Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Mama hana shuguli na hao BAWACHA, amwachie Gilles Muroto atamaliza tuu.Mama sio Mjinga kupiga Wananchi bila sababu kulishazikwa
Alitumia loophole iliyokuwa inajulikana kwenye English Law kama ni Double Jeorpady. Ikiwa na tafsiri kuwa huwezi kuhukumiwa kwa kosa hilo hilo mara mbili. Ikiwa alikwisha shitakiwa na kuhukumiwa kwa kosa la kumuuwa mtu huwezi kushitakiwa tena kwa kosa la kumuuwa mtu yule yule kwa mara ya pili kwa sababu mtu kisheria a anakufa mara moja tu.law is blind..
jamaa alisingiziwa amemuua mtu flani a akafungwa miaka yote..siku anatoka jela anakula zake misele anakutana na yule jamaa aliemuua anakula zake bata.akaona udandara huu akamfukuza na sime jamaa akaingia hadi mahakamani na yeye akamuingilia humo humo akamuua tena mbele ya yule yule hakimu aliemuhukumu kaua!!sasa jamaa ndo akawaambia mtanifunga kwa kosa lipi sasa.
Wewe ni mjinga mjinga mmojaHuna akili we boya.
Res judicataAlitumia loophole iliyokuwa inajulikana kwenye English Law kama ni Double Jeorpady. Ikiwa na tafsiri kuwa huwezi kuhukumiwa kwa kosa hilo hilo mara mbili. Ikiwa alikwisha shitakiwa na kuhukumiwa kwa kosa la kumuuwa mtu huwezi kushitakiwa tena kwa kosa la kumuuwa mtu yule yule kwa mara ya pili kwa sababu mtu kisheria a anakufa mara moja tu.
Need kiss a nice kamanda like youWewe ni mjinga mjinga mmoja
Anaetakiwa kufukuzwa ni Mbowe na Mnyika kwa kutoitisha kikao cha baraza kuu la Chadema limalize hilo swala kama katiba ya CHADEMA inavyotakaNingelikuwa rais huyu RPC ningefukuza kazi Mara moja.Anaaibisha Sana jeshi la polis...
Duh!.Gilles Muroto atatoa Ulinzi na uuokoaji.. Kwani hamza uwezo wa kuwakilisha malalamiko bila kukimbizana?.
Mwana kulitafuta, mwana kulipata.
Wanavunja katiba yao ya CHADEMA swala la hao wabunge limepelekwa baraza kuu la Chadema Dodoma wanafuata nini? swala liko ndani ya ofisi zao za chama .Kikao cha baraza kuu hakijafanyika.Hawana cha kuandamana hapo.Ni uvunjaji katiba ya chama chao na uvunjaji sheriaNa ni haki yao kikatiba,ruksa kufanya maandamano ya amani,ba ulinzi mnapewa,ila uonevu huu.
Wakifukuzwa na vikao halali hapo sawa.Baraza kuu Chadema bado halijakaa kuamua hatima yao.Watakapokaa na kuamua kuwafukuza uanachama hapo ndipo watakuwa sio wabunge tenaAnataka kumkwamisha Mama Yetu.
Kwani Katiba inasemaje kuhusu huo uhalali wa hao wabunge?
Teh🤣 ngoja tuone huo uhuru mnaoutaka usiofuata sheria za nchi kama mtaupata.Huyo kubwajinga aambiwe utawala wa kutishana aliondoka nao mwendazake.
Si unajua wivu wa wanawake kwa wanawake wenzao.....??Wajinga hao wanawake.Wanatakiwa kuandamana kwenda kwa mbowe kuwa aitishe kikao cha baraza kuu ili kitoe maamuzi ya kina halima Mdee.Wamepeleka shauri lao baraza kuu ambalo ndilo lenye mamlaka ya mwisho ya kumfukuza mtu uanachama
Kwa spika wanafuata nini? eti spika afanye maamuzi
Maamuzi yanatakiwa kufanywa na baraza kuu la Chadema kwa mujibu wa katiba yao sio Raisi wala mahakama wala bunge
Internal process bado haijaisha
Katiba yao iko wazi Dodoma wanafuata nini?
Washinikize baraza kuu lao la chama chao likae kikao limalize hilo swala
Tumeshawashauri wakipata kipigo tusilaumiane wameyataka
😂😂 hivyo ndivyo mnavyo jidanganya wenyewe kilasiku.Bwashee mwambie mbwa koko kuwa boss saivi sio yule asije akapima kina cha maji.
Bwashee mwambie mbwa koko kuwa boss saivi sio yule asije akapima kina cha maji.
makamanda andamaneni bana.Huyo kubwajinga aambiwe utawala wa kutishana aliondoka nao mwendazake.
Ni fala tu na yeye ujambazi umerudi kwa kasi nao wanasababisha BAWACHA
Kamanda wa Polisi mkoa wa Dodoma amesema ofisi yake haina taarifa rasmi za maandamano ya bawacha hivyo atakayeandamana atakutana na mkino wa dola.
Kamanda Muroto amewataka akina mama hao waliopanga kuandamana waje na computer na madaftari ya kuchukulia notisi ili waandike kile watakachokutana nacho kisha wakawafundishe na wenzao wa huko Geita ili liwe somo la keheshimu sheria na taratibu zake.
Chanzo: ITV habari
My take; Kwa kuwa Bawacha hawajaanza Safari ni busara wakahairisha kama Simba na Yanga!
Tusubiri kesho tuone ....Ndugai anafuja pesa zetu timua wale covid 19 wapelekewe majina ukweli yale fake na ni yao CDM wao hawayatambui
Wewe unaona haki anachofanya Ndugai ? Anafuja pesa za walalhoi wenzetu kwa matakwa na faida binafsi ....jinai tupu hapo anasigina katibaMajina ya ukweli kutoka wapi?
Kwani uchaguzi mmeutambua tayari?
Kwanza mfute kauli yenu ya kukataa matokeo
Wewe unaona haki anachofanya Ndugai ? Anafuja pesa za walalhoi wenzetu kwa matakwa na faida binafsi ....jinai tupu hapo anasigina katiba
Wewe ni mtu hatari sanaMawazo ya kimaskini yanashida sana
Ww sehemu ambayo unaona kunafujwa ela ni kwa hao wabunge 19 tu
Ulisoma reports ya CIG lakini?
Tuache wivu usio na msingi, nyie mlisusa na mkagoma sasa now kelele za nini tena?
Mataga bana....sasa Ndugai anachofanya mnaona sawa ??hamuoni aibu ? Dunia nzima inatushangaa aibu aibu aibuMawazo ya kimaskini yanashida sana
Ww sehemu ambayo unaona kunafujwa ela ni kwa hao wabunge 19 tu
Ulisoma reports ya CIG lakini?
Tuache wivu usio na msingi, nyie mlisusa na mkagoma sasa now kelele za nini tena?