizozana na Mkewe na jana nimemuona ana Plasta Mdomoni na Kisogoni hivyo ngoja niamke nikamuulize Kulikoni japo najua ( nabeti ) jibu la Utangulizi na linalotukuka ambalo nitapewa ni kuwa aliangushwa na Bodaboda.
 
Wanaume tumeumbiwa mateso..

Tunapigwa na maishà mtaan na tukirudi nyumban tunapigwa na wake zetu...

Wanaume kataeni ndoa za namna hyo..
 
Ushauri: wanaume tegemezi jitahidi kusema ndio kwa kila unachoambiwa ili kuepuka kipigo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna wanaume wanapigwa na wake zao kweli??
Wanaume wengi mi nadhani hawapigwi na wake zao,bali wanajipigisha tu ili na wife nae ajioni mbabe ndani ya Nyumba! Ushawai kucheza mpira na Watoto, basi kuna muda unatakiwa umwachie dogo akufunge ili na yeye ajione yumo vizuri kwa game!!
 
Wanaume wengi mi nadhani hawapigwi na wake zao,bali wanajipigisha tu ili na wife nae ajioni mbabe ndani ya Nyumba! Ushawai kucheza mpira na Watoto, basi kuna muda unatakiwa umwachie dogo akufunge ili na yeye ajione yumo vizuri kwa game!!
Wewe umeongea ukweli
 
Wakenya ndio zao sana maana wanalishwa na wake
Nakubaliana nawe kwa hili 100% kwani nina Rafiki yangu Mtanzania Kaoa Mwanamke wa Kenya na Kiukweli kumuona akiwa na Makovu, Plasta na Vidonda vya Kukwaruzwa na Kucha ni Jambo la Kawaida mno.
 
Wanaume wengi mi nadhani hawapigwi na wake zao,bali wanajipigisha tu ili na wife nae ajioni mbabe ndani ya Nyumba! Ushawai kucheza mpira na Watoto, basi kuna muda unatakiwa umwachie dogo akufunge ili na yeye ajione yumo vizuri kwa game!!
Hapo mie nakubaliii.
 
Back
Top Bottom