RS Berkane 2- 0 Simba Sc | CAF Confederation Cup | Stade Municipal de Berkane

Dakika 63, Gendermarie 1 - 0 Asec Mimosas.

Wengi waliwadharau hawa jamaa haya sasa..
Utopolo walisema kwamba atafungwa na group zima kwahiyo simba alifanya makosa kutoa nae droo[emoji28].


Kwa jinsi wanavyocheza na aina ya pitch yao, nina uhakika hata Berkane ataacha point pale.
 
Hawa wajinga wanapiga mashuti ya mbali wanafikiri watamuweza manula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…