cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli.Mbeya huko wanaume wanatembezewa sana kichapo
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sema kweli.Mbeya huko wanaume wanatembezewa sana kichapo
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuajee???adriz, Daudi Mchambuzi na Bujibuji Simba Nyamaume Ujanja wao ni hapa tu JamiiForums, ila huko Makwao na Wake zao ni kama Ukraine na Urusi.
Ndo hapo sasa,.Yaani akipigwa mmoja wanataka tuone eti na wao hupigwa...wakati kati ya wanawake Mia wasiopigwa hawazidi wawili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanajifanyisha tyuuh, wala sio kweli.Wakenya ndio zao sana maana wanalishwa na wake
Kesi zao nyingi ni kupigwa na wake zao [emoji1] na kupanda mbuzi na kuku[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanajifanyisha tyuuh, wala sio kweli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao wanaume wa Kenya, wakapimwe akili.Kesi zao nyingi ni kupigwa na wake zao [emoji1] na kupanda mbuzi na kuku
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hao wanaume wa Kenya, wakapimwe akili.
Wanawake wa Mbeya ni watii mno na wanaheshimu waume zao na ni wavumilivu, kwa hali hii si rahisi hata kunyanyua mkono kumpiga mwanaume.Mbeya huko wanaume wanatembezewa sana kichapo
Ova
Mimi pia nishashuhudia familia ya wakenya walikuwa jirani zetu, jamani huyo Mama alikuwa anamnyanyasa Mme wake kwa matusi na kipigo mara kwa mara.Nakubaliana nawe kwa hili 100% kwani nina Rafiki yangu Mtanzania Kaoa Mwanamke wa Kenya na Kiukweli kumuona akiwa na Makovu, Plasta na Vidonda vya Kukwaruzwa na Kucha ni Jambo la Kawaida mno.