RPC wa Arusha hii nguvu unayoitumia kutafuta waliomuua Askari Ngorongoro kwanini hukuitumia mwanzoni kuzuia kuibuka kwa huo mzozo?

RPC wa Arusha hii nguvu unayoitumia kutafuta waliomuua Askari Ngorongoro kwanini hukuitumia mwanzoni kuzuia kuibuka kwa huo mzozo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwahiyo ukishawapata ndiyo wataenda kuirudisha pumzi na uhai wa huyo Askari Polisi wenu aliyeuwawa?

Na wala GENTAMYCINE hapa sitetei au sifurahii huko kuuawa kwake na nimesikitika kuuliwa ila nimesikitika zaidi kuona leo hii Jeshi la Polisi Arusha linatumia nguvu kubwa ya Kijeshi katika kuwasaka wauaji walikuwa na uwezo wa kutumia nguvu ndogo tu ya Kidiplomasia yenye hekima, utu na busara katika kuzungumza na wana Ngorongoro kiasi kwamba wasingefikia huku walikofikia sasa.

Tukiwaambia hamna akili hamtaki.
 
Kwahiyo ukishawapata ndiyo wataenda kuirudisha pumzi na uhai wa huyo Askari Polisi wenu aliyeuwawa?

Na wala GENTAMYCINE hapa sitetei au sifurahii huko kuuawa kwake na nimesikitika kuuliwa ila nimesikitika zaidi kuona leo hii Jeshi la Police Arusha linatumia nguvu kubwa ya Kijeshi katika kuwasaka wauwaji walikuwa na Uwezo wa kutumia Nguvu ndogo tu ya Kidiplomasia yenye hekima, utu na busara katika kuzungumza na wana Ngorongoro kiasi kwamba wasingefikia huku walikofikia sasa.

Tukiwaambia hamna akili hamtaki.
Tukiwaambia hamna akili hamtaki 😁😁 umemaliza vizuri mkuu
 
Kwahiyo ukishawapata ndiyo wataenda kuirudisha pumzi na uhai wa huyo Askari Polisi wenu aliyeuwawa?

Na wala GENTAMYCINE hapa sitetei au sifurahii huko kuuawa kwake na nimesikitika kuuliwa ila nimesikitika zaidi kuona leo hii Jeshi la Polisi Arusha linatumia nguvu kubwa ya Kijeshi katika kuwasaka wauaji walikuwa na uwezo wa kutumia nguvu ndogo tu ya Kidiplomasia yenye hekima, utu na busara katika kuzungumza na wana Ngorongoro kiasi kwamba wasingefikia huku walikofikia sasa.

Tukiwaambia hamna akili hamtaki.

Msitari wa mwisho uko njema sana[emoji23]
 
👇🏽👇🏽👇🏽
B2CBA16E-F87F-485C-8AA8-AF4274D1EEFA.jpeg
 

Attachments

  • B2572F23-46C9-409A-A7F2-4CC63E6896F7.jpeg
    B2572F23-46C9-409A-A7F2-4CC63E6896F7.jpeg
    36.4 KB · Views: 5
kuna mda polisi akili zao sio sawa kufanya maamuzi.nilipokuja kuthibitisha kuna askari alistaafu akiwa na nyota mbili na kupewa mafao alipo pata mafao akaingia kwenye madini kuchimba akaishia kuchimba na sasa ni fundi chelehani [emoji23][emoji1241]. hapo akili yake utaichukuliaje
 
Kumbe mkuu maisha yako yote hujawahi kufika DAR??
Kumbe ulikuwa hujui kuwa naishi Kijijini halafu Mimi ndiyo Masikini Mwandamizi na Mtu nisiye na Elimu yoyote JamiiForums nzima?
 
IGP Siro alipokuwa RPC Mwanza alikuwa mtu makini sana ndio maana alipendwa sana Mwanza, alikuwa hakubali kuingiza vijana wake kwenye vurugu zisizokuwa na tija.
Tabia ya Uungwana, Kutoogopa, kutokuwa Wanafiki wala Kutojipendekeza kwa Mtu ndiyo Hulka ya Wazanaki wa Mkoani Mara ambako Poti ( Mwetu ) wangu IGP Sirro anatokea pia.
 
Tabia ya Uungwana, Kutoogopa, kutokuwa Wanafiki wala Kutojipendekeza kwa Mtu ndiyo Hulka ya Wazanaki wa Mkoani Mara ambako Poti ( Mwetu ) wangu IGP Sirro anatokea pia.
Sasa Poti wamsifia Siro,wakati huohuo unalikandia Jeshi lake la Police,au umesahau kua Siro ndiyo IGP!? Na huyo RPC unae msema Siro ndiyo kamteuwa asimamie Mkoa wa Arusha! Sasa hapa ni Nani katufelisha!!??
 
Back
Top Bottom